< Ufunuo 14 >

1 Nilitazama na nikaona Mwana Kondoo amesimama mbele yangu juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa 144, 000 wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
and to perceive: see and look! the/this/who lamb (to stand *N(k)O*) upon/to/against the/this/who mountain Zion and with/after it/s/he (number *O*) hundred forty four thousand to have/be (the/this/who name it/s/he and *NO*) the/this/who name the/this/who father it/s/he to write upon/to/against the/this/who forehead it/s/he
2 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisikika kama ngurumo za maji mengi na sauti kubwa ya radi. Sauti niliyoisikia ni kama wapiga vinubi wapigao vinubi vyao.
and to hear voice/sound: voice out from the/this/who heaven as/when voice/sound: voice water much and as/when voice/sound: voice thunder great and the/this/who (voice/sound: voice *N(k)O*) which to hear (as/when *NO*) harpist to play the harp in/on/among the/this/who harp it/s/he
3 Wakiimba wimbo mpya mbele za kiti cha enzi na mbele za wenye uhai wanne na wazee. Hakuna hata mwenye uwezo wa kujifunza huo wimbo isipokuwa kwa 144, 000 ambao wamekombolewa kutoka duniani.
and to sing as/when song new before the/this/who throne and before the/this/who four living thing and the/this/who elder: Elder and none be able to learn the/this/who song if: not not the/this/who hundred forty four thousand the/this/who to buy away from the/this/who earth: planet
4 Hawa ni wale ambao hawakujichafua wenyewe kwa wanawake, maana walijitunza wenyewe dhidi ya matendo ya zinaa. Ni hawa ambao walimfuata Mwana Kondoo popote alipoenda. Hawa walikombolewa kutoka kwa wanadamu wakiwa matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo.
this/he/she/it to be which with/after woman no to defile virgin for to be this/he/she/it (to be *k*) the/this/who to follow the/this/who lamb where(-ever) if (to go *NK(o)*) this/he/she/it (by/under: by Jesus *O*) to buy away from the/this/who a human firstfruits the/this/who God and the/this/who lamb
5 Hakuna uongo uliopatikana katika vinywa vyao; hawalaumiwi.
and in/on/among the/this/who mouth it/s/he no to find/meet (lie *N(k)O*) blameless (for *ko*) to be (before the/this/who throne the/this/who God *K*)
6 Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios g166)
and to perceive: see another angel to fly in/on/among midair to have/be gospel eternal to speak good news (upon/to/against *no*) the/this/who (to sit *N(k)O*) upon/to/against the/this/who earth: planet and upon/to/against all Gentiles and tribe and tongue and a people (aiōnios g166)
7 Akawaita kwa sauti kuu, “Mwogopeni Mungu na mpeni utukufu. Kwa maana muda wa hukumu umekaribia. Mwabuduni yeye, yeye aliyeumba mbingu, na dunia, na bahari, na chemchemi za maji.”
(to say *N(k)O*) in/on/among voice/sound: voice great to fear the/this/who (God *NK(O)*) and to give it/s/he glory that/since: since to come/go the/this/who hour the/this/who judgment it/s/he and to worship (the/this/who *NK(o)*) (it/s/he *o*) (to do/make: do *NK(o)*) the/this/who heaven and the/this/who earth: planet and (the/this/who *o*) sea and flow water
8 Malaika mwingine - malaika wa pili - akafuata akisema, “Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu, ambaye uliwanywesha mataifa divai ya ukahaba, divai ambayo ilileta ghadhabu juu yake.”
and another angel (secondly *NO*) to follow to say to collapse to collapse Babylon (the/this/who city *K*) the/this/who great (which *N(k)O*) out from the/this/who wine the/this/who wrath the/this/who sexual sin it/s/he to water all the/this/who Gentiles
9 Malaika mwingine - malaika wa tatu - aliwafuata, akasema kwa sauti kuu, “Yeyote atakayemwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kupokea alama katika paji lake la uso au mkononi,
and (another *no*) angel third to follow it/s/he to say in/on/among voice/sound: voice great if one to worship the/this/who wild animal and the/this/who image it/s/he and to take image/mark upon/to/against the/this/who forehead it/s/he or upon/to/against the/this/who hand it/s/he
10 yeye pia atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, divai ambayo imeandaliwa na kumwagwa bila kuchanganywa katika kikombe cha hasira yake. Mtu atakayekunywa atateswa kwa moto na moto wa kiberiti mbele za malaika zake watakatifu na mbele za Mwana Kondoo.
and it/s/he to drink out from the/this/who wine the/this/who wrath the/this/who God the/this/who to mix undiluted in/on/among the/this/who cup the/this/who wrath it/s/he and to torture: torture in/on/among fire and sulfur before (the/this/who *k*) angel holy and before the/this/who lamb
11 Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn g165)
and the/this/who smoke the/this/who torment it/s/he toward an age: eternity an age: eternity to ascend and no to have/be rest day and night the/this/who to worship the/this/who wild animal and the/this/who image it/s/he and if one to take the/this/who image/mark the/this/who name it/s/he (aiōn g165)
12 Huu ni wito wa subira na uvumilivu kwa waamini, wale ambao hutii amri za Mungu na imani katika Yesu.”
here the/this/who perseverance the/this/who holy: saint to be (here *k*) the/this/who to keep: observe the/this/who commandment the/this/who God and the/this/who faith Jesus
13 Nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika haya: Heri wafu wafao katika Bwana.” “Ndiyo,” asema Roho, “ili waweze kupumzika kutoka kwenye kazi zao, maana matendo yao yatawafuata.”
and to hear voice/sound: voice out from the/this/who heaven to say (me *K*) to write blessed the/this/who dead the/this/who in/on/among lord: God to die away from now yes to say the/this/who spirit/breath: spirit in order that/to (to give rest *N(k)O*) out from the/this/who labor it/s/he the/this/who (for *N(k)O*) work it/s/he to follow with/after it/s/he
14 Nilitazama na nikaona kulikuwa na wingu jeupe, na aliyeketi kwenye wingu ni mmoja aliyekuwa na mfano wa Mwana wa Mtu. Alikuwa na taji ya dhahabu katika kichwa chake na mundu mkali katika mkono wake.
and to perceive: see and look! cloud white and upon/to/against the/this/who cloud (to sit like son *N(k)O*) a human to have/be upon/to/against the/this/who head it/s/he crown golden and in/on/among the/this/who hand it/s/he sickle sharp/swift
15 Malaika mwingine tena alikuja kutoka kwenye hekalu na aliita kwa sauti kuu kwenda kwa yule aliyekaa katika wingu: “Chukua mundu wako na uanze kuvuna. Kwa kuwa muda wa mavuno umeshawadia, maana mavuno yaliyo katika dunia yameshaiva.”
and another angel to go out out from the/this/who temple to cry in/on/among voice/sound: voice great the/this/who to sit upon/to/against the/this/who cloud to send the/this/who sickle you and to reap that/since: since to come/go (you *K*) the/this/who hour (the/this/who *k*) to reap that/since: since to dry the/this/who harvest the/this/who earth: planet
16 Tena yule aliyekuwa kwenye wingu aliupitisha mundu wake juu ya dunia, na dunia ikavunwa.
and to throw: throw the/this/who to sit upon/to/against (the/this/who cloud *N(k)O*) the/this/who sickle it/s/he upon/to/against the/this/who earth: planet and to reap the/this/who earth: planet
17 Na malaika mwingine akaja kutoka kwenye hekalu la mbinguni; naye alikuwa na mundu mkali.
and another angel to go out out from the/this/who temple the/this/who in/on/among the/this/who heaven to have/be and it/s/he sickle sharp/swift
18 Na bado malaika mwingine akaja kutoka kwenye madhabahu, na malaika aliyekuwa na mamlaka juu ya moto. Akamwita kwa sauti kuu malaika ambaye alikuwa na mundu mkali, “Chukua mundu mkali na uyakusanye matawi ya mzabibu kutoka kwenye mzabibu wa nchi, kwa kuwa zabibu sasa zimeiva.”
and another angel to go out out from the/this/who altar the/this/who to have/be authority upon/to/against the/this/who fire and to call (voice/sound: voice *N(k)O*) great the/this/who to have/be the/this/who sickle the/this/who sharp/swift to say to send you the/this/who sickle the/this/who sharp/swift and to harvest the/this/who bunch of grapes the/this/who vine the/this/who earth: planet that/since: since to ripen the/this/who grapes it/s/he
19 Malaika alipeleka mundu wake katika dunia na alikusanya mavuno ya zabibu ya dunia na alirusha katika pipa kubwa la divai ya ghadhabu ya Mungu.
and to throw: throw the/this/who angel the/this/who sickle it/s/he toward the/this/who earth: planet and to harvest the/this/who vine the/this/who earth: planet and to throw: throw toward the/this/who winepress the/this/who wrath the/this/who God (the/this/who great *N(k)O*)
20 Chujio la divai lilipondwapondwa nje ya mji na damu ikamwagika kutoka katika hicho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1, 600.
and to trample the/this/who winepress outside the/this/who city and to go out blood out from the/this/who winepress until the/this/who bridle the/this/who horse away from stadium thousand six hundred

< Ufunuo 14 >