< Ufunuo 5 >

1 Kisha nikaona katika mkono wa kulia wa yule aliyekuwa amekaa katika kiti cha enzi, gombo lililoandikwa mbele na nyuma, na lilikuwa limetiwa mihuri saba.
Nantele nalola hukholo olelo ogwola ali akheye pitengo elyeshimwene, ibhangili lyalyasimbilwe witagalila na hunyuma, lyali libhehewe amahuri saba.
2 Nilimwona malaika mwenye nguvu akihubiri kwa sauti kubwa, “Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake?”
Ehalolile ontumi uwenguvu ya hubili wizu igosi, “Wenu yahwansiwa ahwigule ibhagili nabudulanye emihuli yakwe?”
3 Hakuna mtu mbinguni au duniani au chini ya dunia aliyeweza kulifungua gombo au kulisoma.
Nomo omntu amwanya olwenje mnsi olwenje pansi eyensi yawezize ahwigule ibhagili olwenje abhozye.
4 Nililia kwa uchungu kwa kuwa hakupatikana yeyote aliyestahili kulifungua gombo au kulisoma.
Ehalilile wilyoyo afatanaje yoyonti yahansihwaga ahwigule ibhangili olwenje abhazye.
5 Lakini mmoja wa wazee akaniambia, “Usilie. Tazama! Simba wa kabila ya Yuda, shina la Daudi, ameshinda, na anaweza kulifungua gombo na mihuri yake saba.”
Lelo omo ogogolo wambozya, “Osilile. Enya! Simba ohwi kabila elya Yuda, owila ndazi elya Daudi, amenile awezizye, ahwigule ibangili namihuri gakwe saba.”
6 Kati ya kiti cha enzi na wenye uhai wanne na miongoni mwa wazee, niliona mwanakondoo amesimama, akionekana kama aliye uawa. Alikuwa na pembe saba na macho saba - hizi ni roho saba za Mungu zilizotumwa duniani kote.
Kati eyetengo elyeshimwene nebho ebhewomi bhane namwebho agogolo, ehalolile omwanangole ayemeleye, abhoneshe aje yagogwilwe. Aline mpeta saba na maso saba - ezi mpepo saba ezya Ngolobhe zyazisontezewe mnsi yonti.
7 Akaenda akalichukua gombo kutoka katika mkono wa kuume wa yule aliye kaa katika kiti cha enzi.
Wabhala wega ibhangili afume hukhonolelo hwola yakheye pitengo elyeshi mwene.
8 Alipolichukua gombo, wenye uhai wanne na wazee ishirini na wanne wakainama hadi nchi mbele ya mwanakondoo. Kila mmoja alikuwa na kinubi na bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini.
Nahejile ibangili, ebhehwemi bhane na gogolo amalongo gabhele na gane bhasulama paka pansi hwitagalila ya mwanangole. Shila omo alineshinumbi ne mbakuli eye dhahabu yehamemile ouvumba ushele mputo yabha kweteo.
9 Waliimba wimbo mpya: “Unastahili kulitwaa gombo na kuzifungua muhuri zake. Kwa kuwa ulichinjwa, na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu wa kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
Bhatelile eng'oma empya: “Ohwanziwa ahweje ibangili na azigule emihuri zyakwe. Afwatane aje ohabholilwe, nidanda lyao wakalila Ongolobhe wetu hu ma kabela, hunjango, amwabho nensi.
10 Ukawafanya ufalme na makuhani kwa ajili ya kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala juu ya nchi.”
Wabhalenganya oumwene na ouchugaji owahu tumishile Ongolobhe wetu, bhape bhabhatawale pamwanya pensi.”
11 Kisha nilitazama na nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kiti cha enzi - idadi yao ilikuwa 200, 000, 000 na wenye uhai na wazee.
Nantele ehenyizye nahuvwe esauti eya antumi abhinji azyongole itengo elyeshimwene - idadi lyabho lyali 200, 000, 000 na ebhewomi na gogolo.
12 Wakasema kwa sauti kuu, “Astahili mwanakondoo ambaye amechinjwa kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, heshima, utukufu, na sifa.”
Bhayanga hu sauti engosi, “Ahwanziwa omwanangole yashele abholilwe aposheye owezo, otajiri, empyana, enguvu, olwiho, oluzuvio, na nsombo.”
13 Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn g165)
Nonvwa honti haha bhombwelwe hahali amwanya na ensiyonti na pansi pensi na amwanya pansombi, shila hantu mhati yakwe hayanga, “Hwa mwene yakheye pamwanya pitengo elyeshimwene na hwa mwanangole, hunsombo, olwiho, oluzuvwo, ne nguvu eya tawale wilawila.” (aiōn g165)
14 Wenye uhai wanne wakasema, “Amina!” na wazee wakainama chini na kuabudu.
Ebhe womi bhayanga, “Lioli!” nagogolo bhinama pansi na puhupute.

< Ufunuo 5 >