< Ufunuo 8 >

1 Wakati Mwanakondoo alipofungua muhuri ya saba, kukawa na ukimya mbinguni takribani nusu saa.
Uganiya sa vana ubi zara mapoki ibinani i sunare, ba awu tiki aseseri uhana umaminti akuri ataru.
2 Kisha nikaona malaika saba wasimamao mbele za Mungu, na wakapewa tarumbeta saba.
Indi ku iri ibe ikadura ka Asere we usunare adesa wa turi aje vAsere, a nrawe ahure anu sunare.
3 Malaika mwingine akaja, ameshikilia bakuli ya dhahabu yenye uvumba, amesimama madhabahuni. Akapewa uvumba mwingi ili kwamba autoe pamoja na maombi ya waamini wote katika madhabahu ya dhahabu mbele ya kiti cha enzi.
Ure unu kadure ka Asere, ma inta niru nu turari upunza ni uzinariya, maturi aje ahira utunzino. Uturari upunza gbardang uni anyame barki ma witi nana biringira ba desa wa hem in mu riba mu weme ahira utunzino upunza utarari u zinariya aje ukpanku.
4 Moshi wa ule uvumba, pamoja na maombi ya waamini, ukapanda juu mbele za Mungu kutoka mkononi mwa malaika.
Mu cingo mu uturari upunza, nan biringara ba anu hem, wa hira aseseri aje Asere a tari ti bi be bikadura me.
5 Malaika akatwaa bakuli la uvumba na akalijaza moto kutoka kwenye madhabahu. Kisha akalitupa chini juu ya nchi, na kukatokea sauti za radi, miale ya radi na tetemeko la nchi.
Bi be bikadura maziki niru nu turari upunza ma myince uni unura ahira utunzino me. Maduku vivirko nini adizi uhana unē, utusa itoni, nan ugumo, nan umemelke in ma sā, nan uzuruku adizi.
6 Wale malaika saba ambao walikuwa na tarumbeta saba wakawa tayari kuzipiga.
Ibe ikadura usunare adesa wa zin in nahure anu sunare wa barka ani uhurse.
7 Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, na kukatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyikana na damu. Vikatupwa chini katika nchi ili kwamba theluthi yake iungue, theluthi ya miti ikaungua na nyasi zote za kijani zikaungua.
Bi bebu tuba ma hore ni hure nu meme, a iri a tanatani nan ura a ketilke ini mayē. Avengi adizi u hana anyimo unē u oro u inde anyimo u oro kataru unē uri ura, u indi anymo kataru u mataru uri ura, vat nan ki kpe tizu vat ti ri ura.
8 Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake, na kitu kama mlima mkubwa uliokuwa unaungua kwa moto ukatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa damu,
Bi be bikure ma hure ni hure nu meme, ire imum idandan gusi nipo nure ura a vingi anyimo uraba udang. U oro u inde anyimo uraba udang u cukuno mayē.
9 theluthi ya viumbe hai katika bahari vikafa, na theluthi ya meli zikaharibiwa.
U inde anyimo utaru uma mum mu vengize sa wa rā anyimo amei wa wiji, u inde anyimo ka taru umazirigi ma mei a huzi we.
10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake, na nyota kubwa ikaanguka kutoka mbinguni, ikimulika kama kurunzi, juu ya theluthi ya mito na chemichemi za maji.
Bibe bi kadura ka Asere butaru ma hure ni hure nu meme, bi wirang ba aseseri bidandang bi rizi usuro aseseri, ba zi ina rē kashi utoci, u oro u inde anyimo utaru u ma raba nan ti hira uoso umei.
11 Jina la nyota ni pakanga. Theluthi ya maji ikawa pakanga, na watu wengi wakafa kutokana na maji yaliyokuwa machungu.
Niza ni bi wirang me gbardang. U oro u inde anyimo utaru u mei wa cukuno gbardang, anu gbardang wa wiji barki mei ma wu gbanbang.
12 Malaika wa nne alipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua ikapigwa, pamoja na theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota. Kwa hiyo theluthi ya vyote ikageuka kuwa giza; theluthi ya mchana na theluthi ya usiku havikuwa na mwanga.
Bibe bu nazi ba hure ni hure numeme, bi Ku taru anyimo uwui ba rizi, ane ani bi taru anyimo upew, nan bi taru anyimo iwiran. Ane ani bi taru ba gamirka mare; Bi taru bi wui nan bi taru bi niyē bazin in masā ba.
13 Nilitazama, na nikasikia tai aliye kuwa anaruka katikati ya anga, akiita kwa sauti kuu, “Ole, ole, ole, kwa wale wakaao katika nchi, kwa sababu ya mlipuko wa tarumbeta iliyosalia ambayo imekaribia kupigwa na malaika watatu.”
Sa ma gunkuno in iri bizi bizinu gala ati aseseri unu tissa in ni myran ni dang, ''shi wonno, shi wonno shi wonno, anu ciki anyimo unē barki ugbejere u kassu a hure i be i taru iginom sa wadi hure.''

< Ufunuo 8 >