< Ufunuo 21 >

1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza zimekwishapita, na bahari haikuwepo tena.
Hanchu invân thar le pilchung thar ku mua; invân masa le pilchung masa ngei ha ânmanga, male tuikhanglien khom ânmangrip zoi.
2 Niliona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambao ulikuja chini kutoka mbinguni kwa Mungu, ulioandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
Male Khopuilien Inthieng, Jerusalem thar hah, moiin a pasal don ranga ânthoka ân zoisai anghan Pathien kôm invân renga juong chum ku mu sa.
3 Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao. Watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa nao na atakuwa Mungu wao.
Rêngsukmun renga rôl inringtakin ahong chongin ki rieta: “Atûn Pathien in chu munisingei lâia ajuong om zoi! Ama chu an kôm om a ta, male anni ngei hah a mingei nîng an tih. Pathien lelên an kôm om a ta, male ama hah an Pathien nîng atih.
4 Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na hapatakuwa na kifo tena, au kuomboleza, au kulia, au maumivu. Mambo ya zamani yamekwishakupita.
Ama'n an mitta mitrithingei murdi hûiminsâi pe ngei atih. Thina om khâi no nia, beidongnangei, chapnangei aninônchu natnangei khom om khâi no ni. Neinun muruo ngei hah ânmang suozoi.”
5 Yeye ambaye alikuwa ameketi juu ya kiti cha enzi alisema, “Tazama! Nafanya mambo yote kuwa mapya.” Alisema, “Andika hili kwa sababu maneno haya ni ya hakika na kweli.”
Hanchu rêngsukmuna insung ngâipu han a tia, “Male atûn chu neinunngei murdi ki sin minthar zoi!” Ama han ko kôm, “Ma hih miziek roh, asik chu hi chongngei hih adik le taksônom an ni, a ti sa.”
6 Aliniambia, “Mambo haya yalikwisha kupita! Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyote aonaye kiu nitampatia kinywaji bila gharama kutoka katika chemchemi za maji ya uzima.
Male ko kôm, “Ân zoi suozoi! Keima hih amotontak le anûktak, aphutna le amongna ki nih. Tukhom an tuiinrâl ngei murdi chu ringna tuikuong renga han amanboiin min nêk ngei ki tih, a tia.
7 Yeye ashindaye atayarithi mambo haya, na nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Amenepu ngei ngân chu hima ngei hih ko kôm renga man an tih: keima an Pathien nîng ka ta, male anni ngei hah ka nâingei nîng an tih.
8 Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Aniatachu mithâidôpngei, iemomloingei, pinkuohurngei, mithatngei, inditnasaloi thongei, dôichôingei, mirmil biekngei, le milakngei murdi—omna rang mun chu mei le Kât kângna dîl hah ani, maha thi inikna ani.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
9 Mmoja wa malaika saba alikuja kwangu, mmoja ambaye alikuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho na alisema, “Njoo hapa. Nitakuonesha bibi harusi, mke wa mwana kondoo.”
Vântîrton sari ngei lâia inkhat khuriâi saria sip ripuingei mongna chôipu han ko kôm a honga, “Hong roh, male Belrite lômnu rang Moi hah nang min mu ki tih,” ni tia.
10 Kisha alinichukua mbali katika Roho kwenye mlima mkubwa na mrefu na alinionesha mji mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka chini kutoka mbinguni kwa Mungu.
Ratha'n mi manga, male vântîrton han muol insângtak sîpa ni tuonga. Pathien kôm invân renga juong chum Khopuilien Inthieng, Jerusalem hah mi min mua
11 Yerusalemu ulikuwa na utukufu wa Mungu, na uzuri wake ulikuwa kama kito cha thamani, kama jiwe la kioo safi la yaspi.
male Pathien roiinpuinân ântêrdapa. Khopuilien hah lungmantam jasper lung angin, crystal lung anghan avâra.
12 Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye milango kumi na miwili, pamoja na malaika kumi na wawili milangoni. Juu ya milango palikuwa pameandikwa majina ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.
Kulpuilien roiinpui, insâng a dôna, mokotngei sômleinik hah vântîrtonngei sômleinik a enkol rang an oma. Mokotngei chunga han Israel jât sômleinik ngei riming ânzieka.
13 Upande wa mashariki palikuwa na milango mitatu, upande wa kusini milango mitatu, upande wa kaskazini milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu.
Akângtieng zet han mokotngei inthum aom paka: nisuotieng inthum, simtieng inthum, mârtieng inthum, nitâktieng inthum.
14 Kuta za mji zilikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake palikuwa na majina kumi na mawili ya mitume kumi na wawili wa Mwana Kondoo.
Khopuilien kulpui hah lungphûm sômleinik chunga sin ania, mangei chunga han Belrite tîrton sômleinik ngei riming ânzieka.
15 Mmoja aliyeongea nami alikuwa na kipimo cha fimbo iliyotengenezwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mji, milango yake na kuta zake.
Vântîrton mi chongpuipu han khopuilien mokotngei le a kulpuingei minkhî rangin rângkachak minkhîna rotuon a dôna.
16 Mji uliwekwa ndani ya mraba; urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Alipima mji kwa kipimio cha fimbo, stadia 12, 000 kwa urefu (urefu wake, upana, na kimo vilifanana).
Khopuilien hah arikil atabanga, adung akhang an êlbanga. Vântîrton han minkhîna rotuon leh khopuilien hah a minkhia: adung hah mile isângkhat raza rangnga ania, akhang le ânsâng khom adung dôr ani.
17 Vilevile alipima ukuta wake, unene wake ulikuwa dhiraa 144 kwa vipimo vya kibinadamu (ambavyo pia ni vipimo vya malaika).
Vântîrton han kulpui khom a minkhi sa nôka, male ânsâng hah feet 216 ania, minkhîna an mang ngâi a chôi dungjûiin.
18 Ukuta ulikuwa umejengwa kwa yaspi na mji wenye dhahabu safi, kama kioo safi.
A kulpui hah jasper lunga sin ania, male khopuilien hah rângkachak ânthârlaka sin ania, lîm-en dôra vârliei ani.
19 Misingi ya ukuta ilikuwa imepambwa na kila aina ya jiwe la thamani. La kwanza lilikuwa yaspi, la pili lilikuwa yakuti samawi, la tatu lilikuwa kalkedon, la nne zumaridi,
Khopuilien kulpui lungphûmngei hah lungmantamngei jât dadangngei leh minvo ani. Lungphûm motontak hah jasper ania, inikna hah sapphire ania, inthumna hah agate ania, minlina hah emerald ania,
20 la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolitho, la nane zabarajadi, la tisa yakuti ya manjano, la kumi krisopraso, la kumi na moja hiakintho, la kumi na mbili amethisto.
rangngana hah onyks ania, urukna hah carnelien ania, sarina hah kuartz eng ania, irietna hah beryl ania, ikuona hah topaz ania, sômna hah chalcedony ania, sômleikhatna hah turkuoise ania, sômleinikna hah amethyst ani.
21 Milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili, kila mlango ulitengenezwa kutoka kwenye lulu moja. Mitaa ya mji ilikuwa dhahabu safi, ikionekana kama kioo safi.
Mokot sômleinik ngei hah lungintêrngei sômleinik an nia; mokot zet hah lungintêr inkhata sin chit an ni. Khopuilien lamlien hah rângkachak ânthârlaka sin ania, lîm-en eninlenpatthei anghan ani.
22 Sikuona hekalu lolote ndani ya mji, kwa kuwa Bwana Mungu, ambaye anatawala juu ya vyote, na Mwana Kondoo ni hekalu lake.
Khopuilien sûng han biekin reng mu ma unga, Pumapa Pathien Râtinchung le Belrite hih biekin an ni sikin.
23 Mji haukuhitaji jua au mwezi ili kungaza juu yake kwa sababu utukufu wa Mungu uliangaza juu yake, na taa yake ni Mwana Kondoo.
Khopuilien chunga êlminvâr rangin nisa le thâ nâng khâi maka, Pathien roiinpuinân a êlminvâr ngâi sikin, le Belrite hih a châti ani.
24 Mataifa watatembea kwa mwanga wa mji huo. Wafalme wa dunia wataleta fahari zao ndani yake.
Rammuola mingei hah avâra han lôn an ta, male pilchunga rêngngei an roiinpuinangei hong chôi lût an tih.
25 Milango yake haitafungwa wakati wa mchana, na hapatakuwa na usiku pale.
Khopuilien mokotngei hah sûntin mo-ongin om a ta; khârin om tet noni ngei, mahan jân aom khâiloi rang sikin.
26 Wataleta fahari na heshima ya mataifa ndani yake,
Khopuilien sûnga han namtinngei roiinpuina le neinunsampâr hong chôi lût nîng atih.
27 na hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake. Wala yeyote ambaye afanyaye jambo lolote la aibu au udanganyifu hataingia, bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana Kondoo.
Aniatachu neinun inthiengloi ngei, tukhom inzakpuiom sin thongei le milak thongei chu khopuilien sûnga han ite lûtpui thei no ni ngei. Belrite ringna lekhabua an rimingngei mizieka ompu ngei vai kêng ma khopuilien han an lût thei rang ani.

< Ufunuo 21 >