< Ufunuo 14 >
1 Nilitazama na nikaona Mwana Kondoo amesimama mbele yangu juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa 144, 000 wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
Nilyalolile nikambwene umwanang'olo imile pavulongolo palyune pakyanya pa kidunda ikya Sayuni. palikimo nu mwene vakale kijigho kimo na fine imbilima inne avanyalitavua lya mwene ni litavua la Nhaata ghwa mwene lilembilue mufipelua fya vweni vuvanave.
2 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisikika kama ngurumo za maji mengi na sauti kubwa ya radi. Sauti niliyoisikia ni kama wapiga vinubi wapigao vinubi vyao.
Nikapulike ilisio kuhuma kukyanya lipulikika ndavule ulungulumo lwa malenga minga nilisio ilivaha lya ragi. Ilisio lino nikapulike hweene vakuva filongilongi vanovikuva ifilongilongi fivanave.
3 Wakiimba wimbo mpya mbele za kiti cha enzi na mbele za wenye uhai wanne na wazee. Hakuna hata mwenye uwezo wa kujifunza huo wimbo isipokuwa kwa 144, 000 ambao wamekombolewa kutoka duniani.
Vikwimba ulwimbo ulupia pavulongolo pa kitengo kya vutua na pavulongolo pavanya vwumi vane kange navaghogholo. Nakwale nambe unyangufu ughwakumanyila ulwimbo uluo nambe imbilima kilundo kimo ni mbilima fijigho finne ni mbilima inne vano vapokilue kuhuma mu iisi.
4 Hawa ni wale ambao hawakujichafua wenyewe kwa wanawake, maana walijitunza wenyewe dhidi ya matendo ya zinaa. Ni hawa ambao walimfuata Mwana Kondoo popote alipoenda. Hawa walikombolewa kutoka kwa wanadamu wakiwa matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo.
Ava vevano navikinyasie vavuo ku vamama ulwakuva vakilolelile vavuo nimbombo sa vuvwafu. Ve ava vanovakam'bingilile umwanang'olo pooni pano akalutagha. Ava valyapokilue kuhuma ku vaanhu vakava meeke sa kwasia kwa Nguluve na kwa mwanang'olo.
5 Hakuna uongo uliopatikana katika vinywa vyao; hawalaumiwi.
Napwevule uvudesi vuno vukavonike mumalomo ghavanave; navipikua.
6 Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios )
Nikamwaghile unyamola ujunge ijumba pa kate nakate pa vulanga, jujuo unyamola ughwa kukyanya unyamola unofu kupulisia vano vikukala mu iisi kukila ku kipelela, kisina, njoovele na vaanhu. (aiōnios )
7 Akawaita kwa sauti kuu, “Mwogopeni Mungu na mpeni utukufu. Kwa maana muda wa hukumu umekaribia. Mwabuduni yeye, yeye aliyeumba mbingu, na dunia, na bahari, na chemchemi za maji.”
Akavakemelile kulisio ilivaha, “Mumwoghopaghe u Nguluve kange mu mpelagha uvwimike. Ulwakuva unsiki ghwa vuhighi ghulipipi mufunyaghe kwa mwene, umwene juno apelile uvulanga, ni iisi, ni nyanja, ni ndwivuko sa malenga.”
8 Malaika mwingine - malaika wa pili - akafuata akisema, “Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu, ambaye uliwanywesha mataifa divai ya ukahaba, divai ambayo ilileta ghadhabu juu yake.”
Umunyamola ujunge - umunyala ghwa vuvili - akavingilila iti, “Ughuile, ughuile Babeli m'baha, juno akavanywisisie avafipelelauluhujo lwa vumalaya, nulunge luno lukaletile ing'alasi kuveene.”
9 Malaika mwingine - malaika wa tatu - aliwafuata, akasema kwa sauti kuu, “Yeyote atakayemwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kupokea alama katika paji lake la uso au mkononi,
Umunyamola ujunge - umunyamola ghwa vutatu - alya vavingilile, akajova kulisio ilivaha, “Ghweni juno ikufunya ujuo ikikanhu niki hwani kya mwene, kange kukwupila ikivalilo ikya vweni vwa mwene nambe uluvoko,
10 yeye pia atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, divai ambayo imeandaliwa na kumwagwa bila kuchanganywa katika kikombe cha hasira yake. Mtu atakayekunywa atateswa kwa moto na moto wa kiberiti mbele za malaika zake watakatifu na mbele za Mwana Kondoo.
umwene kange ilinyua uluhujo lwa lyojo lya Nguluve, uluhujo luno luling'anisivue na kukungua nambe ku hasiling'ania mukikombe ikya ng'alasi ja mwene. Umuunhu juno inyua ilipumuka ku mwooto nhu mwooto ughwa kibiliti pavulongolo pa vanyamola va mwene na vimike pavulongolo pa mwana ng'oloo.
11 Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn )
Nilyosi lya vuvafi vuvanave likavuka kuluta kuvusila na kusila, navalyale nulupumo pamwisi na pakilo - vala vano vikufunya ku kikanu na kukihwaani kyake umuunhu ghweni juno alyupile ikivalilo ikya litavua lya mwene. (aiōn )
12 Huu ni wito wa subira na uvumilivu kwa waamini, wale ambao hutii amri za Mungu na imani katika Yesu.”
Iji ng'emero ja kughuula na kuguda ku vimike, vala vano vikusitika indaghilo sa Nguluve nu lwitiko mwa Yesu.”
13 Nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika haya: Heri wafu wafao katika Bwana.” “Ndiyo,” asema Roho, “ili waweze kupumzika kutoka kwenye kazi zao, maana matendo yao yatawafuata.”
Nilyapulike ilisio kuhuma kuvulanga liiti, “Lembagha isi: Vinomile avafue vano vifwila mwa Mutwa.” “Ena,” ijova u Mhepo, “Ulwakuuti vapume kuhuma mu mbombo saave, ulwakuva imbombo saave sikuvavingililagha.”
14 Nilitazama na nikaona kulikuwa na wingu jeupe, na aliyeketi kwenye wingu ni mmoja aliyekuwa na mfano wa Mwana wa Mtu. Alikuwa na taji ya dhahabu katika kichwa chake na mundu mkali katika mkono wake.
Nikalola nikalivona ilifunde ilivalafu, juno alikalile mulifunde ilyajumo alyale kihwani kya mwana ghwa muunhu. Alyale ningela ja sahabu pamutu ghwa mwene ni bamba inemi muluvoko lwa mweene.
15 Malaika mwingine tena alikuja kutoka kwenye hekalu na aliita kwa sauti kuu kwenda kwa yule aliyekaa katika wingu: “Chukua mundu wako na uanze kuvuna. Kwa kuwa muda wa mavuno umeshawadia, maana mavuno yaliyo katika dunia yameshaiva.”
Umunyamola ujunge kange akisile kuhuma ku nyumba inyimike ijakufunya pe akakemela nilisio ilivaha kuluta kwa jula juno alikalile mulifunde: “Toola ibamba jako utengule kubena. Ulwakuva unsiki ghwa mbeno ghufikile, ulwakuva ifyakubenua fino fili mu iisi fifikile.”
16 Tena yule aliyekuwa kwenye wingu aliupitisha mundu wake juu ya dunia, na dunia ikavunwa.
Kange jula juno alyale mulifunde akakilisia ibamba jaake pakyanya pa iisi naji iisi jikabenua.
17 Na malaika mwingine akaja kutoka kwenye hekalu la mbinguni; naye alikuwa na mundu mkali.
Umunyamola ujunge akisa kuhuma kunyumba inyimike ijakufunyila ija kukyanya; Ghope alyale ni bamba inemi.
18 Na bado malaika mwingine akaja kutoka kwenye madhabahu, na malaika aliyekuwa na mamlaka juu ya moto. Akamwita kwa sauti kuu malaika ambaye alikuwa na mundu mkali, “Chukua mundu mkali na uyakusanye matawi ya mzabibu kutoka kwenye mzabibu wa nchi, kwa kuwa zabibu sasa zimeiva.”
Kange pe akava umunyamola ujunge kuhuma kukitekelo, nu munyamola ujunge juno alyale nuvutavulilua ku mwooto. Akanikemela nilisio ilivaha umunyamola juno alyale ni bamba inemi, “Toola ibamba inemi pe ukong'anie amatafi gha luhuje kuhuma ku musabibu ughwa iisi, ulwakuva lino isabibu sivesile.”
19 Malaika alipeleka mundu wake katika dunia na alikusanya mavuno ya zabibu ya dunia na alirusha katika pipa kubwa la divai ya ghadhabu ya Mungu.
Umunyamola alyatwalile ibamba mu iisi pe akakong'ania um'beno ghwa sabibu sa iisi pe akatosia mulipipa ilivaha ilya luhujo ilya ng'alasi ja Nguluve.
20 Chujio la divai lilipondwapondwa nje ya mji na damu ikamwagika kutoka katika hicho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1, 600.
Ikihujilo ikya luhujo kikadijuadijua kunji ku likaja najidanda jikakung'ika kuhuma ku kyimo ikya hatamu ja farasi, ku stadia ijambilima jimo nifilundu tanda.