< Ufunuo 9 >
1 Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
Mle maleka u ton a fuu njon-gran ma. Mi to tsintsen ri rhini shulu wa ana rhoku ni meme, ba nu tsintsen ki mabudi u nko ihlon juju wa ana he ni nchina. (Abyssos )
2 Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
A bwunko ihlaa wa ana he ni nchi na, i intsen a rhu hon rini nyu nko a to ntsen wa a rhini kikle tanderu ntse wa rhu rhini nyu hlon a. (Abyssos )
3 Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
Langblan ba rhurhini mi ntsena ka ku ni meme, i ba nuba gbengblen too wu lan nitu meme.
4 Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
Ba hla bawu ndi duba na kpa giga ni meme timemena, koka ni shushu kpe baba kunkron, ama nitu inji wa bana he ni iyra kaa irjhi ni kbuchi mba na.
5 Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
Bana kpanyme ni bawu du ba wuu injibaki na, ndi du ba tiba ya wu wha ton megen. Iyi ya mba ni he to tyo u lan, anita ta inji.
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Nivi baki inji ba wa kwu i bana to u na. Ba gbre wa ndi duba kwu, i ikwu ni tsutsu don ba.
7 Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Langblan ba ba rhu n'kma wa ba mla ki wu ta ku. Nitu mba a he kpi bari too rawani wu zinariya, i ko shishimba too shishi inji.
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
Ba he ni nfuu too wu nfutu mba, i nyerenmba ba he too nyeren chen.
9 Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
Ba he ni sulkuna (breastplate) too sulkuna wu karfe, i iyi ngyumba a he too iyi wu karusai (chariots) gbugbuwu, mba nk'ma wa basi tsutsu ni ri ni taku.
10 Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
Ba he ni gyugyunchi ni ntsonchi wu tyo too u lan, ni ngyunchi mba ba nu gbengblen wu nu inji iya wha ton.
11 Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
Ba na he ni too ichu nitumba, maleka u hlon juju wa ana he ni ndina, ndema ni lantre Ibraniyawa ana Abaddon, i ni Greek ana he ni nde Apollyon. (Abyssos )
12 Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
Iyamba u mumla aka hi ye. Ya Hugon wayi kikle kpe biya hari bari ba yi ni ye.
13 Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
Maleka wu tanne a fuu njon-gran ma, i mi wo ilan grji niye rhini njon u tu bagadi u zinariya wa ahe ni shishi Irji,
14 Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
Ndani tre maleka u tanne wa ahe ni njona, “chu maleka nzia wa bana lo ba zi ni kikle nne Affaratis chuwo.”
15 Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
Maleka nzia wa bana mla ba tizi u ton kima, nivi ki, ni wha ki, mba ise kima, ba juuba chuwo du ba hi wuu irir-wu-tra u inji wawuu.
16 Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
Gbugbu sojoji biwa ba hon tu nkma bana 200,000,000. Mina wo kri gbrumba.
17 Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
A hi toyi mba to nk'ma ba nimi nran mu mba baba biwa ba hon tumba; Sulke (breastplate) mba a he too sren lu, samban, hycinth (darkblue), mba kibiritu (sulfurous yellow). Itu nkma ba ba rhu itu chen, i rhini nyumba rhu ilu, intsen mba sulfur.
18 Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
Aloba wa a rhurhini nyu kpi tra biyi a wuu inji iri-wu-tra mba.
19 Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
Gbengblen nkma ba a he ni nyumba mba ni gyunchi mba-nitu gyunchi mba a he to iwan, nda he ni ba tuu wa ba tsi inji juunkpan.
20 Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
Imbru injiwawu, biwa bana wuuba ni aloba ba na, bana kma sron sran ni ndu wu womba na mba dana dome ni hu nkon brjhi baba gunki wu zinariya, azurfa, jan karfe (bronze), tita mba kunkron kpi biwa bana to, wo ko ka zren na.
21 Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.
Ndana kma sron sran mena nitu ba wuurnji, nglu ka ni hugbugblu mba, mba ti nkan ko ka ndu iybi mba.