< Ufunuo 16 >
1 Nikasikia sauti kubwa ikiita kutoka kwenye sehemu ya patakatifu na ikasema kwa wale malaika saba, “Nenda na ukamwage juu ya dunia mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
Chrám se naplnil dýmem Boží velebnosti a moci. Nikdo teď nemohl vstoupit dovnitř, dokud andělé nevykonají soud na zemi. Ze svatyně jim přikázal hlas: „Jděte a vylijte těch sedm číší Božího hněvu na zemi!“
2 Malaika wa kwanza alienda na kumwaga bakuli lake katika dunia; majeraha mabaya na yenye maumivu makali yalikuja kwa watu wenye alama ya mnyama, kwa wale ambao waliabudu sanamu yake.
První z andělů šel a vylil na zem svou číši. Tu se na lidech, kteří nesli znak šelmy a klaněli se její soše, objevily zhoubné vředy.
3 Malaika wa pili alimwaga bakuli lake katika bahari; ikawa kama damu ya mtu aliyekufa, na kila kiumbe hai katika bahari kilikufa.
Druhý anděl vlil obsah své číše do moře. Všechno živé v moři uhynulo, takže se naplnilo hnilobou a rozkladem.
4 Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na katika chemichemi za maji; zikawa damu.
Třetí anděl vylil svou číši nad řekami a prameny vod. Vody byly zkaženy.
5 Nikasikia malaika wa maji akisema, “Wewe ni mwaminifu - mmoja uliyepo na uliyekuwako, Mtakatifu - kwa sababu umezileta hukumu hizi.
Slyšel jsem toho anděla, který měl moc nad vodami, jak říká: „Jsi spravedlivý, svatý a věčný Bože, a je to zasloužený rozsudek.
6 Kwa sababu walimwaga damu za waamini na manabii, umewapa wao kunywa damu; ndicho wanachostahili.”
Opíjeli se krví nevinných a proroků, a proto teď umírají žízní.“
7 Nikasikia madhabahu ikijibu, “Ndiyo! Bwana Mungu mwenye kutawala juu ya vyote, hukumu zako ni kweli na za haki.”
A mučedníci od oltáře se připojili: „Ano, všemohoucí Pane, soudíš spravedlivě a podle pravdy.“
8 Malaika wa nne akamwaga kutoka kwenye bakuli lake juu ya jua, na likapewa ruhusa kuunguza watu kwa moto.
Čtvrtý anděl vylil obsah své číše na slunce. Pálilo tak, že lidé padali těžkým úžehem. Místo aby činili pokání a aspoň teď vzdali Bohu čest, proklínali ho za tu pohromu.
9 Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha, na wakalikufuru neno la Mungu, mwenye nguvu juu ya mapigo yote. Hawakutubu wala kumpa yeye utukufu.
10 Malaika wa tano akamwaga kutoka kwenye bakuli lake katika kiti cha enzi cha mnyama, na giza likaufunika ufalme wake. Walisaga meno katika maumivu makali.
Pátý anděl vylil číši na trůn šelmy a v jejím království se setmělo. Lidé, trýzněni již vředy, se bolestí až kousali do rtů.
11 Wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na majeraha yao, na bado waliendelea kutokutubu kwa kile walichotenda.
A přece ještě zlořečili Bohu, místo aby se jejich ústa otevřela k pokání.
12 Malaika wa sita alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika mto mkubwa, Frati, na maji yake yakakauka ili kuweza kuandaa njia kwa wafalme watakaokuja kutoka mashariki.
Šestý anděl vlil obsah své číše do veliké řeky Eufratu. Její vody vyschly, a tak se otevřela cesta pro vladaře z východu.
13 Nikaona roho tatu chafu zilizoonekana kama chura watokao nje ya mdomo wa yule joka, yule mnyama, na yule nabii wa uongo.
Tu jsem viděl, jak z tlamy draka, z huby šelmy a z úst lživého proroka vylezli tři nečistí duchové jako odporné ropuchy. Snažili se lidem imponovat různými divy. Obcházeli vládce světa, aby je získali za spojence k rozhodující bitvě proti všemohoucímu Bohu. Svolávali je na místo nazvané Harmagedon. Doba je vážná. Pán připomíná: „Přijdu nečekaně jako zloděj v noci. Dobře tomu, kdo bdí a je připraven.“
14 Ni roho za pepo zitendazo ishara na miujiza. Walikuwa wakienda kwa wafalme wa dunia yote ili kuweza kuwakusanya pamoja kwa vita katika siku kuu ya Mungu, mwenye kutawala juu ya vyote.
15 (“Tazama! Ninakuja kama mwizi! Heri yule adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi yake ili asiweze kwenda nje uchi na kuiona aibu yake.”)
16 Waliwaleta pamoja katika sehemu iliyoitwa katika kiebrania Amagedoni.
17 Malaika wa saba alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika anga. Kisha sauti kuu ikasikika kutoka pakatifu na kutoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha!”
Sedmý anděl vylil svou číši do ovzduší a z chrámu zazněl mohutný hlas: „Je dokonáno!“
18 Kulikuwa na miale ya mwanga wa radi, ngurumo, vishindo vya radi, na tetemeko la kutisha - tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea duniani tangu wanadamu wamekuwepo duniani, hivyo ni tetemeko kubwa zaidi.
Strhla se bouře s blesky a hromy a celá země se otřásala; takové zemětřesení nezažil nikdo od počátku lidstva.
19 Mji mkuu uligawanyika katika sehemu tatu, na miji ya mataifa ikaanguka. Kisha Mungu akamkumbusha Babeli mkuu, na akaupa mji huo kikombe kilichokuwa kimejaa divai kutoka kwenye ghadhabu yake iliyo kali.
Bůh nezapomněl na hříchy velikého bezbožného města, zvaného Babylón. Dal mu pít z poháru svého trestajícího hněvu. Roztrhlo se na tři kusy a i ostatní města se zhroutila.
20 Kila kisiwa kikapotea na milima haikuonekana tena.
Všechny ostrovy zmizely a po horách nezůstalo ani památky.
21 Mvua kubwa ya mawe, ikiwa na uzito wa talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu ya watu, na wakamlaani Mungu kwa mapigo ya mvua ya mawe kwa sababu lile pigo lilikuwa baya sana.
Lidi postihla nepředstavitelná zkáza – krupobití. A oni za tu strašnou pohromu proklínali Boha.