< Ufunuo 21 >
1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza zimekwishapita, na bahari haikuwepo tena.
Amalalu, na da Hebene gaheabolo amola osobo bagade gaheabolo ba: i. Musa: mu amola osobo bagade amola hano wayabo bagade, da mugululi hamedafa ba: i.
2 Niliona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambao ulikuja chini kutoka mbinguni kwa Mungu, ulioandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
Amalalu, na da Hadigi Moilai bai bagade, amo da Gaheabolo Yelusaleme moilai bai bagade Hebene amoga misini, gudu manebe ba: i. Gode da Yelusaleme amo osobo bagade gaheabolo amoma iasi. Yelusaleme da uda amo egoa amoma fimusa: ahoanebe liligi ida: iwane ga: ne ahoa, amo agoaiwane ba: i.
3 Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao. Watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa nao na atakuwa Mungu wao.
Na da Fisu amoga sia: bagade manebe amane nabi, “Wali Gode Ea esalebe diasu da osobo bagade dunu fi amo ganodini diala. E amola ili da gilisili esalumu. Ilia da Gode Ea fidafa esalumu. Gode da ili sigi esalumu. E da ilima Gode esalumu.
4 Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na hapatakuwa na kifo tena, au kuomboleza, au kulia, au maumivu. Mambo ya zamani yamekwishakupita.
E da ilia siga dibi hano doga: mu. Bogosu amola da: i diosu, disu amola se nabasu, amo da bu hamedafa ba: mu. Hea liligi da muguluiba: le, bu hame ba: mu.”
5 Yeye ambaye alikuwa ameketi juu ya kiti cha enzi alisema, “Tazama! Nafanya mambo yote kuwa mapya.” Alisema, “Andika hili kwa sababu maneno haya ni ya hakika na kweli.”
Amalalu, Gode (E da Fisu da: iya fisa), E amane sia: i, “Na da wali liligi huluane gaheabolo afadenesa!” E da eno nama amane sia: i, “Amo sia: i da dafawaneba: le, dedema!”
6 Aliniambia, “Mambo haya yalikwisha kupita! Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyote aonaye kiu nitampatia kinywaji bila gharama kutoka katika chemchemi za maji ya uzima.
E da eno amane sia: i, “Dagoi! Na da degabo Musu amola fa: no Dagosu esala. Nowa dunu da hano hanai galea, e da bidi mae iawane eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu hano nasu amoga hano manusa: , Na da ema logo fodomu.
7 Yeye ashindaye atayarithi mambo haya, na nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Nowa da osobo bagade hou hasalasisia, Na da ema amo hou imunu. Na da ea Gode esalumu amola e da Na mano esalumu.
8 Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Be beda: i dunu, hohonosu dunu, wadela: i uda lasu hamosu dunu, wamuni dawa: su o yagono dawa: su, loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima sia: ne gadosu dunu amola ogogosu dunu, amo huluane ilia ilegei soge da wayabo amo da lalu amola salafa amoga nenanebe ba: sa. Amo da Bogosu Ageyadu gala!” (Limnē Pyr )
9 Mmoja wa malaika saba alikuja kwangu, mmoja ambaye alikuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho na alisema, “Njoo hapa. Nitakuonesha bibi harusi, mke wa mwana kondoo.”
A: igele dunu fesuale gala ilia se nabasu ofodo fesuale gala gagui, amoga a: igele afadafa nama misini, amane sia: i, “Misa! Na da Sibi Mano Ea uda amo dima olelemu!”
10 Kisha alinichukua mbali katika Roho kwenye mlima mkubwa na mrefu na alinionesha mji mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka chini kutoka mbinguni kwa Mungu.
Gode Ea A: silibu Hadigidafa da nama ouligibi ba: i. A: igele da na goumi sedade amo da: iya aligimusa: gaguli asi. E da Yelusaleme, Hadigi Moilai bai bagade, amo Hebene yolesili, Gode da iasibiba: le, gududili manebe olelei.
11 Yerusalemu ulikuwa na utukufu wa Mungu, na uzuri wake ulikuwa kama kito cha thamani, kama jiwe la kioo safi la yaspi.
Moilai bai bagade da Gode Ea hadigi amoga hadigilalu. Ea hadigi da igi ida: iwane gala, ya: sabe amo daiya ba: su agoane ba: i.
12 Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye milango kumi na miwili, pamoja na malaika kumi na wawili milangoni. Juu ya milango palikuwa pameandikwa majina ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli.
Moilai bai bagade sisiga: le gagoi sedagawane ba: i. Amo gagoiga logo ga: su fagoyale ba: i amola a: igele dunu fagoyale gala da amo logo sosodo aligisu. Isala: ili fi fagoyale gala ilia dio da logo ga: suga dedei dialebe ba: i.
13 Upande wa mashariki palikuwa na milango mitatu, upande wa kusini milango mitatu, upande wa kaskazini milango mitatu, na upande wa magharibi milango mitatu.
Logo ga: su da agoane dialebe ba: i. Gusu la: idi udiana galu. Ga (south) la: idi udiana galu. Ga (north) la: idi udiana galu. Guma: la: idi udiana dialebe ba: i.
14 Kuta za mji zilikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake palikuwa na majina kumi na mawili ya mitume kumi na wawili wa Mwana Kondoo.
Amo gagoi da igi bai fagoyale gala, amo da: iya gagui. Amo igi bai da: iya, Sibi Mano Ea asunasi dunu fagoyale gala ilia dio dedei dialebe ba: i.
15 Mmoja aliyeongea nami alikuwa na kipimo cha fimbo iliyotengenezwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mji, milango yake na kuta zake.
A: igele amo da nama sia: i dunu, da gouli defei dagulu amo moilai bai bagade amola logo ga: su amola gagoi defei ba: ma: ne gagui dialebe ba: i.
16 Mji uliwekwa ndani ya mraba; urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Alipima mji kwa kipimio cha fimbo, stadia 12, 000 kwa urefu (urefu wake, upana, na kimo vilifanana).
Moilai bai bagade da ea la: idi amola la: idi, huluane defei afadafa defele ba: i. A: igele da ea defei dagulu amoga moilai bai bagade ea defei ba: i. Ea sedade defei da 2,400 gilomida agoane ba: i. Amola amo defei defele ba: de defei amola gado defei ba: i.
17 Vilevile alipima ukuta wake, unene wake ulikuwa dhiraa 144 kwa vipimo vya kibinadamu (ambavyo pia ni vipimo vya malaika).
A: igele da gagoi ea gado defei amola ba: i. Amo da 60 mida agoane ba: i.
18 Ukuta ulikuwa umejengwa kwa yaspi na mji wenye dhahabu safi, kama kioo safi.
Gagoi da ya: sabe igi ida: iwane gala amoga hamoi. Moilai bai bagadedafa da gouli amo da ledo hamedei agoane, amoga hamoi dagoi.
19 Misingi ya ukuta ilikuwa imepambwa na kila aina ya jiwe la thamani. La kwanza lilikuwa yaspi, la pili lilikuwa yakuti samawi, la tatu lilikuwa kalkedon, la nne zumaridi,
Moilai bai bagade ea igi bai amo da: iya igi ida: iwane gala bagohame ba: i. Age igi bai da ya: sabe, ageyadu da sa: faia, osoda da a: ga: ide, biyadu da emelalede,
20 la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolitho, la nane zabarajadi, la tisa yakuti ya manjano, la kumi krisopraso, la kumi na moja hiakintho, la kumi na mbili amethisto.
Bi da onigise, gafe da ganiliane, fesu da haliga: i gawodase, godo da belole, sesege da douba: se, nabu da ga: lesedoni, gida da degoise, fago da a: medisidi.
21 Milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili, kila mlango ulitengenezwa kutoka kwenye lulu moja. Mitaa ya mji ilikuwa dhahabu safi, ikionekana kama kioo safi.
Logo ga: su afae afae da su afadafa amoga hamoi. Moilai bai bagade ea logo da gouliga hamoi. Amo da galasi agoane, hahaloi ba: i.
22 Sikuona hekalu lolote ndani ya mji, kwa kuwa Bwana Mungu, ambaye anatawala juu ya vyote, na Mwana Kondoo ni hekalu lake.
Na da moilai bai bagade ganodini Debolo Diasu hame ba: i. Bai Hina Gode Bagadedafa amola Sibi Mano da moilai bai bagade ea Debolo gala.
23 Mji haukuhitaji jua au mwezi ili kungaza juu yake kwa sababu utukufu wa Mungu uliangaza juu yake, na taa yake ni Mwana Kondoo.
Eso ea hadigi amola oubi ea hadigi, da amo moilai bai bagadega hamedeiwane liligi. Bai Gode Ea hadigi da hadigibiba: le, amola Sibi Mano da moilai bai bagadega gamali gala.
24 Mataifa watatembea kwa mwanga wa mji huo. Wafalme wa dunia wataleta fahari zao ndani yake.
Dunu fifi asi gala da amo moilai bai bagade ea hadigiga olelebeba: le, hahawane ahoanumu. Osobo bagade ouligisu dunu da amo moilai bai bagadega ilia bagade gagui liligi gaguli misunu.
25 Milango yake haitafungwa wakati wa mchana, na hapatakuwa na usiku pale.
Moilai bai bagade ea logo ga: su da mae ga: sili, eso huluane doasiwane dialumu. Gasi da hamedafa ba: muba: le, ilia da doasiwane dialumu.
26 Wataleta fahari na heshima ya mataifa ndani yake,
Fifi asi gala huluane ilia mimogo hou amola liligi gagui huluane da Gaheabolo Yelusaleme Moilai bai bagade ganodini gaguli misi dagoi dialebe ba: mu.
27 na hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake. Wala yeyote ambaye afanyaye jambo lolote la aibu au udanganyifu hataingia, bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana Kondoo.
Be ledo amola nigima: liligi da amo moilai bai bagade golili sa: imu hamedei ba: mu. Nowa dunu da wadela: i hou hamosa o ogogosu hou hamosa esalea, da amo moilai bai bagade ganodini masunu hamedei ba: mu. Be nowa dunu ilia dio Sibi Mano ea eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu Buga amo ganodini ba: sea, amo dunu fawane da Yelusaleme Gaheabolo moilai bai bagade amo ganodini golili sa: imusa: dawa: