< Ufunuo 22 +
1 Kisha malaika akanionesha mto wa maji ya uzima, maji yalikuwa ya mng'ao kama wa bilauri. Yalikuwa yakitiririka kutoka katika kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo
Ještě mi ukázal řeku života, čistou jako křišťál. Vyvěrala z trůnu Boha a Beránka a protékala na náměstí toho města.
2 Kupitia katikati ya mtaa wa mji. Katika kila pembe ya mto palikuwa na mti wa uzima, unaozaa aina kumi na mbili za matunda, na huzaa matunda kila mwezi. Majani ya mti ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
Po obou jejích březích rostl strom života nesoucí dvanáct druhů ovoce, na každý měsíc jeden. A listy toho stromu sloužily všem ke zdraví.
3 Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo kitakuwemo ndani ya mji, na watumishi wake watamtumikia.
Tam nebude vůbec nic škodlivého. Vládě Boha a Beránka se všichni ochotně podřídí.
4 Watamuona uso wake, na jina lake litakuwa juu ya vipaji vya nyuso zao.
Budou ho vidět tváří v tvář a na čele ponesou jeho jméno.
5 Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Už se tam nikdy nesetmí, takže nebudou rozsvěcet lampy ani čekat na východ slunce. Bůh bude jejich stálé světlo a s ním budou kralovat na věky věků. (aiōn )
6 Malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana Mungu wa roho za manabii alimtuma malaika wake kuwaonesha watumishi wake kitakachotokea hivi karibuni.”
Anděl mi řekl: „Tato slova jsou spolehlivá a pravdivá. Pán Bůh, který dával svého Ducha prorokům, mě poslal, abych oznámil jeho služebníkům, co se zanedlouho stane.
7 “Tazama! Ninakuja upesi! Amebarikiwa yeye anayeyatii maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Vzkazuje vám: Pozor, přijdu náhle! Dobře dělá, kdo bere vážně proroctví této knihy.“
8 Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuona mambo haya. Nilipoyasikia na kuyaona, nilianguka chini mwenyewe mbele ya miguu ya malaika kumwabudu, malaika aliyenionesha mambo haya.
Když jsem to všechno já, Jan, slyšel a viděl, padl jsem před svým průvodcem na kolena.
9 Akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi mwenzako, pamoja na ndugu zako manabii, pamoja na wale wanaotii maneno ya kitabu hiki. Mwabudu Mungu!”
On mi však řekl: „Nech toho, vždyť jsem jen spoluslužebník tvůj i tvých bratří, proroků a těch, kdo budou dbát slov této knihy. Před Bohem klekej!“
10 Akaniambia, “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki, maana wakati umekaribia.
Pak dodal: „Nic z toho nezatajuj, ale zveřejni to. Doba těch událostí se nezadržitelně blíží.
11 Asiye mwenye haki, aendelee kutokuwa mwenye haki. Ambaye ni mchafu kimaadili, na aendelee kuwa mchafu kimaadili. Mwenye haki, na aendelee kuwa mwenye haki. Aliye mtakatifu, na aendelee kuwa mtakatifu.”
Kdo činíš bezpráví, pokračuj, kdo máš rád špínu, válej se v ní. Kdo jsi však přijal Kristovu bezúhonnost, jednej podle toho, kdo zápasíš o čistý život, nepolevuj!
12 “Tazama! Naja upesi. Ujira wangu uko pamoja nami, kumlipa kila mmoja kulingana na alichokifanya.
Čekejte, přijdu už brzo a odplatím každému podle jeho činů.
13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
Já jsem první i poslední, začátek i konec.
14 Wamebarikiwa wale waoshao mavazi yao ili kwamba wapate haki ya kula kutoka katika mti wa uzima na kuuingia mji kupitia malangoni.
Šťasten, kdo má očištěné srdce: před ním se otevírá věčný život a brány nebeského města,
15 Nje kuna mbwa, wachawi, wazinzi, wauwaji, waabudu sanamu, na kila apendaye na ashuhudiaye ushahidi wa uongo.
venku zůstanou pohlavně nevázaní, zvrhlíci, šarlatáni, vrazi a všichni, kdo dávají čemukoliv přednost před Bohem a libují si v podvodech.
16 Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia kuhusu mambo haya kwa makanisa. Mimi ni mzizi wa uzao wa Daudi, Nyota ya Asubuhi ing'aayo.”
Já, Ježíš, jsem pověřil svého posla, aby tuto zvěst vyřídil církvi. Já, potomek velkého krále Davida, Jitřenka nového svítání.“
17 Roho na Bibi harusi asema, “Njoo!” Na yeye asikiaye aseme, “Njoo!” Yeyote aliye na kiu, na aje, na yeyote anayetamani, na apate maji ya uzima bure.
Duch i církev volají: „Přijď!“A všichni, kdo je slyší, ať se připojí svým: „Přijď!“Kdo žízníš, pojď sem a čerpej zdarma vodu života.
18 Namshuhudia kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Kama yeyote ataongeza katika hayo, Mungu atamuongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Upozorňuji každého čtenáře této knihy; kdo k ní něco přidá, dostane přidáno Božích ran tady popsaných.
19 Kama mtu yeyote atayaondoa maneno ya kitabu hiki cha unabii, Mungu ataondoa sehemu yake katika mti wa uzima na katika mji mtakatifu, ambayo habari zake zimeandikwa ndani ya kitabu hiki.
Kdo z ní něco ubere, tomu Bůh odepře přístup ke stromu života i do svatého města, o kterých jste tu četli.
20 Yeye ashuhudiaye mambo haya asema, “Ndiyo! Naja upesi.” Amina! Njoo, Bwana Yesu!
Ten, kdo stojí za slovy této knihy, praví: „Jistě, přijdu brzy.“Ano, přijď, Pane Ježíši!
21 Neema ya Bwana Yesu iwe na kila mtu. Amina.
Vám všem, milí čtenáři, platí dosud nabídka Kristovy milosti!