< Ufunuo 15 >

1 Tena nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na yenye kushangaza; Kulikuwa na malaika saba wenye mapigo saba, ambayo yalikuwa mapigo ya mwisho (katika hayo hasira ya Mungu ilikuwa imetimilika).
Hahoi, kalvan vah kângairu kawi, kalenpounge mitnout lah kaawm e a hnukteng e runae sari touh ka sin e kalvantami sari touh ka hmu. Hote runae lahoi Cathut e lungkhueknae teh a kuep han.
2 Niliona kile kilichotokea kuwa bahari ya bilauri iliyochanganywa na moto, na ikasimama pembeni mwa bahari ambapo wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama na sanamu yake, na juu ya namba inayowakilisha jina lake. Walikuwa wameshikilia vinubi walivyopewa na Mungu.
Hahoi, hmai hoi kâkalawt niteh hlalang talî patetlah kaawm e hno hoi, sarang, sarang e meikaphawk hoi sarang e a nambat lathueng tânae kahmawtnaw ni Cathut e ratoungnaw a patuep awh teh hote hlalang talî van vah a kangdue awh e hai ka hmu.
3 Walikuwa wakiimba wimbo wa Musa, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwana Kondoo: “Kazi zako ni kubwa na zenye kushangaza, Bwana Mungu, utawalaye vyote. Mwaminifu na njia zako ni za kweli, Mfalme wa mataifa.
Ahnimouh ni Cathut e a san Mosi e la hoi tuca e la a sak awh. Oe Bawipa Cathut, Athakasaipounge, na sak e hno kângai lah a ru. Tami pueng e siangpahrang, nange na lamthung teh a lan.
4 Nani atashindwa kukuhofu wewe Bwana na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako ni mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kukuabudu mbele zako kwa sababu u mwema na matendo yako yamejulikana.”
Oe, Cathut, apimaw nang taket laipalah, na min oup laipalah kaawm ngam han. Nang teh na thoung nange na sak e pueng teh a lan teh tami pueng ni a hmu dawkvah miphun pueng ni Bawipa, na hmalah tho avai teh na bawk a han telah la a sak awh.
5 Baada ya mambo hayo nilitazama, na sehemu takatifu sana, ambapo palikuwa na hema ya ushuhuda, iliyofungukia mbinguni.
Hahoi ka khet navah, kalvan vah lawkpanuesaknae lukkareiim onae bawkim a kamawng teh,
6 Kutoka mahali patakatifu sana wakaja malaika saba wenye mapigo saba, wamevaa mavazi safi, kitani yenye kung'aa na mshipi wa dhahabu kuzunguka vifua vyao.
runae sari touh ka sin e kalvantami sari touh teh bawkim thung hoi a tâco awh. Ahnimouh ni kathoung poung niteh loukloukkaang e lukkarei a kâkhu teh a lungtabue dawk sui hah lakhang lah a kâyeng awh.
7 Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn g165)
Hahoi moithang pali touh thung dawk e buet touh ni a yungyoe kahring e Cathut e lungkhueknae hoi ka kawi e suimanang sari touh e hah, hote kalvantami sari touh koe a poe. (aiōn g165)
8 Mahali patakatifu sana kulijawa moshi kutoka kwenye utukufu wa Mungu na kutoka kwenye uwezo wake. Hakuna hata mmoja aliyeweza kuingia mpaka mapigo saba ya malaika saba yalipokamilika.
Bawkim teh Cathut e a bawilennae hoi hnotithainae hmaikhu hoi akawi dawkvah, kalvantami sari touh e runae sari touh, a baw hoeh roukrak bawkim thung apihai kâen thai hoeh.

< Ufunuo 15 >