< Ufunuo 20 >

1 Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
Niekhalola pwu niekhambona unsuhwa iekhiekha ukhuhuma khukyanya, iebhiete eikhiedhienduolielo eikya khuvufwe, akholiele nuo nyololo umbaha mumavokho gha mwene. (Abyssos g12)
2 Alimshika yule joka, nyoka wa zamani, ambaye ni ibilisi au Shetani, na kumfunga miaka elfu.
Akhayiebhata einjokha eila, einjokha yiela eiyakhatale, yieyo vie nchuoghu untavaghwa, akhayeinkhungha eimyakha elfu.
3 Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos g12)
Akhayietagha mundhighuli alya khuvufwe, pwu akhayikhuongha akhayievikha niekhiemanyielo phakyanya pha yeine. Akhavomba eiwo ukhuta khieve avanyaphanyi, upwuo akhieva ghisilagha eimyaka elfu, eimyakha elfu vughiesiela pwu ayiedhiendhuliwa ave mumbuoleghefu unsiekhe undhebe. (Abyssos g12)
4 Kisha niliona viti vya enzi. Waliokuwa wamevikalia ni wale ambao walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu. Vilevile niliona nafsi za wale ambao walikuwa wamekatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu na kwa neno la Mungu. Walikuwa hawajamwabudu mnyama au sanamu yake, na walikataa kupokea alama juu ya paji za nyuso zao au mkono. Walikuja uzimani, na wakatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu.
Pwu nikhalola niekhafivona ifieghodha ifya vuntwa. Fifwo vatamiela vala vavo vavuliewe ukhuva vuvalamulie va vuohieghie. Hanghe pwu niekhalola einumbula ncha vavo vaghiedhiwe eimintwe khunonghwa ieyakhuchova eilimenyu eilya Yesu nielimenyu eilya Nghuluve. Vophe vavo suviekhukhiesana eikhiekhanu hanghe savauphieliele eikhiemanyielo iekya pakyeni phamiho ghavene aphanghe mumavokho. Vakhava vuomi, pwu vakhava vakhuludheva pwu phanie nuo Yesu emiakha elfu.
5 Wafu waliobaki hawakuja uzimani mpaka miaka elfu ilipokuwa imeisha. Huu ndio ufufuo wa kwanza.
Avafwie vavo wasighiele savakhava vuomi upwughiesilagha emyiakha elfu.
6 Mbarikiwa na mtakatifu ni mtu yeyote ambaye achukua nafasi katika ufufuo wa kwanza! Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu kama hawa. Patakuwa na makuhani wa Mungu na wa Kristo na watatawala na yeye kwa miaka elfu.
Uowa vuvunchukha uvutanchi huoba unghatalufu Umbalanche, uywaa vei munu uvyakhavile uvunchukha uluvafu ulwa khuvuotenghulielo, khuvanu avo uvufwe uawa vieli vuolievuovuole amankha khuveine. Pwu valalava, vophe valava vankhuludheva eimyakha gyoni elfu.
7 Wakati miaka elfu itakapofikia mwisho, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
Eimyakha elfu ghielava ghiesila, Usetano aladheinduoliewa oukhuhuma mumbukhungwa uwa mwene.
8 Atakwenda nje kuwadanganya mataifa katika kona nne za dunia -Gogu na Magogu - kuwaleta pamoja kwa ajili ya vita. Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari.
Umwene pwalahuma khusyova avaphanchi vavo valiekhuphande iene iencha khielungha -Gogu na Magogu - ukhuvalundamanie pwuophanienie vienghi ndhung'angha ugwa khu nyanja.
9 Walikwenda juu kwenye tambarare ya nchi nao walizunguka kambi ya waumini, mji upendwao. Lakini moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza.
Pwu vakhaluta khukyanya khukhielungha khuluviendhie, pwu vakhanchuonghula eiliehema eilya vavalanche uvunchenghe uowa vuowale vughane. Umwoto ghuokhikha uokhuhuva khukyanya ghukhavalya.
10 Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Undhughu uole, uvakhuvasyova, akhataghiwa mundhughuli eilya mwoto nie khiebieliti, mumwa ale mwali moukhiele eikhiekhanu, nula unyamalagho uvavuodhesi. Avene phuva khavunghiwa ukhwa na phamusi na phakhielo khuvusila lusikhu. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
11 Kisha niliona kiti cha enzi kikubwa cheupe na yule ambaye alikaa juu yake. Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda.
Pwu niekhakhievona eikhieghodha eikyavuotwa khievaha khievalafu, numwene uviekhukhietamela nchiencho eikhielungha nei kyanya fikhanyila phamiho pamwene, avene upwuvaliepwoo saphavonekhe.
12 Niliwaona waliokufa - hodari na wasio wa muhimu wamesimama katika kiti cha enzi, na vitabu vilifunuliwa. Kisha kitabu kingine kilifunguliwa - Kitabu cha Uzima. Wafu walihukumiwa kwa kile kilichoandikwa ndani ya vitabu, matokeo ya kile walichokifanya.
Nikhuvavona vavo vafwiele - avavaha na vadheibe viemiele phwuulongholo pha ghieghoda eikya vuntwa, ni fitabu fikhavaluliwa. Niekhietabu eikhienghe khiekhadhieliewa - Khiekyo kya ludheve. Vavo vafyuile vakhahieghiewa mu mbombo inchavene inchincho nchavieghiewa mufitabu fiela, ukhuonkhonghana nie mbombo nchavene.
13 Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs g86)
Inyanja youphe yiekhahumya avafyuile vavo vale mughati. Nu uvufwe uwa khuvuofwe vukhahumia avafwele vavo vale munghati mu mwene, vakhahieghiewa khiela munu unkhunkhonghana nie mbombo ienchamwene. (Hadēs g86)
14 Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Uvufwe uwa khufwa vuokhataghiwa mundhighuli eilya mwoto. Uvu vuo vuofwe uwa vieli - ukhuta mundighuli eilya mwoto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
15 Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Pwu umunu yuoywa saavonekhe ukhuta asimbiewe mu Khalata aya Wumi, vophe ataghiewe mundhieghuli liela eilya mwoto. (Limnē Pyr g3041 g4442)

< Ufunuo 20 >