< Ufunuo 19 >

1 Baada ya mambo haya nilisikia sauti kama ya mlio mkubwa wa kundi kubwa la watu mbinguni ikisema, “Haleluya. Wokovu, utukufu, na nguvu ni vya Mungu wetu.
MURIN mepukat i ronger likamada morong en pokon kalaimun nanlang, masani: Aleluia, kamaur, o lingan, o manaman udan atail Kot!
2 Hukumu zake ni kweli na za haki, kwa kuwa amemhukumu kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uzinzi wake. Amefanya kisasi kwa damu ya watumishi wake, ambayo aliimwaga yeye mwenyewe.”
Pwe melel o me pung ar kadeik kan; pwe a kotin kadeikadar li sued lapalap, me kasuedie kilar toun sappa a nenek kan o a ikier ntan na ladu kan.
3 Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
Pil kariapak re inda: Aleluia! A adiniai adidala kokolata. (aiōn g165)
4 Wale wazee ishirini na wanne na viumbe hai wanne wakasujudu na kumwabudu Mungu akaaye kwenye kiti cha enzi. Walikuwa wakisema, “Amina. Haleluya!”
O lapalap riekpamen o man pamen rap poridi pongi ong Kot, me kaipokedi pon mol a, masani: Amen Aleluia!
5 Ndipo sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Msifuni Mungu wetu, enyi watumishi wake wote, ninyi mnaomcha yeye, wote wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
O ngil, me peido sang mol o masani: Kapinga atail Kot, komail sapwilim a ladu kan, komail, me lan i, me tikitik o me lapalap akan!
6 Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi, ikisema, “Haleluya! Bwana ni Mungu wetu, mtawala juu ya wote, hutawala.
O i ronger morong en pokon kalaimun, o due ngil en pil toto, o due ngiringir en nansapwe kan indinda: Aleluia, pwe Kaun atail Kot, me Kaun en meakaros a wialar Nanmarki.
7 Na tushangilie na kufurahi na kumpa utukufu kwa sababu harusi na sherehe ya Mwana Kondoo imekuja, na bibi harusi yuko tayari.”
Kitail en insenemau, o pereperen, o wauneki i, pwe a leler en Sippul a kapapaud, o li kamod onopadar.
8 Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ya waumini).
O a muei ong i, en likauwia kida likau linen, me min o makelekel; pwe likau linen makelekel iei kadeik pung en me wiaui pweki saraui kan.
9 Malaika akasema nami, “Yaandike haya: Wamebarikiwa walioalikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mwana kondoo.” Vilevile akaniambia, “Haya ni maneno ya kweli ya Mungu.”
A masani ong ia: Intingiedi: Re meid pai, me luke dong kamadip en kapapaud en Sippul o. O a masani ong ia: Mepukat masan melel akan en Kot.
10 Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
I ap pupedi ni aluwilu a, en pongi i. A masani ong ia: Koe der, ngai sau om, o ri om, me aneki kadede pan Iesus; pongi Kot. A ngen en kokop iei kadede pan Iesus.
11 Kisha niliona mbingu zimefunguka, na tazama kulikuwa na farasi mweupe! Na yule aliyekuwa amempanda anaitwa Mwaminifu na wa Kweli. Huhukumu kwa haki na kufanya vita.
O i kilanger lang a ritidar o os puetepuet amen, o me kaipokedi poa, me oroneki Pung o Melel; a kadeikada o mauinda ni me pung.
12 Macho yake ni kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake ana taji nyingi. Ana jina lililoandikwa juu yake asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Por en silang i me rasong umpul en kisiniai, o mar a toto mia ni tapwi, a mar eu intingidier, me sota amen me asa, pein i ta.
13 Amevaa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aliitwa Neno la Mungu.
A likau kida likau eu, me kadueki nta, o mar a oroneki: Masan en Kot.
14 Majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, walivalishwa kitani nzuri, nyeupe na safi.
O karis en saunpei en nanlang idauen i pon os puetepuet akan, likau kida linen puetepuet o min.
15 Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa fimbo ya chuma. Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu, hutawala juu ya wote.
O sang nan silang i kodlas kong lus da sang, men kamekameki wein sappa. A pan kotin kaun kida sokon mata pot; o a tiakedi kopa en wain, me ongiong en Kot, Kaun en meakaros.
16 Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.
Ni a likau o ni langelange a mar a intingidier: Nanmarki en nanmarki o Kaun en kaun akan.
17 Niliona malaika amesimama katika jua. Aliwaita kwa sauti kuu ndege wote warukao juu, “Njoni, kusanyikeni pamoja kwenye chakula kikuu cha Mungu.
O i kilanger tounlang amen uda nan katipin; a molipeiki ngil laud masani ong manpir akan, me pipir nan warong en lang: Kodo, pokon dong kamadip lapalap en Kot.
18 Njoni mle nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya watu wakubwa, nyama ya farasi na wapanda farasi, na nyama ya watu wote, walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
Pwe komail en kang uduk en nanmarki kan, o uduk en kaun akan, o uduk en manaman akan, o uduk en os akan, o me mondi po arail, o uduk en me maio ko o ladu kan, me tikitik o me lapalap akan.
19 Nilimwona mnyama na wafalme wa nchi pamoja na majeshi yao. Walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kufanya vita na mmoja aliyepanda farasi na jeshi lake.
O i kilanger man o, o nanmarki en sappa kan, o nair karis akan pokon penang mauini ong i, me kaipokedi pon os o na karis akan.
20 Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Man o lodi ong iangaki saukop likam, me wia kilel kai mo a, me a kotaue kida irail, me kilele kidi kilel en man o, o ir me pongi a kilel. Ira karos lokidokilang nan le en kisiniai, me rongerongki swepel ni ara memaur. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi. Ndege wote walikula mizoga ya miili yao.
Me lu akan kamekame kila kodlas en i, me kaipokedi pon os o, iei kodlas, me lusa sang nan silang i; ari manpir akan muei mat kilar uduk arail.

< Ufunuo 19 >