< Ufunuo 20 >
1 Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Eu vi um anjo descendo do céu, que tinha a chave do Abismo e uma grande corrente em sua mão. (Abyssos )
2 Alimshika yule joka, nyoka wa zamani, ambaye ni ibilisi au Shetani, na kumfunga miaka elfu.
Ele agarrou o dragão, aquela velha serpente que é o diabo e Satanás, e o prendeu com corrente por mil anos.
3 Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
O anjo o jogou no Abismo, trancou e selou a porta, para que ele não pudesse mais enganar as nações por mil anos. Depois disso, ele precisa ser libertado por algum tempo. (Abyssos )
4 Kisha niliona viti vya enzi. Waliokuwa wamevikalia ni wale ambao walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu. Vilevile niliona nafsi za wale ambao walikuwa wamekatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu na kwa neno la Mungu. Walikuwa hawajamwabudu mnyama au sanamu yake, na walikataa kupokea alama juu ya paji za nyuso zao au mkono. Walikuja uzimani, na wakatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu.
Eu vi pessoas sentadas em tronos, às quais foi dada autoridade para julgar. Também vi as almas das pessoas que foram decapitadas por causa do testemunho que deram a respeito de Jesus e por anunciarem a mensagem de Deus. Elas não adoraram o monstro ou a sua imagem e nem receberam o sinal dele em suas testas ou em suas mãos. Essas pessoas viveram e reinaram com Cristo por mil anos.
5 Wafu waliobaki hawakuja uzimani mpaka miaka elfu ilipokuwa imeisha. Huu ndio ufufuo wa kwanza.
Esta é a primeira ressurreição. O restante dos mortos não voltaram à vida novamente até que esses mil anos tivessem acabado.
6 Mbarikiwa na mtakatifu ni mtu yeyote ambaye achukua nafasi katika ufufuo wa kwanza! Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu kama hawa. Patakuwa na makuhani wa Mungu na wa Kristo na watatawala na yeye kwa miaka elfu.
Abençoados e santos são aqueles que fazem parte da primeira ressurreição! Pois a segunda morte não tem poder sobre eles. Eles serão sacerdotes de Deus e de Cristo, e irão reinar com ele por mil anos.
7 Wakati miaka elfu itakapofikia mwisho, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
Quando esse período de mil anos tiver terminado, Satanás será libertado de sua prisão,
8 Atakwenda nje kuwadanganya mataifa katika kona nne za dunia -Gogu na Magogu - kuwaleta pamoja kwa ajili ya vita. Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari.
e sairá para enganar as nações espalhadas pelos quatro cantos do mundo, simbolizadas por Gogue e Magogue, para reuni-las para a batalha. O número de soldados é incontável como os grãos de areia da praia.
9 Walikwenda juu kwenye tambarare ya nchi nao walizunguka kambi ya waumini, mji upendwao. Lakini moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza.
Eles marcharam sobre toda a superfície da terra e cercaram o acampamento do povo de Deus e de sua amada cidade. Mas, o fogo vindo do céu caiu diretamente sobre eles, queimando-os por completo.
10 Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
O diabo, que os tinha enganado, foi jogado no lago de fogo e enxofre, em que o monstro e o falso profeta já tinham sido jogados também. E eles todos serão atormentados dia e noite, pelos séculos dos séculos. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kisha niliona kiti cha enzi kikubwa cheupe na yule ambaye alikaa juu yake. Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda.
Então, vi um grande trono branco com aquele que se senta nele. O céu e a terra sumiram, e não mais foram vistos.
12 Niliwaona waliokufa - hodari na wasio wa muhimu wamesimama katika kiti cha enzi, na vitabu vilifunuliwa. Kisha kitabu kingine kilifunguliwa - Kitabu cha Uzima. Wafu walihukumiwa kwa kile kilichoandikwa ndani ya vitabu, matokeo ya kile walichokifanya.
Eu vi os mortos, importantes e humildes, em pé diante do trono, e os livros foram abertos. Outro livro, o Livro da Vida, foi aberto e os mortos foram julgados com base no que havia sido escrito nos livros, a respeito do que eles tinham feito em vida.
13 Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
O mar entregou os mortos que estavam nele, assim como também a morte e o Hades entregaram os seus mortos. E todos eles foram julgados de acordo com o que tinham feito. (Hadēs )
14 Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Depois, a morte e o Hades foram jogados no lago de fogo. Esse lago de fogo é a segunda morte. (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Todos que não tinham os seus nomes escritos no Livro da Vida foram jogados no lago de fogo. (Limnē Pyr )