< Warumi 10 >
1 Ndugu, nia ya moyo wangu na ombi langu kwa Mungu ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao.
Ndongo, nia jha muoyo bhuangu ni liombi lya nene kwa K'yara ndo ndabha jha bhene, kwandabha jha wokovu.
2 Kwa kuwa nawashuhudia kwamba wanajuhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si kwa ajili ya ufahamu.
Kwa kujha nikabhashuhudila kujha bhajhe ni juhudi kwandabha jha K'yara, lakini sio kwandabha jha bhufahamu.
3 Kwa kuwa hawajui haki ya Mungu, na wanatafuta kujenga haki yao wenyewe. Hawakuwa watiifu kwa haki ya Mungu.
Kwa ndabha bhamanyilepi haki jha K'yara, na bhilondakujenga haki jha bhemne pasima. Bhajhelepi bhatiifu ku haki jha K'yara.
4 Kwa kuwa Kristo ndiye utimilifu wa sheria kwa ajili ya haki ya kila mtu aaminiye.
Kwa kujha Kristu ndo utimilifu bhwa sheria kwa ndabha jha haki jha khila munu jha ikiera.
5 Kwa kuwa Musa anaandika kuhusu haki ambayo huja kutokana na sheria: “Mtu ambaye hutenda haki ya sheria ataishi kwa haki hii.”
Kwa kujha Musa ilemba kutokana ni sheria, “Munu ambajhe ibhomba haki jha sheria ibetakuishi kwa haki ejhe.”
6 Lakini haki ambayo inatokana na imani husema hivi, “Usiseme moyoni mwako, 'Nani atapaa kwenda mbinguni?' (Hii ni kumleta Kristo chini).
Lakini haki ambajho jhihomela mu amani jhijobha naha, “Usijobhi mu muoyo bhwa jhobhi, 'Niani ibetakulapa kulota kumbinguni?' (Ejhe ndo kumbeka Kristu pasi).
7 Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos )
Na usijobhi, 'Niani ibetakuselela mulilenda?”' (Ejhe ndo, kundeta Kristu panani kuhoma kwa bhafu). (Abyssos )
8 Lakini inasema nini? “Neno liko karibu na wewe, katika kinywa chako na katika moyo wako.” Hilo ni neno la imani, ambalo tunatangaza.
Lakini ijobha kiki? “Lilobhi lijhele karibu ni bhebhe, mu kinywa kya jhobhi ni mu muoyo bhwa jhobhi ni mu muoyo bhwa jhobhi.” E'lu ndo lilobhi lya imani, ambalyo twitangasya.
9 Kwa kuwa kama kwa kinywa chako unamkiri Yesu ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
Kwa kujha kama n'koromelu bhwa jhobhi ukan'kiri Yesu jha kujha ndo Bwana, ni kukiera mu muoyo bhwa jhobhi kujha K'yara amfufuili kuhoma kwa bhafu, wibetakuokoka.
10 Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini na kupata haki, na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
Kwa kujha kwa muoyo munu ikiera ni kukabha haki, ni kwa kinywa munu ikiri ni kukabha haki jha bhwokovu.
11 Kwa kuwa andiko lasema, “Kila amwaminiye hata aibika.”
Kwa kujha liandiku lijobha, “Khila jha akamwamini ibetalepi kwikosya soni.”
12 kwa kuwa hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Bwana yule yule ni Bwana wa wote, na ni tajiri kwa wote wamwitao.
Kwa kujha bhujhelepi bhutofauti kati jha Myunani. Kwa kujha Bwana jhola ndo Bwana ghwa bhoha, na ndo tajiri kwa bhoha bhabhakan'kuta.
13 Kwa kuwa kila mtu ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.
Kwa kujha khila munu ambajhe akalikuta lihina lya Bwana ibetakuokolibhwa.
14 Kwa jinsi gani wanaweza kumwita yeye ambaye hawajamwamini? Na jinsi gani wanaweza kuamini katika yeye ambaye hawajamsikia? Na watasikiaje pasipo muhubiri?
Kwa namna jheleku bhihotola kunkuta muene ambajhe bhakamwamini lepi? Ni kwa namna jheleku bhihotola kukiera kup'et'ela muene ambajhe bhampeliki lepi? Na bhibetakupeleka bhuli bila mahubiri?
15 Na jinsi gani wanaweza kuhubiri, isipokuwa wametumwa? - Kama ilivyoandikwa, “Jinsi gani ni mizuri miguu ya wale ambao wanatangaza habari za furaha za mambo mema!”
Kwa namna jheleku bhihotola kuhubiri, isipokujha bhatumanu? - Kama kyajhilembibhu, “namna jheleku manofu magolo gha bhene gha bhala ambabho bhitangasya habari sya furaha sya mambo manofu!”
16 Lakini wote hawakusikiliza injili. Kwa kuwa Isaya hunena, “Bwana, ni nani aliyesikia ujumbe wetu?”
Lakini bhoha bhap'el'el'esi lepi injili. Kwa kujha Isaya ijobha, “Bwana, niani jhaaup'eliki ujumbe bhwa tete?”
17 Hivyo imani huja kutokana na kusikia, na kusikia kwa neno la Kristo.
Efyo imani jhihida kuhomelana ni kup'el'eka ni kup'el'eka kwa lilobhi lya Kristu.
18 Lakini nasema, “Je hawakusikia?” Ndiyo, kwa hakika sana. “Sauti yao imekwisha toka nje katika nchi yote, na maneno yao kwenda miisho ya dunia.”
Lakini ijobha, “Je bhap'eliki lepi?” Ena, kwa hakika nesu. “Sauti jha bhene jhimali kuhoma kwibhala mu nchi jhioha ni malobhi gha bhene kulota miisho ghya dunia.”
19 Zaidi ya yote, Ninasema, “Je Israel hakujua?” Kwanza Musa hunena, “Nitawachokoza kuwatia wivu kwa watu ambao si taifa. Kwa njia ya taifa lisilo na uelewa, nitawachochea hadi mkasirike.”
Zaidi jha ghoha, Nijobha, “Je Israeli amanyilepi?” Kwanza Musa ijobha, “Nibetakubhachokosya kubhapela bhwifu kwa bhanu ambabho taifa lepi. Kwa njela jha taifa lyalibelikujha ni bhuelewa, nibetakubhahobhelesya hadi mudadayi.”
20 Na Isaya ni jasiri sana na husema, “Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta. Nilionekana kwa wale ambao hawakunihitaji.”
Ni Isaya jasiri nesu na ijobhi, “Napatikene nii bhala ambabho bhanilondilepi. Nabhonekene kwa bhala ambabho bhanilondeghe lepi.”
21 Lakini kwa Israel husema, “Siku zote nilinyoosha mikono yangu kwa wasiotii na kwa watu wagumu.”
Lakini kwa Israeli ijobha, “'Magono ghoha natabhaluisi mabhoko gha jhoni kwa bhabhabeli kutii ni kwa bhanu bhanonono.”