< Ufunuo 21 >
1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza zimekwishapita, na bahari haikuwepo tena.
Linu chinabona iwulu ihya ni nikanda inhya, mukuti iwulu lyetanzi ni inkanda lyetanzi zibamani, imi kana kubasina iwate.
2 Niliona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambao ulikuja chini kutoka mbinguni kwa Mungu, ulioandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
Chinabona muleneñi, Jerusalema muhya, kuti chilizwa mukati kewulu kuzwa kwe Ireeza, yolibakanya sina museswa yolilotuseza muhyabwe.
3 Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao. Watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa nao na atakuwa Mungu wao.
Nibazuwi inzwi inkando lizwa hachihuna licho, “Bone! Chibaka chabwikalo bwa Ireeza chinakubantu, imi mwahale nabo. Kababe bantu bakwe, imi Ireeza iyemwine kabenabo imi kabe Ireeza wabo.
4 Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na hapatakuwa na kifo tena, au kuomboleza, au kulia, au maumivu. Mambo ya zamani yamekwishakupita.
Kasinde zisonzi zonse mumenso abo, imi kese nikube nifu, kapa kubilayela, kapa kulila, kapa kuchiswa. Zintu zakale zibahiti.
5 Yeye ambaye alikuwa ameketi juu ya kiti cha enzi alisema, “Tazama! Nafanya mambo yote kuwa mapya.” Alisema, “Andika hili kwa sababu maneno haya ni ya hakika na kweli.”
Yabakele hachihuna chati, “Bone! Nipanga zintu zonse buhya,” Nati, “Ñole izi hansi kakuli aa manzwi asakusima ni buniti.”
6 Aliniambia, “Mambo haya yalikwisha kupita! Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyote aonaye kiu nitampatia kinywaji bila gharama kutoka katika chemchemi za maji ya uzima.
Chati kwangu, “Izi zintu chizamana! Njime wetanzi ni wamamani mani, wa matanginzo ni wa mamaninizo. Yofwile innyotwa kanimuhe chakunywa nikusena chaliha kuzwa muchisima chamenzi abuhalo.
7 Yeye ashindaye atayarithi mambo haya, na nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Yetanazunde kayole izi zintu, imi Kanibe Ireeza wakwe, imi kabe mwan'a ngu.
8 Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Kono kumapyeha, betumelo inini, basenahabekele, behayi, basangu, balozi bachikwame, balapela maswaniso, imi nimasawana bonse, chibaka chabo kachibe chiziba chamulilo umbukuka wo bumbe. Njokuti njefu lyabubeli.” (Limnē Pyr )
9 Mmoja wa malaika saba alikuja kwangu, mmoja ambaye alikuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho na alisema, “Njoo hapa. Nitakuonesha bibi harusi, mke wa mwana kondoo.”
Limwi kumañiloi atenda iyanza in obele chilyeza kwangu, limwi libakukwete tuhambwe twizwile inziyezi zikwana iyanza nitobele, imi chati, “Wize kunu. Munikutondeze museswa, mwihyabwe we Mbelele.”
10 Kisha alinichukua mbali katika Roho kwenye mlima mkubwa na mrefu na alinionesha mji mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka chini kutoka mbinguni kwa Mungu.
Linu chanitwala Muluhuho helundu inkando liwumbukite imi nikunitondeza muleneñi uchenete wa Jerusalema niukazwa kwiwulu kwe Ireeza kwiza hansi.
11 Yerusalemu ulikuwa na utukufu wa Mungu, na uzuri wake ulikuwa kama kito cha thamani, kama jiwe la kioo safi la yaspi.
Jerusalema ibene ikanya ya Ireeza, imi iseli lyateni libenya sina ibwe lyabutokwa, sina ibwe lyajaspe libelela sina kristal.
12 Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye milango kumi na miwili, pamoja na malaika kumi na wawili milangoni. Juu ya milango palikuwa pameandikwa majina ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.
Ubikitwe mulukwakwa lukando lule kwina milyango ikwana ikumi ni yobele, ni mañiloi akwana ikumi niwobele. Imi hamilwango habañoletwe mazina abana ba Isilaele akwana ikumi ni wobele.
13 Upande wa mashariki palikuwa na milango mitatu, upande wa kusini milango mitatu, upande wa kaskazini milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu.
14 Kuta za mji zilikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake palikuwa na majina kumi na mawili ya mitume kumi na wawili wa Mwana Kondoo.
Imota lya muleneñi libena mitomo, ina ikumi ni milyango yobele, imi kwili kubena mazina ene ikumi ni obele abalutwana bena ikumi ni bobele be Imbelele.
15 Mmoja aliyeongea nami alikuwa na kipimo cha fimbo iliyotengenezwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mji, milango yake na kuta zake.
Yabawambi name abena inkoli yakupimisa ibatendwa chegauda kupimisa Muleneñi, milyango ni mamota ateni.
16 Mji uliwekwa ndani ya mraba; urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Alipima mji kwa kipimio cha fimbo, stadia 12, 000 kwa urefu (urefu wake, upana, na kimo vilifanana).
Muleneñi ubazalitwa chenkona zone; bule bwateni bubali kulikanelela ni mubufuhi bwateni, Abapimi muleneñi chenkoli yakupimisa, zikiti zina ikumi ni zobele mubule (bule bwao, zibalikuswana).
17 Vilevile alipima ukuta wake, unene wake ulikuwa dhiraa 144 kwa vipimo vya kibinadamu (ambavyo pia ni vipimo vya malaika).
Abapimi bulyo ni mota lyateni, bukima bwamakiyibbu ena 144 chamupimino wabuntu (Ili ichita chipimo cheñiloi hape).
18 Ukuta ulikuwa umejengwa kwa yaspi na mji wenye dhahabu safi, kama kioo safi.
Imota libazakwa chajaspe ni muleneñi chegauda ineine, ni gilasi ibelela.
19 Misingi ya ukuta ilikuwa imepambwa na kila aina ya jiwe la thamani. La kwanza lilikuwa yaspi, la pili lilikuwa yakuti samawi, la tatu lilikuwa kalkedon, la nne zumaridi,
Mitomo yamamota abakabiswe chamabwe amifuta yonse. Chetanzi ibali jaspa, chabubeli ibali safiro, chabutatu ibali kalesedo, chabune ibali emeralda,
20 la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolitho, la nane zabarajadi, la tisa yakuti ya manjano, la kumi krisopraso, la kumi na moja hiakintho, la kumi na mbili amethisto.
Chikwana iyanza ibali sardlusi, chikwana iyanza ni chimwina ibali sardiyo, chikwana iyanza ni zobele ibali krisolito, chikwana iyanza ni zotatwe ibali berilo, chikwana iyanza ni zone ibali topazo, chikwana ikumi ibali krizoprazo, chikwana ikumi ni chimwina ibali jasinto, mi chikwana ikumi ni zobele ibali ametisto.
21 Milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili, kila mlango ulitengenezwa kutoka kwenye lulu moja. Mitaa ya mji ilikuwa dhahabu safi, ikionekana kama kioo safi.
Ziyazo zamilyango zibena ikumi ni zobele zibali zalipelela; umwi ni umwi wamilyango ubapangiwa hepelela yonke. Mikwakwa yamuleneñi ibali yagauda yineyine, sina igilazi ibelela.
22 Sikuona hekalu lolote ndani ya mji, kwa kuwa Bwana Mungu, ambaye anatawala juu ya vyote, na Mwana Kondoo ni hekalu lake.
Kananibaboni itempele mumuleneñi, chokuti Simwine Ireeza wina Maata Wonse ni Mbelele bekele mwitempele.
23 Mji haukuhitaji jua au mwezi ili kungaza juu yake kwa sababu utukufu wa Mungu uliangaza juu yake, na taa yake ni Mwana Kondoo.
Muleneñi kakubena intokwahalo yezuba kapa mwezi ili kutu kubenye mukuti ikanyaye Ireeza ibamuniki hateni, mi ilambi lyate imbelele.
24 Mataifa watatembea kwa mwanga wa mji huo. Wafalme wa dunia wataleta fahari zao ndani yake.
Mishobo kayiwambe cheli iseli lyowuna muleneñi. Malena bahansi kabalete chifumu chabo muwuli. Mushobo wete upuluswe kawuwambe cheseli lyowuna muleneñi.
25 Milango yake haitafungwa wakati wa mchana, na hapatakuwa na usiku pale.
Minyango yateni keti niyiyale mukati kezuba, mi ketenikube masiku kwateni.
26 Wataleta fahari na heshima ya mataifa ndani yake,
Kabalete mwateni chifumu chabo ni tompo yakumisho yabo,
27 na hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake. Wala yeyote ambaye afanyaye jambo lolote la aibu au udanganyifu hataingia, bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana Kondoo.
mikakwina chisajololi cheti nichinjile mwateni. Kapa zumwi ni zumwi yotenda chintu chonse chiswabisa kapa chichenga yeti nenjile, kono haisi abo bamazina añoletwe muMbuka ye Mbelele ya Buhalo.