< Ufunuo 12 >

1 Ishara kuu ilionekana mbinguni: mwanamke aliyefunikwa na jua, na akiwa na mwezi chini ya miguu yake; na taji ya nyota kumi na mbili ilikuwa juu ya kichwa chake.
И знак велики показа се на небу: жена обучена у сунце, и месец под ногама њеним, и на глави њеној венац од дванаест звезда.
2 Alikuwa na mimba na alikuwa analia kwa ajili ya maumivu ya kuzaa—katika uchungu wa kujifungua.
И беше трудна, и викаше од муке, и мучаше се да роди.
3 Na ishara nyingine ilionekana mbinguni: Tazama! Kulikuwa na joka mwekundu mkubwa ambaye alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kulikuwa na taji saba kwenye vichwa vyake.
И показа се други знак на небу, и гле, велика црвена аждаха, која имаше седам глава, и десет рогова; и на главама њеним седам круна;
4 Mkia wake ulikokota theluthi moja ya nyota mbinguni na kuzitupa chini duniani. Joka alisimama mbele ya mwanamke aliyekuwa anakaribia kuzaa, ili kwamba wakati anazaa, apate kummeza mtoto wake.
И реп њен одвуче трећину звезда небеских, и баци их на земљу. И аждаха стајаше пред женом која хтеде да се породи, да јој прождере дете кад роди.
5 Alimzaa mwana, mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Mtoto wake alinyakuliwa juu kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi,
И роди мушко, сина, који ће пасти све народе с палицом гвозденом; и дете њено би узето к Богу и престолу његовом.
6 na mwanamke alikimbilia nyikani, mahali ambapo Mungu alikuwa ameandaa eneo kwa ajili yake, ili aweze kuhudumiwa kwa siku 1, 260.
А жена побеже у пустињу где имаше место приправљено од Бога, да се онамо храни хиљаду и двеста и шездесет дана.
7 Sasa kulikuwa na vita mbinguni. Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka; naye joka mkubwa na malaika zake wakapigana nao.
И поста рат на небу. Михаило и анђели Његови ударише на аждаху, и би се аждаха и анђели њени.
8 Lakini joka hakuwa na nguvu za kutosha kushinda. Kwa hiyo haikuwepo tena nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika zake.
И не надвладаше, и више им се не нађе места на небу.
9 Joka mkubwa—yule nyoka wa zamani aitwaye ibilisi au Shetani ambaye hudanganya - dunia nzima akatupwa chini katika dunia, na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.
И збачена би аждаха велика, стара змија, која се зове ђаво и сотона, која вара сав васиони свет, и збачена би на земљу, и анђели њени збачени бише с њом.
10 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni: “Sasa wokovu umekuja, nguvu—na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake. Kwa kuwa mshitaki wa ndugu zetu ametupwa chini—ambaye aliwashitaki mbele za Mungu wetu mchana na usiku.
И чух глас велики на небу који говори: Сад поста спасење и сила и царство Бога нашег, и област Христа Његовог; јер се збаци опадач браће наше, који их опадаше пред Богом нашим дан и ноћ.
11 Walimshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao, kwa maana hawakupenda sana maisha yao, hata kufa.
И они га победише крвљу Јагњетовом и речју сведочанства свог, и не марише за живот свој до саме смрти.
12 Kwa hiyo, shangilieni, ninyi mbingu, na wote mnaokaa ndani yake. Lakini ole wa nchi na bahari kwa sababu mwovu ameshuka kwenu. Amejawa na hasira kali, kwa sababu anajua kwamba ana muda mchache tu.
Зато веселите се небеса и ви који живите на њима. Тешко вама који живите на земљи и мору, јер ђаво сиђе к вама, и врло се расрдио, знајући да времена мало има.
13 Wakati joka alipotambua kuwa ametupwa chini kwenye nchi, alimfuata mwanamke ambaye alikuwa amezaa mtoto wa kiume.
И кад виде аждаха да збачена би на земљу, гоњаше жену која роди мушко.
14 Lakini mwanamke alipewa mabawa mawili ya tai mkubwa, ili kwamba aweze kuruka hadi kwenye eneo lililoandaliwa kwa ajili yake kule jangwani, eneo ambalo angeweza kutunzwa, kwa wakati, nyakati na nusu wakati-mahali asipoweza kupafikia huyo nyoka.
И жени дана бише два крила орла великог да лети у пустињу на своје место, где ће се хранити време и времена и по времена, сакривена од лица змијиног.
15 Nyoka alimwaga maji kutoka mdomoni mwake kama mto, ili afanye gharika ya kumgharikisha.
И испусти змија за женом из уста својих воду као реку, да је утопи у реци.
16 Lakini ardhi ilimsaidia mwanamke. Ilifunua kinywa chake na kuumeza mto alioutema joka kutoka kinywani mwake.
И поможе земља жени, и отвори земља уста своја, и прождре реку коју испусти змија из уста својих.
17 Kisha joka akamkasirikia mwanamke naye aliondoka na kufanya vita na uzao wake wote—wale wanaotii amri za Mungu na kushikilia ushuhuda kuhusu Yesu.
И разгневи се змија на жену, и отиде да се побије са осталим семеном њеним, које држи заповести Божије и има сведочанство Исуса Христа.

< Ufunuo 12 >