< Ufunuo 14 >

1 Nilitazama na nikaona Mwana Kondoo amesimama mbele yangu juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa 144, 000 wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
Hanchu ko hong ena, male Belrite ha Zion Tâng chunga; mingei 144,000 an machalngei han ama riming le a Pa riming ânziek leh an inding ku mua.
2 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisikika kama ngurumo za maji mengi na sauti kubwa ya radi. Sauti niliyoisikia ni kama wapiga vinubi wapigao vinubi vyao.
Male invân renga rôl, tuitâk rahang angati le mechêk puok rahang inringtak angin ki rieta. Serânda âtpungeiin an serândangei an ât miringhoi angin ânringa.
3 Wakiimba wimbo mpya mbele za kiti cha enzi na mbele za wenye uhai wanne na wazee. Hakuna hata mwenye uwezo wa kujifunza huo wimbo isipokuwa kwa 144, 000 ambao wamekombolewa kutoka duniani.
Rêngsukmun motona han mingei 144,000 iring parân minli ngei le upangei an indinga; anni ngei han lâ thar an thoa, anni ngei vai an inchu thei hah. Rammuola mi murdi lâia anni ngei vai hah ratan an ni.
4 Hawa ni wale ambao hawakujichafua wenyewe kwa wanawake, maana walijitunza wenyewe dhidi ya matendo ya zinaa. Ni hawa ambao walimfuata Mwana Kondoo popote alipoenda. Hawa walikombolewa kutoka kwa wanadamu wakiwa matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo.
Anni ngei hah pasal an thethena ânthienga om, nupang leh inmannangei dônloi; ânthienghiei an ni. Belrite sênana an jûi ngâi. Anni ngei hah Pathien le Belrite kôma pêk masatak ni ranga munisi chitin lâi renga ratan an ni.
5 Hakuna uongo uliopatikana katika vinywa vyao; hawalaumiwi.
Anni ngei hah milakngei ril tet ngâi mak ngeia; dikloina reng dôn mak ngei.
6 Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios g166)
Hanchu pilchunga mi murdi, namtina mingei, jâttina mingei, chongtina mingei, chitina mingei kôm tânghâi rang Kumtuong Thurchi Sa dôn vântîrton dang invânlâia insângtaka vuong ku mua. (aiōnios g166)
7 Akawaita kwa sauti kuu, “Mwogopeni Mungu na mpeni utukufu. Kwa maana muda wa hukumu umekaribia. Mwabuduni yeye, yeye aliyeumba mbingu, na dunia, na bahari, na chemchemi za maji.”
Ama han rôl inringtakin, “Pathien mirit ungla male ânlalna minpâk roi! Mingei murdi chunga roijêk rangin a zora ahongtung zoi sikin. Invân, pilchung, tuikhanglien le tuinârngei sinpu hah chubaimûk roi!” a tia.
8 Malaika mwingine - malaika wa pili - akafuata akisema, “Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu, ambaye uliwanywesha mataifa divai ya ukahaba, divai ambayo ilileta ghadhabu juu yake.”
Vântîrton inikna han vântîrton inkhatna a hong jûia, “Amanu hah ânlet zoi! Babylon roiinpui ânlet zoi! Amanu han a hurna uain rât mingei murdi min nêk ngâi hah ânlet zoi!” a tia.
9 Malaika mwingine - malaika wa tatu - aliwafuata, akasema kwa sauti kuu, “Yeyote atakayemwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kupokea alama katika paji lake la uso au mkononi,
Vântîrton inthumna han vântîrton inkhatna le inikna a jûia, rôl inringtakin, “Tukhom sarâng le arimil chubaimûk ngâipu ngei le sînthona an machala aninônchu an kuta dôn ngei chu
10 yeye pia atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, divai ambayo imeandaliwa na kumwagwa bila kuchanganywa katika kikombe cha hasira yake. Mtu atakayekunywa atateswa kwa moto na moto wa kiberiti mbele za malaika zake watakatifu na mbele za Mwana Kondoo.
anninâkin Pathien uain, a ningthikna uain, a taksina kilâta a sung minsip hah nêk an tih! Ma anga thopu ngei murdi chu vântîrton inthieng ngei le Belrite makunga meia le kâta dûkphenêngin om an tih.
11 Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn g165)
Anni ngei dûkphenêngna meikhu hah tuonsôt tuonsôtin chungtieng kal tit atih. Sarâng le arimil chubaimûkpu ngei le ariming sînthona dôn ngei ta rangin chu sûn le jân ahoina reng om pe ngei khâi no nih.” (aiōn g165)
12 Huu ni wito wa subira na uvumilivu kwa waamini, wale ambao hutii amri za Mungu na imani katika Yesu.”
Mahin Pathien mingei, a chongpêkngei jôma Jisua ta ranga taksônom ngei chu tuongdierna an dôn rang ani.
13 Nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika haya: Heri wafu wafao katika Bwana.” “Ndiyo,” asema Roho, “ili waweze kupumzika kutoka kwenye kazi zao, maana matendo yao yatawafuata.”
Hanchu invân renga rôl ki rieta, “Mahi miziek roh: atûn renga chu Pumapa sinthona taka thi ngei chu satvur an ni!” a tia. “Ani tatak!” tiin Ratha han a thuona. “An sinsôlna renga inngam an tih, an sinthona marangei han a jûi ngei sikin.”
14 Nilitazama na nikaona kulikuwa na wingu jeupe, na aliyeketi kwenye wingu ni mmoja aliyekuwa na mfano wa Mwana wa Mtu. Alikuwa na taji ya dhahabu katika kichwa chake na mundu mkali katika mkono wake.
Hanchu ko hong ena, male sûm ngoi aoma, male sûm chunga ânsungpu hah munisi aphuoa, a lua rângkachak rênglukhum a khuma, a kuta kôite ngaidak choiin ânsunga.
15 Malaika mwingine tena alikuja kutoka kwenye hekalu na aliita kwa sauti kuu kwenda kwa yule aliyekaa katika wingu: “Chukua mundu wako na uanze kuvuna. Kwa kuwa muda wa mavuno umeshawadia, maana mavuno yaliyo katika dunia yameshaiva.”
Hanchu vântîrton dang Pathien biekin renga ahong jôka, sûm chunga ânsungpu kôm han rôl inringtakin, “No kôite mang inla bu hah ât roh, a ât zora ani zoi; pilchunga bungei hah an min zoi sikin,” a tia.
16 Tena yule aliyekuwa kwenye wingu aliupitisha mundu wake juu ya dunia, na dunia ikavunwa.
Hanchu sûm chunga ânsungpu han pilchunga a kôite a vaia, male pilchung bungei hah âtin an om zoi.
17 Na malaika mwingine akaja kutoka kwenye hekalu la mbinguni; naye alikuwa na mundu mkali.
Hanchu vântîrton dang invâna Pathien biekin renga a hong jôk ku mua, male ama khom kôite ngaidak a dôn sa.
18 Na bado malaika mwingine akaja kutoka kwenye madhabahu, na malaika aliyekuwa na mamlaka juu ya moto. Akamwita kwa sauti kuu malaika ambaye alikuwa na mundu mkali, “Chukua mundu mkali na uyakusanye matawi ya mzabibu kutoka kwenye mzabibu wa nchi, kwa kuwa zabibu sasa zimeiva.”
Hanchu vântîrton dang, mei enkolpu hah mâichâm renga a honga. Ama han kôite ngaidak dônpu kôm han rôl inringtakin, “No kôite mang inla, male pilchunga grapebil renga grapengei khu juong ât roh, grapengei khu amin zoi sikin!” tiin ân ieka.
19 Malaika alipeleka mundu wake katika dunia na alikusanya mavuno ya zabibu ya dunia na alirusha katika pipa kubwa la divai ya ghadhabu ya Mungu.
Masikin vântîrton han a kôite pilchunga a vaia, grapengei hah a âta, male Pathien ningthikna grape sômna khurpuia han a thun zoi.
20 Chujio la divai lilipondwapondwa nje ya mji na damu ikamwagika kutoka katika hicho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1, 600.
Grapengei hah khopuilien pêntienga grape sômna khura han a sôma, male ma khur renga han thisen tuilien ahong suoka, asei kilometer razan thum, ânthûk meter inik dôr ani.

< Ufunuo 14 >