< Ufunuo 13 >

1 Kisha joka alisimama juu ya mchanga ufukwe wa bahari. Kisha nikaona mnyama akitoka kwenye bahari. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba. Katika pembe zake kulikuwa na taji kumi, na katika kichwa chake kulikuwa na maneno ya kufuru kwa Mungu.
Mi kuzwa aho i dilagoni chilya zimana halusekeseke lwa helizo lye wate. Linu china bona chibatana chibbikuka kuzwa mwi wate. Chibena maziya e kumi ni mitwi yina sebeni. he wulu lya maziya habena mishukwe itenda ikumi, mi hamutwi ni mutwi haba kwina izina lishubula.
2 Huyu mnyama niliyemuona ni kama chui. Miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Yule joka akampa nguvu, na katika kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala.
Ichi chibatana chinibaboni chikola ubu ungwe. Matende acho abalikukola ubu matende ebere, mi kaholo kateni kabali ku kola ubu kaholo ko ndavu. I dalagoni libahi ziho zateni kuchili, ni mushukwe wa teni, ni buyendisi bu kolete bwa ku yendisa.
3 Kichwa cha mnyama mmojawapo kilionekana kuwa na jeraha kubwa ambalo lingesababisha mauti yake. Lakini jeraha lake likapona, na dunia yote ikashangazwa na ikamfuata mnyama.
Umwi mutwi wa chibatana uba boneki kuti ube haiwa, kono chilabi chateni chi kando chibaholi. Bantu benkanda yonse baba komokwa nibe chilile chibatana.
4 Pia wakamwabudu joka, maana alimpa mamlaka yule mnyama. Wakamwabudu mnyama pia, na wakaendelea kusema, “Nani kama mnyama? na “Nani atapigana naye?”
Nabo mane baba lapeli i dilagoni, Kakuti ibahi ziho zayo ku chibatana. Baba lapeli chibatana, nacho, mi nibata kuti, “njeni yokola ubu chibatana?” mi “njeni yowola kulwa naco?”
5 Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi. Aliruhusiwa kuwa na mamlaka kwa miezi arobaini na miwili.
Chibatana chi bahewa kaholo ka wola kuwamba manzwi abuli kuhumusi ni ku nyansa. Chiba zumininwa ku bonisa ziho ka mulao mu myezi itenda makumi onee ni yobele- 42.
6 Hivyo mnyama alifungua mdomo wake kuongea matusi dhidi ya Mungu, akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni.
Njikuti chibatana ni cheyalula kaholo kuwamba zi shubula Ireeza: ku shubula izina lyakwe, ku chibaka kwa hala, mane nabo bahala mwi wulu.
7 Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na waamini na kuwashinda. Pia, alipewa mamlaka juu ya kila kabila, watu, lugha na taifa.
Chibatana chiba zumininwa kuleta inkondo ni ba lumeli mi ni kuba kooma. Hape, impuso iba hewa kuchili he wulu lya mishobo yonse, bantu, malimi, ni nkanda.
8 Wote walioishi duniani watamwabudu yeye, kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa, toka uumbaji wa dunia, katika kitabu cha uzima, ambacho ni cha Mwana Kondoo, ambaye alichinjwa.
Bonse bahala hansi mubachi lapele, yense wezina lisa ñoletwe, kuzwa kumatangilo e mpupo ye nkanda, mwi Mbuka ya Buhalo, ili ye Mbelele, ibe haiwa.
9 Ikiwa yeyote ana sikio, na asikilize.
Heba kwina wina kutwi, mumusiye azuwe.
10 Ikiwa mmojawapo amechukuliwa mateka, na kwenye mateka ataenda. Ikiwa mmojawapo ataua kwa upanga, kwa upanga atauawa. Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu.
haiba nikwina yo twalwa mubukoba, mubukoba mwaye mo. Haiba kwina wi haiwa ni sabule, che sabule mwe haiwe. kunu ku sumpwa kwa ku lindila inako inde mi nintumelo yabana ba jolola.
11 Tena nikaona mnyama mwingine anakuja kutoka katika nchi. Alikuwa mwenye pembe mbili kama kondoo na akazungumza kama joka.
Hape chinabona chimwi chibatana chitumuka kuzwa mwi inkanda. Chi bena maziya obele ubu imbelele, mi chiba wambi ubu i dilagoni.
12 Alionyesha mamlaka yote katika mnyama yule wa kwanza katika uwepo wake, na kufanya katika dunia na wale walioishi wakimuabudu yule mnyama wa kwanza, yule ambaye jeraha lake limepona.
Chi babonisi zonse ziho za chibatana chamatangilo ha busa bwacho, mi chiba letisi kuti inkanda nabo bahala mwateni kulapela chibatana chamatangilo-icho chibena chilabi chikando chiba hozwa.
13 Akafanya miujiza yenye nguvu, hata akafanya moto ushuke katika dunia kutoka mbinguni mbele ya watu,
Chi ba tendi imboniso zikando. mane chiba bonisi ni mulilo uba soki hansi kuzwa kwi wulu habusu bwa bantu,
14 na kwa ishara aliruhusiwa kufanya, akawadanganya hao wakaao katika dunia, akiwaambia kutengeneza sanamu kwa heshima ya mnyama ambaye alikuwa amejeruhiwa kwa upanga, lakini bado aliishi.
Che mboniso ichiba zumininwa kutenda, chiba chengeleli abo bahala hansi. chibaba wambili ku tenda chi bumbantu mukukuteka chibatana chibena chilabi che sabule kono chiba hali.
15 Aliruhusiwa kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama ili sanamu iweze kusema na kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe.
Chi ba zumininwa kuha luuho ku chibumbeho cha chibatana nji kuta kuti chibumbeho chi bakuwola kuwamba ni kuletela kuti bonse bakana ku lapela chibatana be hayiwe.
16 Pia akalazimisha kila mmoja, asiye na thamani na mwenye nguvu, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea alama katika mkono wa kuume au katika paji la uso.
Chi ba hambilizi zumwi ni zumwi, basena intuso ni ba kolete, ba fumite ni ba shebete, ba lukuluhite ni bahikana, ku tambula lusalo heyanza lya bulyo kapa ha bulubi.
17 Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama, na hii ni namba yenye kuwakilisha jina lake.
Ke na ku ba ku woleka kwa zumwi ni zumwi ku ula kapa ku uuza, kwanda kuti wina lusalo lwa chibatana, nji kuti, nji nombolo izimanina izina lyacho.
18 Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
Ichi chisumpa butali, haiba kwina wina inkutwisiso, akopanye i nombolo ya chibatana, inombolo yamuntu, iyi nombolo nji 666.

< Ufunuo 13 >