< Ufunuo 6 >
1 Nikatazama wakati mwanakondoo alipofungua moja ya zile muhuri saba, nikasikia mmoja wa wale wenye uhai wanne akisema kwa sauti iliyofanana na radi, “Njoo!”
Vi que o Cordeiro abriu um dos sete selos, e ouvi um dos quatro seres vivos dizer, como com uma voz de trovão, “Venha e veja!
2 Nikatazama na palikuwa na farasi mweupe! Aliyempanda alikuwa na bakuli, na akapewa taji. Alitokea kama mshindi ashindaye ili ashinde.
Então apareceu um cavalo branco, e aquele que se sentou nele tinha um arco. Foi-lhe dada uma coroa, e ele saiu conquistando, e para conquistar.
3 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri wa pili, nikasikia mwenye uhai wa pili akisema, “Njoo!”
Quando ele abriu o segundo selo, ouvi o segundo ser vivo dizer: “Venha!”.
4 Kisha farasi mwingine akatokea - mwekundu kama moto. Aliye mpanda alipewa ruhusa ya kuondoa amani duniani, ili kwamba watu wachinjane. Huyu aliye mpanda alipewa upanga mkubwa.
Saiu outro, um cavalo vermelho. A ele que estava sentado sobre ele foi dado o poder de tirar a paz da terra, e que eles deveriam matar uns aos outros. Foi dada a ele uma grande espada.
5 Wakati mwanakondoo alipofungua ule muhuri wa tatu, nikasikia mwenye uhai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikaona farasi mweusi, na aliyempanda ana mizani mkononi mwake.
Quando ele abriu o terceiro selo, eu ouvi o terceiro ser vivo dizer: “Venha e veja!” E eis que um cavalo preto, e aquele que estava sentado sobre ele, tinha um equilíbrio na mão.
6 Nikasikia sauti iliyoonekana kuwa ya mmoja wa wale wenye uhai ikisema, “kibaba cha ngano kwa dinari moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiyadhuru mafuta na divai.”
Ouvi uma voz no meio dos quatro seres vivos dizendo: “Um choenix de trigo para um denário, e três choenix de cevada para um denário! Não danifique o óleo e o vinho”!
7 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya nne, nilisikia sauti ya mwenye uhai wa nne ikisema, “Njoo!”
Quando ele abriu o quarto selo, eu ouvi o quarto ser vivo dizer: “Venha e veja!
8 Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs )
E eis um cavalo pálido, e o nome daquele que estava sentado nele era Morte. Hades o seguiu com ele. A autoridade sobre um quarto da terra, para matar com a espada, com a fome, com a morte, e pelos animais selvagens da terra foi dada a ele. (Hadēs )
9 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya tano, niliona chini ya madhabahu roho za wale waliokuwa wameuawa kwa sababu ya neno la Mungu na kutokana na ushuhuda walioushika kwa uthabiti.
Quando ele abriu o quinto selo, vi debaixo do altar as almas daqueles que haviam sido mortos pela Palavra de Deus e pelo testemunho do Cordeiro que eles tinham.
10 Wakalia kwa sauti kuu, “mpaka lini, Mtawala wa vyote, mtakatifu na mkweli, utahukumu wakaao juu ya nchi, na kulipiza kisasi damu yetu?”
Eles gritaram com voz alta, dizendo: “Quanto tempo, Mestre, o santo e verdadeiro, até que você julgue e vingue nosso sangue sobre aqueles que habitam sobre a terra”?
11 Kisha kila mmoja alipewa kanzu nyeupe na wakaambiwa kuwa wanapaswa kusubiri kidogo hata itakapotimia hesabu kamili ya watumishi wenzao na ndugu zao wa kike na wa kiume itakapotimia ambao watauawa, kama vile ambavyo wao waliuawa.
Um longo manto branco foi dado a cada um deles. Foi-lhes dito que deveriam descansar ainda por algum tempo, até que seus companheiros servos e seus irmãos, que também seriam mortos como eles eram, completassem seu curso.
12 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya sita, nilitazama na palikuwa na tetemeko kuu. Jua likawa jeusi kama gunia la singa, na mwezi mzima ukawa kama damu.
Eu vi quando ele abriu o sexto selo, e houve um grande terremoto. O sol ficou negro como um saco feito de cabelo, e a lua inteira ficou como sangue.
13 Nyota za mbinguni zikaanguka katika nchi, kama mtini upukutishavyo matunda yake ya wakati wa baridi unapotikiswa na kimbunga.
As estrelas do céu caíram sobre a terra, como uma figueira deixando cair seus figos verdes quando ela é sacudida por um grande vento.
14 Anga ilitoweka kama gombo lililoviringishwa. Kila mlima na kisiwa vilihamishwa mahali pake.
O céu foi removido como um pergaminho quando é enrolado para cima. Cada montanha e ilha foi movida para fora de seu lugar.
15 Kisha wafalme wa nchi na watu maarufu na majemadari, matajiri, wenye nguvu, na kila mmoja aliye mtumwa na huru, wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.
Os reis da terra, os príncipes, os comandantes, os ricos, os fortes, e cada escravo e pessoa livre, se esconderam nas cavernas e nas rochas das montanhas.
16 Wakaiambia milima na miamba, “Tuangukieni! Tuficheni dhidi ya uso wake aketiye kwenye kiti cha enzi na kutoka hasira ya mwanakondoo.
Eles disseram às montanhas e às rochas: “Cai sobre nós, e esconde-nos da face daquele que se senta no trono, e da ira do Cordeiro,
17 Kwa kuwa siku kuu ya gadhabu yao imewadia, na ni nani awezaye kusimama?”
pois chegou o grande dia de sua ira, e quem é capaz de ficar de pé?”