< Ufunuo 1 >

1 Huu ni ufunuo wa Yesu Kristo ambao Mungu alimpa ili kuwaonesha watumishi wake mambo ambayo lazima yatokee karibuni. Aliyafanya yajulikane kwa kumtuma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
مکاشفه عیسی مسیح که خدا به او داد تا اموری را که می‌باید زود واقع شود، برغلامان خود ظاهر سازد و بوسیله فرشته خودفرستاده، آن را ظاهر نمود بر غلام خود یوحنا،۱
2 Yohana alitoa ushuhuda wa kila kitu alichoona kuhusiana na neno la Mungu na kwa ushuhuda uliotolewa kuhusu Yesu Kristo.
که گواهی داد به کلام خدا و به شهادت عیسی مسیح در اموری که دیده بود.۲
3 Amebarikiwa yeye asomaye kwa sauti na wale wote wanaoyasikia maneno ya unabii huu na kutii kilichoandikwa humo, kwa sababu muda umekaribia.
خوشابحال کسی‌که می‌خواند و آنانی که می‌شنوند کلام این نبوت را، و آنچه در این مکتوب است نگاه می‌دارند، چونکه وقت نزدیک است.۳
4 Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: neema iwe kwenu na amani kutoka kwake aliyepo, aliyekuwepo, na atakayekuja, na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
یوحنا، به هفت کلیسایی که در آسیا هستند.۴
5 na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mtawala wa wafalme wa dunia hii. Kwake yeye atupendaye na ametuweka huru kutoka katika dhambi zetu kwa damu yake,
و از عیسی مسیح که شاهد امین ونخست زاده از مردگان و رئیس پادشاهان جهان است. مر او را که ما را محبت می‌نماید و ما را ازگناهان ما به خون خود شست،۵
6 ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
و ما را نزد خدا وپدر خود پادشاهان و کهنه ساخت، او را جلال وتوانایی باد تا ابدالاباد. آمین. (aiōn g165)۶
7 Tazama, anakuja na mawingu; kila jicho litamwona, pamoja na wote waliomchoma. Na kabila zote za dunia wataomboleza kwake. Ndiyo, Amina.
اینک با ابرها می‌آید و هر چشمی او راخواهد دید و آنانی که او را نیزه زدند و تمامی امت های جهان برای وی خواهند نالید. بلی!۷
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “Yeye aliyepo, na aliyekuwepo, na ambaye anakuja, Mwenye nguvu.”
«من هستم الف و یا، اول و آخر، » می‌گویدآن خداوند خدا که هست و بود و می‌آید، قادرعلی الاطلاق.۸
9 Mimi, Yohana - ndugu yenu na mmoja anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu; nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patimo kwa sababu ya neno la Mungu na ushuhuda kuhusu Yesu.
من یوحنا که برادر شما و شریک در مصیبت و ملکوت و صبر در عیسی مسیح هستم، بجهت کلام خدا و شهادت عیسی مسیح در جزیره‌ای مسمی به پطمس شدم.۹
10 Nilikuwa katika Roho siku ya Bwana. Nilisikia nyuma yangu sauti ya juu kama ya tarumbeta,
و در روز خداوند درروح شدم و از عقب خود آوازی بلند چون صدای صور شنیدم،۱۰
11 ikisema, “andika katika kitabu unayo yaona, na uyatume kwa makanisa saba, kwenda Efeso, kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia.”
که می‌گفت: «من الف و یاو اول و آخر هستم. آنچه می‌بینی در کتابی بنویس و آن را به هفت کلیسایی که در آسیاهستند، یعنی به افسس و اسمیرنا و پرغامس وطیاتیرا و ساردس و فیلادلفیه و لائودکیه بفرست.»۱۱
12 Nikageuka kuona ni sauti ya nani aliyekuwa akiongea nami, na nilipogeuka niliona kinara cha dhahabu cha taa saba.
پس رو برگردانیدم تا آن آوازی را که با من تکلم می‌نمود بنگرم؛ و چون رو گردانیدم، هفت چراغدان طلا دیدم،۱۲
13 Katikati ya kinara cha taa alikuwemo mmoja kama Mwana wa Adamu, amevaa kanzu ndefu iliyofika chini ya miguu yake, na mkanda wa dhababu kuzunguka kifua chake.
و در میان هفت چراغدان، شبیه پسر انسان را که ردای بلند در بر داشت و برسینه وی کمربندی طلا بسته بود،۱۳
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe kama theluji, na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
و سر و موی او سفید چون پشم، مثل برف سفید بود و چشمان او مثل شعله آتش،۱۴
15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kama shaba ambayo imekwisha pitishwa katika moto, na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi yanayotiririka kwa kasi.
و پایهایش مانند برنج صیقلی که در کوره تابیده شود، و آواز او مثل صدای آبهای بسیار؛۱۵
16 Alikuwa ameshikilia nyota saba katika mkono wake wa kuume, na kutoka kinywani mwake kulikuwa na upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa uking'aa kama mwanga mkali wa jua.
و در دست راست خود هفت ستاره داشت و از دهانش شمشیری دودمه تیز بیرون می‌آمد و چهره‌اش چون آفتاب بود که در قوتش می‌تابد.۱۶
17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu na kusema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho,
و چون او را دیدم، مثل مرده پیش پایهایش افتادم و دست راست خود را بر من نهاده، گفت: «ترسان مباش! من هستم اول و آخر و زنده؛۱۷
18 na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
ومرده شدم و اینک تا ابدالاباد زنده هستم وکلیدهای موت و عالم اموات نزد من است. (aiōn g165, Hadēs g86)۱۸
19 Kwa hiyo, yaandike uliyoyaona, yaliyopo sasa, na yale yatakayotokea baada ya haya.
پس بنویس چیزهایی را که دیدی و چیزهایی که هستند و چیزهایی را که بعد از این خواهند شد،۱۹
20 Kwa maana iliyojificha kuhusu nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na kile kinara cha dhahabu cha taa saba: nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na kinara cha taa saba ni yale makanisa saba.”
سر هفت ستاره‌ای را که در دست راست من دیدی و هفت چراغدان طلا را. اما هفت ستاره، فرشتگان هفت کلیسا هستند و هفت چراغدان، هفت کلیسا می‌باشند.۲۰

< Ufunuo 1 >