< Ufunuo 16 >

1 Nikasikia sauti kubwa ikiita kutoka kwenye sehemu ya patakatifu na ikasema kwa wale malaika saba, “Nenda na ukamwage juu ya dunia mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
Nikija luli lukulu lukitanga kupuma pangw'anso naeitakatifu hange ikalunga kuamalaeka nemupungate, longola uhunule mihe mabakuli mupungate nikuo lang'wi Tunda.
2 Malaika wa kwanza alienda na kumwaga bakuli lake katika dunia; majeraha mabaya na yenye maumivu makali yalikuja kwa watu wenye alama ya mnyama, kwa wale ambao waliabudu sanamu yake.
Umalaeka wang'wandyo aiwendile nukuhunula ibakuli lakwe mihe, enkomele nembee nekete uwai nuutaki akeza kuantu neakete ugomola wakikale, kuawa naeakuiye eadudu akwe.
3 Malaika wa pili alimwaga bakuli lake katika bahari; ikawa kama damu ya mtu aliyekufa, na kila kiumbe hai katika bahari kilikufa.
Umalaeka wakabiile wikahunula ibakuli lakwe mubahali, ikatula anga usakami nuamuntu nukule, hange kila ekeumbe nikipanga nikamubahali kekasha.
4 Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na katika chemichemi za maji; zikawa damu.
Umalaeka wakatatu wekahunula ibakuli lakwe mumongo numunjiilyo ya maze, yekatula sakami. Umalaeka wakatatu wekahunula ibakuli lakwe mumongo numunjiilyo ya maze, yekatula sakami.
5 Nikasikia malaika wa maji akisema, “Wewe ni mwaminifu - mmoja uliyepo na uliyekuwako, Mtakatifu - kwa sababu umezileta hukumu hizi.
Nekija umalaeka nuamaze wekalunga, “Uewe umuhueli - kang'we ukole hange aukole, mtakatifu kunsoko uletile ulamuli uwu.
6 Kwa sababu walimwaga damu za waamini na manabii, umewapa wao kunywa damu; ndicho wanachostahili.”
Kunsoko aeahunue usakami nuahueli nianyakidagu, wikaapa ienso kung'wa usakami, kiko keanonee.”
7 Nikasikia madhabahu ikijibu, “Ndiyo! Bwana Mungu mwenye kutawala juu ya vyote, hukumu zako ni kweli na za haki.”
Nekija ekezindalo kikasusha, “Ee! Umukulu Itunda nutemile muintu yehi, ulamuli wako watai ninkulu.
8 Malaika wa nne akamwaga kutoka kwenye bakuli lake juu ya jua, na likapewa ruhusa kuunguza watu kwa moto.
Umalaeka wakane wakahunula kupuma mibakuli lakwe mulyoa, hange lekapegwa uhumi nuakuasonsa iantu kumoto.
9 Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha, na wakalikufuru neno la Mungu, mwenye nguvu juu ya mapigo yote. Hawakutubu wala kumpa yeye utukufu.
Ekapesigwa nuupyu nuakogopwa, hange ekalumela ulukani lang'wi Tunda, nukete ingulu kumapigo ehi. Ikahila kuungama nukumupa nuanso uukulu.
10 Malaika wa tano akamwaga kutoka kwenye bakuli lake katika kiti cha enzi cha mnyama, na giza likaufunika ufalme wake. Walisaga meno katika maumivu makali.
Umalaeka wakatano wikahunula kupuma mibakuli lakwe mituntu lautemi nilakekale, nekiti kekakunekela utemi wakwe. Aeasiile emino kuwai nuutaki.
11 Wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na majeraha yao, na bado waliendelea kutokutubu kwa kile walichotenda.
Ikamutukila Itunda nuakilunde kunsoko awai wao ninkomele yao, hange akele alongolekile kuhita kuungama kumahiku naeitumile.
12 Malaika wa sita alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika mto mkubwa, Frati, na maji yake yakakauka ili kuweza kuandaa njia kwa wafalme watakaokuja kutoka mashariki.
Umalaeka nuamutandatu wikahunula kupuma mibakuli lakwe mumongo nuukulu, nuaflati, nimaze akahila kwee kunsoko kunsoko ahume kuzipelya inzila naatemi niapembilye kupuma kilya.
13 Nikaona roho tatu chafu zilizoonekana kama chura watokao nje ya mdomo wa yule joka, yule mnyama, na yule nabii wa uongo.
Nikaona nkolo itatu mbee naiyigee anga ntundu niakupuma kunzi umulomo nuizoka ile, ikekale eke, numunyakidagu wauteele.
14 Ni roho za pepo zitendazo ishara na miujiza. Walikuwa wakienda kwa wafalme wa dunia yote ili kuweza kuwakusanya pamoja kwa vita katika siku kuu ya Mungu, mwenye kutawala juu ya vyote.
Inge nkolo yaheng'wi neyeika ilengasiilyo nimakula. Aeenda kuatemi amihe ehi ahume kuilingiila palung'wi kumbita kuluhiku nulukulu lang'wi Tunda nutemile imaintu ehi.
15 (“Tazama! Ninakuja kama mwizi! Heri yule adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi yake ili asiweze kwenda nje uchi na kuiona aibu yake.”)
(” Goza! Nzile anga umuhembi! Bahu uyu nukole mumukesha, nuelangaela eang'wenda akwe nsoko waleke kenda kunzi wikipwe nukugoza emenyala akwe.”)
16 Waliwaleta pamoja katika sehemu iliyoitwa katika kiebrania Amagedoni.
Ikaaleta palung'wi pang'wanso neitangwa ekeebrania amagedoni
17 Malaika wa saba alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika anga. Kisha sauti kuu ikasikika kutoka pakatifu na kutoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha!”
Umalaeka nuamupungate wikahunula kupuma mibakuli lakwee umo migulya. Hange luli lukulu lekijeka kupuma patakatifu nukupuma pituntu lautemi iekeze lunga, “Yahila!”
18 Kulikuwa na miale ya mwanga wa radi, ngurumo, vishindo vya radi, na tetemeko la kutisha - tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea duniani tangu wanadamu wamekuwepo duniani, hivyo ni tetemeko kubwa zaidi.
Aeikole nzahi ya welu nulupito, mululumo, nkindo yalupeto, nitetemeko lakutumba - tetemeko ikulu lihe neezekili kupumilamunu mihe kupuma iantu naazie kupuma mihe, ite inge itetemeko ikulu kukila.
19 Mji mkuu uligawanyika katika sehemu tatu, na miji ya mataifa ikaanguka. Kisha Mungu akamkumbusha Babeli mkuu, na akaupa mji huo kikombe kilichokuwa kimejaa divai kutoka kwenye ghadhabu yake iliyo kali.
Kesale kekolo kekatemanuka mpande itatu, neisale niamahe yekagwa. Hange Itunda wikamukembusha ubabeli numukulu, wikakipa ikesale nikanso ekikombe nekizue imagai kupuma mikuo lakwe nitaki.
20 Kila kisiwa kikapotea na milima haikuonekana tena.
Kila ung'wa ihe ikasengeelya imalugulu shanga akigela kwee.
21 Mvua kubwa ya mawe, ikiwa na uzito wa talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu ya watu, na wakamlaani Mungu kwa mapigo ya mvua ya mawe kwa sababu lile pigo lilikuwa baya sana.
Imbula nkulu amagwe, aekete ulito watalanta, kupuma kilunde ikasima muantu, ekamuzuma Itunda kumapigo ambula amagwe kunsoko ipigo ilo aeibe kukila.

< Ufunuo 16 >