< Ufunuo 8 >

1 Wakati Mwanakondoo alipofungua muhuri ya saba, kukawa na ukimya mbinguni takribani nusu saa.
Ke pacl se Lamb el kunausla sil akitkosr ah, inkusrao misla ke tafun ao ma.
2 Kisha nikaona malaika saba wasimamao mbele za Mungu, na wakapewa tarumbeta saba.
Na nga liye lipufan itkosr su tu ye mutun God — itukyang mwe ukuk itkosr nu selos.
3 Malaika mwingine akaja, ameshikilia bakuli ya dhahabu yenye uvumba, amesimama madhabahuni. Akapewa uvumba mwingi ili kwamba autoe pamoja na maombi ya waamini wote katika madhabahu ya dhahabu mbele ya kiti cha enzi.
Ac sie pac lipufan el tuku tu ke loang uh. Oasr sie mwe neinyuk ma keng yorol, ma orekla ke gold. Itukyang nu sel mwe keng puspis in sisani nu ke pre lun mwet lun God nukewa, ac in kisakin fin mwe loang gold su oan mutun tron uh.
4 Moshi wa ule uvumba, pamoja na maombi ya waamini, ukapanda juu mbele za Mungu kutoka mkononi mwa malaika.
Ac kulasr lun mwe keng uh, wi pre lun mwet lun God, sowak nu lucng liki poun lipufan su tu ye mutun God.
5 Malaika akatwaa bakuli la uvumba na akalijaza moto kutoka kwenye madhabahu. Kisha akalitupa chini juu ya nchi, na kukatokea sauti za radi, miale ya radi na tetemeko la nchi.
Na lipufan sac eisla ahlu se nein mwe keng uh, ac nwakla ke e liki loang uh, ac sisla nu fin faclu. Toko oasr ngirngir ac pusren pulahl, sarmelik lun sarom, ac faclu kusrusryak.
6 Wale malaika saba ambao walikuwa na tarumbeta saba wakawa tayari kuzipiga.
Na lipufan itkosr elos akola in ukya mwe ukuk itkosr natulos.
7 Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, na kukatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyikana na damu. Vikatupwa chini katika nchi ili kwamba theluthi yake iungue, theluthi ya miti ikaungua na nyasi zote za kijani zikaungua.
Lipufan se meet el ukya mwe ukuk natul. Toko, af yohk kosra ac e karkarak ke srah kahkla nu faclu. Sie tafu tolu faclu firiryak, ac sie tafu tolu ke sak firiryak, ac mah folfol nukewa firiryak.
8 Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake, na kitu kama mlima mkubwa uliokuwa unaungua kwa moto ukatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa damu,
Na lipufan se akluo el ukya mwe ukuk natul. Ma se oana fineol na lulap soko firiryak ac sisila nu meoa. Sie tafu tolu lun meoa ekla nu ke srah,
9 theluthi ya viumbe hai katika bahari vikafa, na theluthi ya meli zikaharibiwa.
ac sie tafu tolu ke ma moul meoa misa, ac sie tafu tolu ke oak meoa uh kunausyukla.
10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake, na nyota kubwa ikaanguka kutoka mbinguni, ikimulika kama kurunzi, juu ya theluthi ya mito na chemichemi za maji.
Na lipufan se aktolu el ukya mwe ukuk natul. Sie itu lulap, ma firir oana sie srokom in e, putatla liki acn lucng nu fin sie tafu tolu ke infacl ac nu fin unon in kof uh.
11 Jina la nyota ni pakanga. Theluthi ya maji ikawa pakanga, na watu wengi wakafa kutokana na maji yaliyokuwa machungu.
(Inen itu sac pa “Mwen.”) Sie tafu tolu ke kof uh ekla mwen, ac mwet puspis misa ke elos nim, mweyen kof uh ekla mwen.
12 Malaika wa nne alipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua ikapigwa, pamoja na theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota. Kwa hiyo theluthi ya vyote ikageuka kuwa giza; theluthi ya mchana na theluthi ya usiku havikuwa na mwanga.
Toko, lipufan se akakosr el ukya mwe ukuk natul. Na puokyuki sie tafu tolu ke faht, ac sie tafu tolu ke malem, ac sie tafu tolu ke itu, ouinge lohsrla sie tafu tolu in kalem lalos. Na wangin kalem ke sie tafu tolu ke len uh, ac wangin pac kalem ke sie tafu tolu ke fong uh.
13 Nilitazama, na nikasikia tai aliye kuwa anaruka katikati ya anga, akiita kwa sauti kuu, “Ole, ole, ole, kwa wale wakaao katika nchi, kwa sababu ya mlipuko wa tarumbeta iliyosalia ambayo imekaribia kupigwa na malaika watatu.”
Na nga ngetak ac nga lohng pusren sie eagle sohksok oelucng yen engyeng uh ke el fahk, “We! Sensen! Sensen! We nu selos nukewa su muta faclu — pusren mwe ukuk lun lipufan tolu saya uh akuranna kasla!”

< Ufunuo 8 >