< Ufunuo 21 >

1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza zimekwishapita, na bahari haikuwepo tena.
Niki mito shulu sa mba sa meme, niwa shulu u mumla mba meme wu mumla baka hi ye i kpantre imma ana la he na.
2 Niliona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambao ulikuja chini kutoka mbinguni kwa Mungu, ulioandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
Mito tsatsra gbua, isa urushelima, wa grji ye rhini shulu u, Irji wa ba mlati to wa ba mla wa sa ti ni kpibi yabi ni lonma.
3 Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao. Watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa nao na atakuwa Mungu wao.
Mi wo kikle ilan rhini kursiyima ni tre ndji “ya! bubu son u ijjhi a he nimi mri inji, wa ani son niba. Ba kmati inji ma, Irji kima ani he niba wa ani Irjhi mba.
4 Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na hapatakuwa na kifo tena, au kuomboleza, au kulia, au maumivu. Mambo ya zamani yamekwishakupita.
Ani se mashishi rhuni shishimbs, i ikwu na la he na koka losron ka iyi, ka lokpa. ikpi bi gbangban baka ni ye.
5 Yeye ambaye alikuwa ameketi juu ya kiti cha enzi alisema, “Tazama! Nafanya mambo yote kuwa mapya.” Alisema, “Andika hili kwa sababu maneno haya ni ya hakika na kweli.”
Wawu wa a son ni kursiyina tre ndi, ya mi kpakpi wawu kmati sa a tre ndi nha wayi zi nitu lan tre biyi amintatu nda hi janji.
6 Aliniambia, “Mambo haya yalikwisha kupita! Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyote aonaye kiu nitampatia kinywaji bila gharama kutoka katika chemchemi za maji ya uzima.
A tre nime, “ba ti kpibiyi! me yi mi Alpha mba Omega u mumla mba ukle. wandi aniti hlanma, mi nu so hama du han rhini tuba wu ma u sisren.
7 Yeye ashindaye atayarithi mambo haya, na nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Wandi a rhi kua ani kpa kpibiyi, i mi he irji ma, wawu anii vren mu.
8 Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Nitu bi sisrisron, bi hama ni yosron kri gbangban, bi ti kpibi kpatimeme, bi wuunji, bi ti ngluka, bi hu mri brji, baba wawu bi tiche, bubu mba ni he nimi kpan tre ilu wu gon ni nfu mba ni sulfur. Kima hi kwu u ha. (Limnē Pyr g3041 g4442)
9 Mmoja wa malaika saba alikuja kwangu, mmoja ambaye alikuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho na alisema, “Njoo hapa. Nitakuonesha bibi harusi, mke wa mwana kondoo.”
irji ni mi maleku tangbaba ye ni me, wawu wa a heni kugon tangban shuni (aloba) tangban bi kikle nda tre ni mi ndi, ye niwayi, mi tsro wasa a, iwa vren tmaa.
10 Kisha alinichukua mbali katika Roho kwenye mlima mkubwa na mrefu na alinionesha mji mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka chini kutoka mbinguni kwa Mungu.
Niki a banme nimi ruhu hi ni kikle mba zangbron, ingblu ri, nda ka tsro me tsatsra gbu Urushilima si grji ni rhu rhini shulu u irjhi.
11 Yerusalemu ulikuwa na utukufu wa Mungu, na uzuri wake ulikuwa kama kito cha thamani, kama jiwe la kioo safi la yaspi.
urishilima a he ni zanbi wu Irjhi, i zankpan ma a he to dutsen me tamani (precious jewel), to tita wa a kpanyazu na yasfa (jasper).
12 Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye milango kumi na miwili, pamoja na malaika kumi na wawili milangoni. Juu ya milango palikuwa pameandikwa majina ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.
A hei ni kikle, Gonka wa a gbron hon ni kikle nkontra wlodonha, mba maleku wlon don ha ni nyu kontraba. nikontra ba ba nha nde gji wlon don ha u mrilon Israila.
13 Upande wa mashariki palikuwa na milango mitatu, upande wa kusini milango mitatu, upande wa kaskazini milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu.
Niko nza, kikle kontra tra ba he, ni kotu, kontra tra ni kogbo, kontra tra, mba ni ko yalu, kontra tra.
14 Kuta za mji zilikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake palikuwa na majina kumi na mawili ya mitume kumi na wawili wa Mwana Kondoo.
Gonka wu gbuaa heni nchi wlon don ha, i nitumba nde wlo dno ha wu manzani wlon don ha wu vren ntma a he.
15 Mmoja aliyeongea nami alikuwa na kipimo cha fimbo iliyotengenezwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mji, milango yake na kuta zake.
wawu wa a tre ni me a he ni kunkron u tsa wa ba la ni zinariya, nitu wa ani tsra gbua nkotra ba, mba ni kongan ba.
16 Mji uliwekwa ndani ya mraba; urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Alipima mji kwa kipimio cha fimbo, stadia 12, 000 kwa urefu (urefu wake, upana, na kimo vilifanana).
Ba yo gbua zini du gronma mba bwuma bana tsra tsra. A tsra gbua ni kunkron u tsra; za dubu wlon don ha ni gbron. (gbronma, bwuma mba Kristma ana riri.
17 Vilevile alipima ukuta wake, unene wake ulikuwa dhiraa 144 kwa vipimo vya kibinadamu (ambavyo pia ni vipimo vya malaika).
A tsra gonka ngame i za 144 cubits wloga ni tsra wu ini ( wandi a he to maleka ba tsar ngame.
18 Ukuta ulikuwa umejengwa kwa yaspi na mji wenye dhahabu safi, kama kioo safi.
Ba mme gonka ni yesfa i gbua ni zinariya u zanbi, to kpan ni madubi.
19 Misingi ya ukuta ilikuwa imepambwa na kila aina ya jiwe la thamani. La kwanza lilikuwa yaspi, la pili lilikuwa yakuti samawi, la tatu lilikuwa kalkedon, la nne zumaridi,
Ba ka nchi meme u mmea ni kankan tita, unza, emerald.
20 la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolitho, la nane zabarajadi, la tisa yakuti ya manjano, la kumi krisopraso, la kumi na moja hiakintho, la kumi na mbili amethisto.
U ton onis, u tanne, u tangban u tandra, u tya, u wlo, u wlon don ri, mba u wlon don ha.
21 Milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili, kila mlango ulitengenezwa kutoka kwenye lulu moja. Mitaa ya mji ilikuwa dhahabu safi, ikionekana kama kioo safi.
nkontra wlon don ha bana wlon don ha, ba ti nkonba ni yiyrimba ni meme nkogbua bana kpukpa zinariya wa ata zan to glass.
22 Sikuona hekalu lolote ndani ya mji, kwa kuwa Bwana Mungu, ambaye anatawala juu ya vyote, na Mwana Kondoo ni hekalu lake.
Mina to hekali nimi gbua na, nitu Baci Irji wa a zan gbengblen wawu, mba vren ntma baba yi bana hakalima.
23 Mji haukuhitaji jua au mwezi ili kungaza juu yake kwa sababu utukufu wa Mungu uliangaza juu yake, na taa yake ni Mwana Kondoo.
Igbua ana heni kpeututi ni kpan irji mba wha na ni duba nu kpan niwu na nitu kpan tsatsra U Irjhi a kpan nituma, i ma ana vren tmaa.
24 Mataifa watatembea kwa mwanga wa mji huo. Wafalme wa dunia wataleta fahari zao ndani yake.
Gbungbulu ba zren ni kpan u gbu ki Bi chu bi meme ba nji kpan mba mba nzon hon wu meme ba riye nimi.
25 Milango yake haitafungwa wakati wa mchana, na hapatakuwa na usiku pale.
Nkon tra bana ka na
26 Wataleta fahari na heshima ya mataifa ndani yake,
Ekpe wa a tirhi na rinimi na.
27 na hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake. Wala yeyote ambaye afanyaye jambo lolote la aibu au udanganyifu hataingia, bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana Kondoo.
Mba inji wa niti kpe meme ko ni gyur, se biwa ba nha ndemba ni vunvu u bi sisren u vre tma

< Ufunuo 21 >