< Ufunuo 6 >
1 Nikatazama wakati mwanakondoo alipofungua moja ya zile muhuri saba, nikasikia mmoja wa wale wenye uhai wanne akisema kwa sauti iliyofanana na radi, “Njoo!”
Nibalolete imbelele hailamutula chimwina chazilamatela zimana iyaza ni zobele, imi nibazuwi chimwina chazibumbantu zihala zone hachiwamba chenzwi libalikukola sina mulumo wupalakata, “Wize!”
2 Nikatazama na palikuwa na farasi mweupe! Aliyempanda alikuwa na bakuli, na akapewa taji. Alitokea kama mshindi ashindaye ili ashinde.
Ninalola mi kubena imbizi ituba. Mutanti wayo abakwete buta, mi abahelwe mushukwe wabubusi. Abezi nalimuhapi kwizila kuhapa.
3 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri wa pili, nikasikia mwenye uhai wa pili akisema, “Njoo!”
Imbelele hailamutula chilamatela chabubeli, nibazuwi chibumbantu chihala chabubeli hachiti, “Wize!”
4 Kisha farasi mwingine akatokea - mwekundu kama moto. Aliye mpanda alipewa ruhusa ya kuondoa amani duniani, ili kwamba watu wachinjane. Huyu aliye mpanda alipewa upanga mkubwa.
Linu imbizi yimwi ibazwi - yabusubile bwamulilo. Mutanti wayo abahewa maata akulihindila imbali yimwi yachisi, kokuti bantu bayo nibalisandukile kulihaya chabubilala. Uzu mutanti abahelwe mupene mukando.
5 Wakati mwanakondoo alipofungua ule muhuri wa tatu, nikasikia mwenye uhai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikaona farasi mweusi, na aliyempanda ana mizani mkononi mwake.
Imbelele hailamutula chilamatela chabutatu, nibazuwi chibumbantu chihala chabutatu hachiti, “Wize!” Nibaboni imbizi isiha, mutanti wayo abakwete zikala zobele mwiyaza lyakwe.
6 Nikasikia sauti iliyoonekana kuwa ya mmoja wa wale wenye uhai ikisema, “kibaba cha ngano kwa dinari moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiyadhuru mafuta na divai.”
Nibazuwi chibali kukola sina mulumo mukati kazibumbantu zone zihala haziti. “Ikilo yimwina yabuloto iwulwa itifo yamutendo wezuba limwina, imi makilo otatwe amahila awulwa itifo yamutendo wezuba limwina.
7 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya nne, nilisikia sauti ya mwenye uhai wa nne ikisema, “Njoo!”
Imbelele hailamutula chilamatela chabune, nibazuwi chibumbantu chihala chabutatu hachiti, “Wize!”
8 Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs )
Linu nichinaboni imbizi yeseta. Mutanti wina haili abali kusumpwa Ifu, mi Chibaka Chabafwile abamwichilille. Babahelwe maata hawulu lenkalulo imwina - yazone yenkanda, kwihaya ni mukwale, inzala ni butuku, ni kuselisa zinyolozi zenkanda. (Hadēs )
9 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya tano, niliona chini ya madhabahu roho za wale waliokuwa wameuawa kwa sababu ya neno la Mungu na kutokana na ushuhuda walioushika kwa uthabiti.
Imbelele haiyalula chilamatela chimana iyanza, nichinabona mwikonde lakatala ihuho zabana babahaiwa chebaka lalinzwi le Ireeza ni bupaki bubabakwete.
10 Wakalia kwa sauti kuu, “mpaka lini, Mtawala wa vyote, mtakatifu na mkweli, utahukumu wakaao juu ya nchi, na kulipiza kisasi damu yetu?”
Babahuwi chenzwi ikando, Mubusi Yobusa zonse, yojolola ni weniti, kakuhinde inako ikuma hi kuti wize uatule abo bahala munkanda, ni kubozekeza bubi ibakeñi chamalaha etu?”
11 Kisha kila mmoja alipewa kanzu nyeupe na wakaambiwa kuwa wanapaswa kusubiri kidogo hata itakapotimia hesabu kamili ya watumishi wenzao na ndugu zao wa kike na wa kiume itakapotimia ambao watauawa, kama vile ambavyo wao waliuawa.
Linu zumwi ni zumwi abahewa chiapalo chituba, mi nibawambilwa kuti bayelele kulindila kanini kufitela ipalo yabahikana kuninabo ni banakwabo ni bachizabo baswanela kwihaiwa chiyakwana, bobulyo fela sina mubabehailwa.
12 Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya sita, nilitazama na palikuwa na tetemeko kuu. Jua likawa jeusi kama gunia la singa, na mwezi mzima ukawa kama damu.
Imbelele haiyalula chilamatela chimana iyanza ni chimwina, nibalweli mi kubena izikinyho ikando yenkanda. Izuba libasanduki busihe bwesaka lizwile boza bwepene, imi mwezi ubasanduki sina malaha.
13 Nyota za mbinguni zikaanguka katika nchi, kama mtini upukutishavyo matunda yake ya wakati wa baridi unapotikiswa na kimbunga.
Inaleli zakwiwuli nizawila munkanda, mane sina chisamu chefeige hachiwisa zihantu zacho zisenikubuzwa hachinyungwa liñungwa.
14 Anga ilitoweka kama gombo lililoviringishwa. Kila mlima na kisiwa vilihamishwa mahali pake.
Imbyumbyulu ibazwiko sina imbuka ikwete ibungelwa. Ilundu ni chinda chimwi ni chimwi chibasutiswa kuzwiswa hachibaka chateni.
15 Kisha wafalme wa nchi na watu maarufu na majemadari, matajiri, wenye nguvu, na kila mmoja aliye mtumwa na huru, wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.
Linu simwine wahansi ni bantu basepahala, ni bayezi bempi, bafumite, bena maata, ni zumwi ni zumwi bulyo, batanga ni tukuluho, babaliwungili mumahaha amabwe ni mumabwe amalundu.
16 Wakaiambia milima na miamba, “Tuangukieni! Tuficheni dhidi ya uso wake aketiye kwenye kiti cha enzi na kutoka hasira ya mwanakondoo.
Babawambi kumalundu ni mabwe, “Muwile hetu! Mutuwungule kuchifateho chawumwina wikele hachihuna chabusimwine ni kubukali bwembelele.
17 Kwa kuwa siku kuu ya gadhabu yao imewadia, na ni nani awezaye kusimama?”
Mukuti izuba ikando labukali bwabo chilyasika. Njeni yowola kuzima?