< Ufunuo 19 >
1 Baada ya mambo haya nilisikia sauti kama ya mlio mkubwa wa kundi kubwa la watu mbinguni ikisema, “Haleluya. Wokovu, utukufu, na nguvu ni vya Mungu wetu.
Pagamaliki genago nayuwini lwami luvaha lwa msambi uvaha wa vandu kunani kwa Chapanga yijova, “Chapanga alumbiwa! Usangula, na ukulu na makakala ndi vindu vyaku!
2 Hukumu zake ni kweli na za haki, kwa kuwa amemhukumu kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uzinzi wake. Amefanya kisasi kwa damu ya watumishi wake, ambayo aliimwaga yeye mwenyewe.”
Uhamula waki ndi wa chakaka na yabwina palongolo ya Chapanga. Umhamwili yula mweimanyikana neju mkemi mweawuyagisi mulima kwa ukemi waki. Chapanga avalipisi gevahengili ndava ya kuvakoma vanalihengu vaki.”
3 Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn )
Vakajova kavili, “Chapanga alumbiwa! Lyohi la motu weutinyisa muji wenuwo likwela mbaka kunani magono goha gangali mwishu!” (aiōn )
4 Wale wazee ishirini na wanne na viumbe hai wanne wakasujudu na kumwabudu Mungu akaaye kwenye kiti cha enzi. Walikuwa wakisema, “Amina. Haleluya!”
Vagogo vala ishilini na mcheche, na vala viumbi wumi mcheche, vakajigwisa chakukupama pahi, vakamgundamila Chapanga mweatamili panani pachigoda cha unkosi vakajova. “Ena! Chapanga alumbiwa!”
5 Ndipo sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Msifuni Mungu wetu, enyi watumishi wake wote, ninyi mnaomcha yeye, wote wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
Kangi, lukahumila lwami muchigoda cha unkosi, “Mumlumbayi Chapanga witu, nyenye mwavatumisi vaki voha, mwavoha mwemukumtopesa, vadebe kwa vavaha.”
6 Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi, ikisema, “Haleluya! Bwana ni Mungu wetu, mtawala juu ya wote, hutawala.
Kangi nayuwini lwami, ngati lwami lwa msambi uvaha wa vandu, ngati lwami lwa manji gamahele pegihelela kwa mbulumo uvaha wa mbamba lukajova, “Chapanga alumbiwa! Muni Bambu witu mweavi na uhotola woha ndi Nkosi!
7 Na tushangilie na kufurahi na kumpa utukufu kwa sababu harusi na sherehe ya Mwana Kondoo imekuja, na bibi harusi yuko tayari.”
Tihekelela na kululuta, timulumba Chapanga cheavi mkulu, muni lukumbi lwa ndowa ya Mwanalimbelele luhikili na mdala kamwali ajitendekili.
8 Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ya waumini).
Kamwali yula ayidakiliwi kujiwalika nyula zezing'asima neju. Nyula yeniyo yeying'asima!” Ndi matendu gabwina ga vandu va Chapanga.
9 Malaika akasema nami, “Yaandike haya: Wamebarikiwa walioalikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mwana kondoo.” Vilevile akaniambia, “Haya ni maneno ya kweli ya Mungu.”
Kangi mtumu wa kunani kwa Chapanga anijovili, “Yandika aga: Vamotisiwayi vala vevagongoliwi pamselubuko wa chakulya cha ndowa ya Mwanalimbelele!” Kangi akanijovela, “Genaga ndi malovi gachakaka ga Chapanga.”
10 Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
Hinu, nene nikagwa chakukupama palongolo ya magendelelu gaki, naganili kumuyupa. Nambu mwene akanijovela, “Ukoto kukita genago! Nene namtumisi muyaku pamonga na valongo vaku vevakuukamulila uchakaka ndi Yesu mweaugubukwili umanyikanayi kwitu. Uchakaka wenuwo wihuma kwa Mpungu Msopi mweakuvatangatila vandu vaujovayi ujumbi wa Chapanga.”
11 Kisha niliona mbingu zimefunguka, na tazama kulikuwa na farasi mweupe! Na yule aliyekuwa amempanda anaitwa Mwaminifu na wa Kweli. Huhukumu kwa haki na kufanya vita.
Kangi nawene kunani kwa Chapanga kudinduka na kwenuko nayiwene falasi ya msopi. Mweatamili panani ya falasi mwenuyo akemiwi msadikika na wa chakaka. Kangi ihamula vandu na munjila ya bwina na kutovana ngondo yambwina palongolo ya Bambu.
12 Macho yake ni kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake ana taji nyingi. Ana jina lililoandikwa juu yake asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Mihu gaki gavi ngati mwali wa motu, na panani ya mutu awalili njingwa zamahele. Avi na liina leliyandikwi, kawaka mundu yoyoha mwealimanyili nambu ngamwene.
13 Amevaa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aliitwa Neno la Mungu.
Awalili nyula yeyijwigiwi mu ngasi. Na liina laki mwenuyo ndi, “Lilovi la Chapanga.”
14 Majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, walivalishwa kitani nzuri, nyeupe na safi.
Manjolinjoli ga kunani kwa Chapanga vamlandili kuni gatamili panani ya falasi wamsopi na gawalili nyula zezing'asima neju.
15 Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa fimbo ya chuma. Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu, hutawala juu ya wote.
Mumlomo waki upanga ukali wihuma wa kuvahotola milima. Mwene yati ilongosa vandu kwa ndonga ya lyuma. Na kuvaminya ngati mundu mweimanya divayi muchiliva cha kuminyila divayi ya ligoga likulu la Chapanga mweavi na makakala.
16 Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.
Panani ya nyula yaki, na panani ya liwondo laki, ayandikwi liina, “Nkosi wa vankosi na Bambu wa vabambu.”
17 Niliona malaika amesimama katika jua. Aliwaita kwa sauti kuu ndege wote warukao juu, “Njoni, kusanyikeni pamoja kwenye chakula kikuu cha Mungu.
Kangi, namuwene mtumu wa kunani kwa Chapanga mmonga ayimili palilanga. Akavajovela kwa lwami luvaha videge vyoha vevimbululuka kunani, “Mubwela, mukonganeku pamonga pachakulya chikulu cha Chapanga!
18 Njoni mle nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya watu wakubwa, nyama ya farasi na wapanda farasi, na nyama ya watu wote, walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
Mbwela mlyayi higa ya vankosi, na nyama ya vakulu va manjolinjoli, na nyama ya vandu vakekesi, na nyama ya falasi na vevitama panani ya falasi wavi, na nyama ya vandu voha vevalekekiswi na vavanda, vadebe na vavaha.”
19 Nilimwona mnyama na wafalme wa nchi pamoja na majeshi yao. Walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kufanya vita na mmoja aliyepanda farasi na jeshi lake.
Kangi nachiwene chila chinyama pamonga na vankosi va mulima na manjolinjoli wavi vakokini pamonga muni vatovana na yula mweatamili panani ya falasi wa msopi na pamonga na msambi waki.
20 Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
Nambu chinyama chila chakamuliwi kwa makakala pamonga na yula mlota wa Chapanga wa udese mweikita ganchinamtiti palongolo yaki. Kwa gachinamtiti yeniyo avayagisi vala vevavi na ulangisu wa chinyama chila na vevagundamili chimong'omong'o chila. Chinyama chenicho pamonga na mlota wa udese vakatagwa kuni vavili mumi munyanja ya motu weumemili maganga ga baluti gegiyaka motu. (Limnē Pyr )
21 Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi. Ndege wote walikula mizoga ya miili yao.
Na vala vevasigalili vakomiwi kwa upanga wewahumili mumlomo wa yula mweakweli panani ya yula falasi wamsopi. Na videge vyoha vakayukutiswa kwa kulya nyama za vala vevakomiwi.