< Ufunuo 10 >
1 Kisha nikaona malaika mwingine mkuu akishuka chini kutoka mbinguni. Alikuwa amefungwa katika wingu, na kulikuwa na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulikuwa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
Kisha nikabhona malaika jhongi mbaha iselela pasi kuhoma kumbinguni. Ajhele akongibhu mu mabhengu, na kwajhele ni upinde bhwa fula panani pa mutu bhwa muene. Pamihu pa muene pajhele kama lijobha ni magolo gha muene ghajhele kama nguzo sya muoto.
2 Alishikilia gombo dogo katika mkono wake lililokuwa limefunuliwa, naye aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na mguu wake wa kushoto juu ya nchi kavu.
Akamulili gombo lidebe mu kibhoko kya muene lya lyajhele lifunulibhu, ni muene abhekili kigolo kya muene kya kulia panani pa bahari ni kigolo kya muene kya kushoto panani pa ndema.
3 Kisha alipaza sauti ya juu kama simba aungurumapo, na wakati alipopaza sauti radi saba ziliunguruma.
Kisha akwesili sauti jha panani kama simba paiunguruma, na wakati akwesili sauti radi saba syaunguruimi nikaburuma.
4 Wakati radi saba zilipounguruma, nilikuwa nakaribia kuandika, lakini nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Tunza iwe siri kile ambacho radi saba zimesema. Usiiandike.”
Wakati radi saba siburuimi nikaribileghe kulemba, lakini napeliki sauti kuhoma kumbinguni jhijobha, “Tunzayi jhijhelayi siri khela ambakyo radi saba sijobhili. Usijhilembi.”
5 Kisha malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na nchi kavu, aliinua mkono wake juu mbinguni
Kisha malaika jhanambwene ajhemili panani pa bahari ni pandema, ajhemili kibhoko kya muene panani kumbinguni
6 na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn )
ni kulapa kwa jhola jhaiishi milele ni milele- jhaabhombili mbingu ni fyoha fya fijhele, padunia ni fyoha fyafijhele, ni bahari ni fyoha fyafijhele: “Kubetalepi kujha kuchelebhwa kabhele. (aiōn )
7 Lakini katika siku ile, wakati malaika wa saba atakapokaribia kupiga tarumbeta yake, ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa, kama alivyotangaza kwa watumishi wake manabii.”
Lakini ligono lela, wakati malaika ghwa saba paibeta kukaribila kukhobha tarumbeta lya muene, ndipo siri jha K'yara jhibeta kujha jhitimisibhu, kama kya atangasili kwa bhatumishi bha muene manabii.”
8 Sauti niliyosikia kutoka mbinguni iliniambia tena: “Nenda, chukua gombo dogo lililofunuliwa ambalo kiko katika mkono wa malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
Sauti jha napeliki kuhoma kumbinguni jha nijobhili kabhele: “Lotayi, tolai gombo lidebe lyalifunulibhu ambalyo lijhele mu kibhoko kya malaika jhaajhemili panani pa bahari ni panani pa ndema.”
9 Kisha nilikwenda kwa malaika na kumwambia anipe gombo dogo. Aliniambia, “Chukua gombo na ule. Litalifanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini katika mdomo wako litakuwa tamu kama asali.”
Kisha nikalota kwa malaika ni kun'jobhela anipelai gombo lidebe. Anijobhili, “tolai ligombo na uliajhi. Libetakulikheta lileme lya jhobhi lijhelayi ni uchungu, lakini mu ndomo bhwa jhobhi libeta kujha linogha kama bhuokhi.”
10 Nilichukua gombo dogo kutoka mkononi mwa malaika na kulila. Lilikuwa kitamu kama asali katika mdomo wangu, lakini baada ya kula, tumbo langu lilikuwa na uchungu.
Natolili gombo lidebe kuhoma mu mabhoko gha malaika ni kulya. Linogheghe kama bhuokhi mu ndomo bhwa nene, lakini baada jha kulya, lileme lya nene lyajhele ni uchungu.
11 Kisha baadhi ya sauti ziliniambia, “Unapaswa kutabiri tena kuhusu watu wengi, mataifa, lugha, na wafalme.”
Kisha baadhi jha sauti syanijobhili, “Usilondeka kutabiri kabhele kuhusu bhanu bhamehele, mataifa, lugha, ni bhafalme.”