< Ufunuo 5 >

1 Kisha nikaona katika mkono wa kulia wa yule aliyekuwa amekaa katika kiti cha enzi, gombo lililoandikwa mbele na nyuma, na lilikuwa limetiwa mihuri saba.
Rêngsukmuna ânsung ngâipu kut changtieng han lekhazuot ku mua; maha kângnika ânziek mohôr sari ngei mohôr ânnam leta ânthom ani.
2 Nilimwona malaika mwenye nguvu akihubiri kwa sauti kubwa, “Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake?”
Vântîrton râttak ku mua, rôl inringtakin, “Tu mo aminpipna mo-onga, lekhazuot ha aphar thei rang ni zoi?” tiin tânghâi ku mu sa.
3 Hakuna mtu mbinguni au duniani au chini ya dunia aliyeweza kulifungua gombo au kulisoma.
Aniatachu invâna, pilchunga aninônchu rammuol nuoia khom tute lekhazuot mo-onga asûnga a en thei rang reng om mak ngei.
4 Nililia kwa uchungu kwa kuwa hakupatikana yeyote aliyestahili kulifungua gombo au kulisoma.
Lekhazuot hah a mo-onga, asûnga a en theiruo tute an om loi sikin ka chap ngungûia.
5 Lakini mmoja wa wazee akaniambia, “Usilie. Tazama! Simba wa kabila ya Yuda, shina la Daudi, ameshinda, na anaweza kulifungua gombo na mihuri yake saba.”
Hanchu upangei lâia inkhatin ko kôm, “Chap no roh. En roh! Juda jâta ikeibaknei, David richisuonpâra roiinpui han, a menea, male ama han aminpipna sari ngei hah akheka lekhazuot hah a mo-ong thei zoi,” a tia.
6 Kati ya kiti cha enzi na wenye uhai wanne na miongoni mwa wazee, niliona mwanakondoo amesimama, akionekana kama aliye uawa. Alikuwa na pembe saba na macho saba - hizi ni roho saba za Mungu zilizotumwa duniani kote.
Hanchu Belrite hah rêngsukmun alâitak han ânding ku mua, iring parân minli ngei le upangei hah arihîla an om ani. Belrite that sai anghan ânlanga. Maha rikingei sari le mitngei sari a dôna, ma ngei hah Pathien ratha sari ngei pilchung pumpuia tîra om ngei hah an ni.
7 Akaenda akalichukua gombo kutoka katika mkono wa kuume wa yule aliye kaa katika kiti cha enzi.
Belrite hah a sea male rêngsukmuna ânsung ngâipu kut changtieng renga lekhazuot hah ava lâk zoia.
8 Alipolichukua gombo, wenye uhai wanne na wazee ishirini na wanne wakainama hadi nchi mbele ya mwanakondoo. Kila mmoja alikuwa na kinubi na bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini.
Ma anghan a thoa anîn chu, iring parân minli ngei le upa sômnikleiminli ngei han serânda le rângkachak khuriâingei mirimhoia sip chôi pakin Belrite makunga han an inboka, ma ngei hah Pathien mingei chubaithonangei ani.
9 Waliimba wimbo mpya: “Unastahili kulitwaa gombo na kuzifungua muhuri zake. Kwa kuwa ulichinjwa, na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu wa kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
Anni ngei han lâ thar an thoa: “Nangma chu lekhazuot lâk theiruo le a minpipnangei kheka mo-ong thei ni ni. Thatin no oma, male thina nên pêkna han Pathien ta rangin jâttina mingei, chongtina mingei, namtina mingei le ruitina mingei no rochôk zoi.
10 Ukawafanya ufalme na makuhani kwa ajili ya kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala juu ya nchi.”
Kin Pathien sintho rangin rêngrama ochaingei ni sin ngei zoi ani, male anni ngei han pilchunga roijêk an tih.”
11 Kisha nilitazama na nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kiti cha enzi - idadi yao ilikuwa 200, 000, 000 na wenye uhai na wazee.
Ko hong en nôka, male vântîrtonngei rôl ki rieta, isâng tamtak le isângrazasôm tamtak an ni! rêngsukmun rihîla han an indinga, iring parân minli ngei le upangei khom an om sa,
12 Wakasema kwa sauti kuu, “Astahili mwanakondoo ambaye amechinjwa kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, heshima, utukufu, na sifa.”
male rôl inringtakin lâ an thoa: “Belrite thata omsai hih sinthotheina, neinunsampâr, vârna le râtna, miritna, roiinpuina le minpâkna man theiruo piel ani!”
13 Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn g165)
Male invâna, pilchunga, rammuol nuoia, le tuikhanglien sûnga iring parânngei murdi vânnuoia iring murdi ngei le lâ an thoa: “Rêngsukmuna ânsung ngâipu le Belrite kôm han, minpâkna le miritna, roiinpuina le sinthotheina ngei, tuonsôt tuonsôtin om rese!” (aiōn g165)
14 Wenye uhai wanne wakasema, “Amina!” na wazee wakainama chini na kuabudu.
Iring parân minli ngei han, “Amen!” tiin an thuona, male upangei han inbokin chubai an mûk zoi.

< Ufunuo 5 >