< Ufunuo 9 >

1 Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
Malaika jwa nng'ano gwagombile lipenga lyakwe, na gunilubhweni lutondwa lukulungwa lwagwile koposhela kumaunde mpaka ku litaka. Lwene lutondwalo lushinkupegwa upunguo gwa ku Jeanamu. (Abyssos g12)
2 Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos g12)
Akaunukuleje ku Jeanamu, lyoi gulikwelile kukoposhela mwenemo, mbuti lyoi liikoposhela nnituto lyalikulungwa kaje. Kwa ligongo lya lyoi lyakoposhelaga mwenemo lyubha na liunde nibha lubhindu. (Abyssos g12)
3 Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
Nnyoimo gugakoposhele maije, gugapite kunani shilambo showe, na gene maije gala gashinkupegwa mashili mbuti ga ibhalabhala ya pa shilambo pano.
4 Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
Gubhalugulilwenje bhanaangabhanyanje manyai eu mikongo eu mitipo ja pa shilambo, ikabhe bhandu bhowe bhangalinginji shilangulo shoshowe sha a Nnungu pa shenyi.
5 Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
Gubhalugulilwenje bhaapotekanje kwa miei nng'ano, ikabheje bhanaabhulaganje. Kupoteka kwakwe pukwaliji mbuti mundu alumilwe na shibhalabhala.
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Gene mobhago bhandunji bhaapinga kushiloleyanga shiwo ikabheje bhakashibhonanga, bhaapinga lokolilanga kuwa, ikabheje shiwo shiipinga kwaabhutukanga.
7 Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Gene maije gala pugaaliji mbuti palashi, ibhishilwe ukoto ijende ku ngondo. Ku mitwe jabhonji bhashinkukolanga shindu mbuti shilemba sha shaabhu, na ku meyo kwabhonji pukwaaliji mbuti kuka mundu.
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
Bhashinkukolanga umbo ya manyololo mbuti ya bhanabhakongwe, na meno gabhonji pugaliji mbuti ga imba.
9 Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
Bhashinkuwalanga shindu sha mbuti itale kuibhila pa ntima, na mapapiko gabhonji gatendaga ona mbuti nnindimo gwa mutuka yaigwinji ya palashi ibhutushila ku ngondo.
10 Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
Bhashinkukolanga mishila ja mibha ja lumila bhandu mbuti shibhalabhala. Mashili ga kwaapotekanga bhandu miei jowe nng'ano kugakoposhelaga mmishila jabhonjimo.
11 Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos g12)
Pubhalinginji naka mpalume, malaika koposhela ku Jeanamu, mpalume jwabhonji, jwenejo kwa Shiebhulania pashemwaga Abhadoni, na Shiyunani pashemwaga Apolioni. (Abyssos g12)
12 Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
Limbukute lya ntai lipitile, gaigele mambukute gabhili na ganakwiya.
13 Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
Malaika jwa shita gwagombile lipenga lyakwe, numbe nne gumbilikene lilobhe lilikoposhela nndumba nsheshe ja shitala sha shaabhu shaaliji mmujo ja a Nnungu.
14 Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
Lyene lilobhelyo gulinnugulile jwene malaika jwa shita akwete lipenga jula, “Gwaugulilanje ashimalaika nsheshe bhala bhatabhilwenje nnushi lukulungwa lushemwa Pulateshi.”
15 Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
Bhai bhene ashimalaika nsheshe bhala gubhaugulilwenje bhali bhabhishilwenje ukoto kwa gene malangago na lyene lyubhalyo na gwene mweigo na shene shakasho, bhandu bhowe nngabhanyaga patatu, lipungu limo bhaabhulaganje.
16 Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
Manjola bhakwelilenje palashi pubhalinginji milioni mmia pa bhili.
17 Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
Na nkulola kwangu, guniibhweni palashi na bhakwelilenje palashi. Bhakwelilenje palashi bhala bhashinkukolanga ngao ya itale ya langi janashe mbuti moto na ina ya langi ja buluu janapi na ja lindani. Mitwe jabhonji bhene ashipalashi bhala pujaaliji mbuti ja imba. Moto na lyoi na bhonga shilikoposhela nkang'wa yabhonji.
18 Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
Bhandu bhowe nngabhanyaga patatu, lipungu limo gubhabhulegwenje kwa ligongo lya mambukute gatatu, yani, moto, lyoi, na bhonga, yakoposhelaga nkang'wa ja ashipalashi.
19 Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
Mashili ga ashipalashi mugaaliji nkang'wa yabhonji na mmishila jabhonji. Mishila jabhonji pujaaliji mbuti mitwe ja lijoka, na kwa jene mishilajo, bhatendaga ulayanga bhandu.
20 Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
Ikabheje, bhandu bhalepekenje gwangali kubhulagwa bhashinkukananga kuipeta na leka kuntindibhalila Lishetani na indu ibhaeleyenje kwa makono gabhonji yani, yanamu ya shaabhu, na ya ela, na ya shitale, na ya maganga, na ya mikongo, ikaakombola kulola, wala kupilikana, wala kujimajima.
21 Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.
Bhangaipetanga nileka itendi yabhonji ya bhulaga, na ya uabhi, na ya labhalabha na wala ya gwii gwabhonji.

< Ufunuo 9 >