< Ufunuo 10 >
1 Kisha nikaona malaika mwingine mkuu akishuka chini kutoka mbinguni. Alikuwa amefungwa katika wingu, na kulikuwa na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulikuwa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
Linu chinabona limwi iñiloi likolete likeza hansi kuzwa kwi wulu. Aba libungelele mumakope, imi kubena simutalanzi heulu lya mutwi wakwe. Chi fateho chakwe chiba kukola ubu izuba imi matende akwe aba kukola ubu misumo ya mulilo.
2 Alishikilia gombo dogo katika mkono wake lililokuwa limefunuliwa, naye aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na mguu wake wa kushoto juu ya nchi kavu.
Abakwete imbuka inini iyalukite mwi yanza lyakwe, Imi chabika itende lyakwe lya chilyo he wate imi itende lye nzohoto hansi.
3 Kisha alipaza sauti ya juu kama simba aungurumapo, na wakati alipopaza sauti radi saba ziliunguruma.
Linu cha huweleza cha linzwi lizuweka ubu lyo ndavu yolila. Ha huweleza, chikwa zuweka milumo ikwana iyanza nitobele iwamba hanze mu manzwi awo.
4 Wakati radi saba zilipounguruma, nilikuwa nakaribia kuandika, lakini nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Tunza iwe siri kile ambacho radi saba zimesema. Usiiandike.”
Iyo milumo ikwana iyanza ni tobele haiwamba hanze, Chi nibali kusaka kuñola, kono ni bazuwi linzwi lizwa kwiwulu liti, “bike inkunutu iya wamba milumo ikwa iyanza ni tobele. Sanzi uzi ñoli hansi”.
5 Kisha malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na nchi kavu, aliinua mkono wake juu mbinguni
Linu iñiloi lini baboni ni lizimene he wate ni hansi, lizimikite iyanza lya chilyo mwi wulu.
6 na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn )
nicha konka chozo yohala kuya kusamani. yaba bumbi iwulu ni zonse zina kwateni, inkanda ni zonse zina hateni, ni wate ni zonse zina mwateni, imi iñiloi nilya ti, “kete ni kube ni kulyeha hape. (aiōn )
7 Lakini katika siku ile, wakati malaika wa saba atakapokaribia kupiga tarumbeta yake, ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa, kama alivyotangaza kwa watumishi wake manabii.”
Kono luzuba iñiloi likwanisa iyanza ni tobele chilyati chi liliza intolombita, linu milelo ye inkunutu za Ireeza njete imane, sina mwaba teli ku bahikana bakwe bapolofita.”
8 Sauti niliyosikia kutoka mbinguni iliniambia tena: “Nenda, chukua gombo dogo lililofunuliwa ambalo kiko katika mkono wa malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
Inzwi lini ba zuwi kuzwa kwi wulu chi lyawamba kwangu hape: “Yende, kahinde imbuka i umbukite ina mwiyanza lye iñiloi lizimene he wate ni hansi.”
9 Kisha nilikwenda kwa malaika na kumwambia anipe gombo dogo. Aliniambia, “Chukua gombo na ule. Litalifanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini katika mdomo wako litakuwa tamu kama asali.”
Linu china yenda kwi ñiloi, imi china li wambila kuti linihe imbuka inini i umbwilwe. Cha wamba kwangu, “Ihinde iyo imbuka imi uilye. muipange ibumo lyako bubi, kono mukaholo kako mukube ni munati ukola buchi.”
10 Nilichukua gombo dogo kutoka mkononi mwa malaika na kulila. Lilikuwa kitamu kama asali katika mdomo wangu, lakini baada ya kula, tumbo langu lilikuwa na uchungu.
China hinda imbuka inini mwiyanza lye iñiloi ni ku ilya. ibali kwina munati ubu buchi mukaholo kangu, kono hanimana kuilya, ibumo lyangu chilya biha.
11 Kisha baadhi ya sauti ziliniambia, “Unapaswa kutabiri tena kuhusu watu wengi, mataifa, lugha, na wafalme.”
Linu zumwi chawamba kwangu, “uswanela kutanikiza hape kuamana ni bantu bangi, inkanda, mishobo ni malena.”