< Ufunuo 13 >
1 Kisha joka alisimama juu ya mchanga ufukwe wa bahari. Kisha nikaona mnyama akitoka kwenye bahari. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba. Katika pembe zake kulikuwa na taji kumi, na katika kichwa chake kulikuwa na maneno ya kufuru kwa Mungu.
abbaa gaxan de7iya shafen eqqis. Hessafe guye, issi do7ay abbaafe keyishin be7as. Iyaw tammu kaceynne laappun huu7ey de7ees. He tammu kaceta bolla tammu kallachchati de7oosona. He huu7eta bolla Xoossaa cashsha sunthati xaafettidi uttis.
2 Huyu mnyama niliyemuona ni kama chui. Miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Yule joka akampa nguvu, na katika kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala.
Ta be7ida do7ay maahe daanees; iya tohoy babbantha toho mela; iya doonaykka gaammo doona daanees. Dawey ba wolqqaa, ba araatanne ba gita maataa he do7aas immis.
3 Kichwa cha mnyama mmojawapo kilionekana kuwa na jeraha kubwa ambalo lingesababisha mauti yake. Lakini jeraha lake likapona, na dunia yote ikashangazwa na ikamfuata mnyama.
He do7aa huu7iyappe issuwa bolla hayqos gathiya madunthi be7as, shin he madunthay paxis. Alamiya asay ubbay malaalettidi he do7aa kaallis.
4 Pia wakamwabudu joka, maana alimpa mamlaka yule mnyama. Wakamwabudu mnyama pia, na wakaendelea kusema, “Nani kama mnyama? na “Nani atapigana naye?”
Dawey ba maataa do7aas immida gisho asay ubbay dawiya goynnidosona. Qassi asay, “Do7aa meli oonee? Iyara olettanaw dandda7ey oonee?” yaagidi do7aas goynnidosona.
5 Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi. Aliruhusiwa kuwa na mamlaka kwa miezi arobaini na miwili.
He do7aas otorttana melanne cayana mela dooni imettis; oytamanne nam77u ageena haarana mela maati iyaw imettis.
6 Hivyo mnyama alifungua mdomo wake kuongea matusi dhidi ya Mungu, akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni.
He do7ay Xoossaa, iya sunthaa, I de7iya bessaanne salon de7iya ubbaa qanggethi oykkis.
7 Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na waamini na kuwashinda. Pia, alipewa mamlaka juu ya kila kabila, watu, lugha na taifa.
He do7ay geeshshatara olettidi, enttana xoonana mela wolqqi iyaw imettis. Yara ubbaa, dere ubbaa, dumma dumma doona ubbaa bollanne zerethi ubbaa bolla maati iyaw imettis.
8 Wote walioishi duniani watamwabudu yeye, kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa, toka uumbaji wa dunia, katika kitabu cha uzima, ambacho ni cha Mwana Kondoo, ambaye alichinjwa.
Alamey medhettosappe doomidi, shukettida Dorssa de7o maxaafan entta sunthay xaafettona ha sa7an de7iya asa ubbay he do7aas goynnana.
9 Ikiwa yeyote ana sikio, na asikilize.
Si7iya haythi de7iya asi si7o.
10 Ikiwa mmojawapo amechukuliwa mateka, na kwenye mateka ataenda. Ikiwa mmojawapo ataua kwa upanga, kwa upanga atauawa. Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu.
Oonikka di7ettanaw de7ey di7ettees. Bison hayqqanaw de7ey bison shukettana. Hessankka geeshshata dandda7aynne ammanoy erettana.
11 Tena nikaona mnyama mwingine anakuja kutoka katika nchi. Alikuwa mwenye pembe mbili kama kondoo na akazungumza kama joka.
Qassika, hara do7i sa7appe keyishin be7as. Iyaw dorssa kace daaniya nam77u kacey de7ees; iya haasayay daweyssa mela.
12 Alionyesha mamlaka yote katika mnyama yule wa kwanza katika uwepo wake, na kufanya katika dunia na wale walioishi wakimuabudu yule mnyama wa kwanza, yule ambaye jeraha lake limepona.
He do7ay koyro do7aa bessan, iya maatan oothees. Ikka hayqos gathiya madunthaafe paxida koyro do7aas; biittan de7iya asa ubbay goyinnana mela oothees.
13 Akafanya miujiza yenye nguvu, hata akafanya moto ushuke katika dunia kutoka mbinguni mbele ya watu,
He nam77antho do7ay hari attoshin, tama saloppe asa ubbaa sinthan wodhisana gakkanaw gita malaatata oothis.
14 na kwa ishara aliruhusiwa kufanya, akawadanganya hao wakaao katika dunia, akiwaambia kutengeneza sanamu kwa heshima ya mnyama ambaye alikuwa amejeruhiwa kwa upanga, lakini bado aliishi.
Koyro do7aa bessan oothana mela, iyaw imettida malaatatan sa7an de7iya asa ubbaa I balethis. Bisuwan madunxidi paxida do7aa bonchchos misile giigisana mela enttana kiittis.
15 Aliruhusiwa kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama ili sanamu iweze kusema na kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe.
Nam77antho do7ay koyro do7aa misiliyas shemppo immidi odettana melanne iyaw goynnonayssati hayqqana mela oothiya maati imettis.
16 Pia akalazimisha kila mmoja, asiye na thamani na mwenye nguvu, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea alama katika mkono wa kuume au katika paji la uso.
He nam77antho do7ay gitinne guuthi, manqoynne durey, womaanoynne aylley ba ushachcha kushen woykko ba som77on malla wothana mela oothis.
17 Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama, na hii ni namba yenye kuwakilisha jina lake.
He do7aa sunthay woykko iya sunthaa payduwa mallay baynna asi oonikka bayzanawunne shammanaw dandda7enna.
18 Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
Cinccatethi koshshey hessana. Eratethi de7iya oonikka he do7aa payduwa birshshethaa ero; he paydoy asa sunthi. He paydoy usuppun xeetanne usppun tammanne usuppuna.