< Ufunuo 1 >

1 Huu ni ufunuo wa Yesu Kristo ambao Mungu alimpa ili kuwaonesha watumishi wake mambo ambayo lazima yatokee karibuni. Aliyafanya yajulikane kwa kumtuma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
iyi i nsinululo ya Jesu keresite iyo Ireeza aba muhi kubonisa ba hikana bakwe chiswanela ku tendahala nambwangu. aba i zibankanisi caku tuma ingeloi lwakwa kumuhikana wakwe Joani.
2 Yohana alitoa ushuhuda wa kila kitu alichoona kuhusiana na neno la Mungu na kwa ushuhuda uliotolewa kuhusu Yesu Kristo.
Joani abahi bupaki ku amana ninzwi lya Ireeza mini cabu paki buba hewa kwa amana ni Jesu Kereste, zintu zonse za baboni.
3 Amebarikiwa yeye asomaye kwa sauti na wale wote wanaoyasikia maneno ya unabii huu na kutii kilichoandikwa humo, kwa sababu muda umekaribia.
Ba tohonolofezwe abo ba bala ca kuhuwa, mi nabo ba teeka kwinzwi lyakwe lya cipolofita, ba kuteka ci! noletwe mwateni, mukuti inako ciyina hafuhi.
4 Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: neema iwe kwenu na amani kutoka kwake aliyepo, aliyekuwepo, na atakayekuja, na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
Joani, kwi keleke zikwana iyaza ni zobele mwa Asia; Chishemo chibe nanwe ni nkozo izwa kozo winako, imi abenako, imi iye yosikeza, imi yozwa kwihuho zikwana iyaza nitobele benakumasule achihuna chakwe,
5 na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mtawala wa wafalme wa dunia hii. Kwake yeye atupendaye na ametuweka huru kutoka katika dhambi zetu kwa damu yake,
imi kuzwa kwa Jesu Kereste, ipaki isepahala, Iye wetanzi kuzwa kuba fwile, iye mubusi uba simwine ba mwikanda. Kwali iye mwine yotusaka aba tulukululi kuzive kamalaha akwe—
6 ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
aba tupangi busimwine, buprisita bwabuIreeza imi Shetu- kwali kube nikanya ni maata kuya kusamani. Amen. (aiōn g165)
7 Tazama, anakuja na mawingu; kila jicho litamwona, pamoja na wote waliomchoma. Na kabila zote za dunia wataomboleza kwake. Ndiyo, Amina.
Mubone, ukezite mu makope; meso wonse kamubone, kukopanya nabo baba muhwezoli. Imi yonse mishobo ya munkanda kayisilise chebaka lyakwe. Eni, Amen.
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “Yeye aliyepo, na aliyekuwepo, na ambaye anakuja, Mwenye nguvu.”
Njeme wetanzi ni mamanimani,” kuwamba Simwine Ireeza, “iye wina ko, imi yabena koo, imi yosikeza, wina Inguzu.”
9 Mimi, Yohana - ndugu yenu na mmoja anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu; nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patimo kwa sababu ya neno la Mungu na ushuhuda kuhusu Yesu.
Ime Joani-mukwaluzubo wenu hape uli yabela nanwe mu manyando nimuso nikulo inde kubena kwa Jesu—nibena muchiwoli chisupwa Patmosi chebaka lyezwi lye Ireeza ni bupaki buamana niJesu.
10 Nilikuwa katika Roho siku ya Bwana. Nilisikia nyuma yangu sauti ya juu kama ya tarumbeta,
Ni bena Muluhuho mwizuba lya Simwine. Ni bazuwi kumasule angu muhuwo mukando sina intolombita.
11 ikisema, “andika katika kitabu unayo yaona, na uyatume kwa makanisa saba, kwenda Efeso, kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia.”
Nilyati, “ñole zobwene mumbuka, imi uzitumine kwi kereke zikwana iyanza limwina ni tobele—kwa Maefese, kwa Simina, kwa Pegamumu, kwaTiyatira, kwa Sadisi, Kwa Filadefia, im ni kwa Laodisia.”
12 Nikageuka kuona ni sauti ya nani aliyekuwa akiongea nami, na nilipogeuka niliona kinara cha dhahabu cha taa saba.
Ninachebuka kubona mwine wezwi liwamba kwangu, imi hani chebuka china bona malambi egaunda akwana iyaza nitobele.
13 Katikati ya kinara cha taa alikuwemo mmoja kama Mwana wa Adamu, amevaa kanzu ndefu iliyofika chini ya miguu yake, na mkanda wa dhababu kuzunguka kifua chake.
Hakati kamalambi kubena yoswana sina mwana muntu, nazwete chizabalo chile chisika kumatende, imi ni mbati lizimbulukite chizuva chakwe.
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe kama theluji, na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
Mutwi ni suki zakwe zibali kutuba sina boza bwembelele sina kabundu, hape meso akwe sina indimi ya mulilo.
15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kama shaba ambayo imekwisha pitishwa katika moto, na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi yanayotiririka kwa kasi.
Matende akwe aba kubenya sina ibronze, sina ibronze iba hiswa mu mulilo, hape izwi lyakwe liba kuzuweka sina mezi mangi atiya.
16 Alikuwa ameshikilia nyota saba katika mkono wake wa kuume, na kutoka kinywani mwake kulikuwa na upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa uking'aa kama mwanga mkali wa jua.
Abena ikani zikwana iyaza nitovere kwiyaza lyamalyo, ni chilinga chishengetwe kose chiba kuzwa mu mulomo wakwe. Chi fateho chakwe chiba kubenya sina izuva lihisite.
17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu na kusema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho,
Linu hanimubona, chinawila habusu bwamatende akwe sina muntu ufwile. Chakambika iyaza lyabulyo imi nati, “Sanzi usuhi. Njeme wetazi ni wamamaninizo,
18 na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
ime yohala. Nibafwile, kono bone, Nihala kuyakusamani! Hape nina chikulukulu chefu ni Hele. (aiōn g165, Hadēs g86)
19 Kwa hiyo, yaandike uliyoyaona, yaliyopo sasa, na yale yatakayotokea baada ya haya.
Chobulyo ñole hansi zobaboni, zinako hanu, ni zetenizihinde chibaka kuzwa kwezi.
20 Kwa maana iliyojificha kuhusu nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na kile kinara cha dhahabu cha taa saba: nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na kinara cha taa saba ni yale makanisa saba.”
Kwezina ziwungwilwe italuso kuamana nikani zikwana iyaza nizobele zobaboni zina mwiyaza lyangu lyabulyo, ni malambi egaunda akwana iyaza ni wobele. Ikani zikwana iyaza ni tovele nji mangiloi akwana iyaza ni zobele ekereke, imi zikwana iyaza ni zobele malambi akwana iyaza ni wobele nji kereke zikwana iyaza ni zobele,”

< Ufunuo 1 >