< Ufunuo 1 >

1 Huu ni ufunuo wa Yesu Kristo ambao Mungu alimpa ili kuwaonesha watumishi wake mambo ambayo lazima yatokee karibuni. Aliyafanya yajulikane kwa kumtuma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
Wenuwu ndi ugubukulo wa Yesu Kilisitu weapewili na Chapanga muni avalangisa vatumisi vaki, mambu gegihumila papipi. Kilisitu amtumili mtumu waki wa kunani kwa Chapanga ammanyisa muhengaji waki Yohani mambu ago.
2 Yohana alitoa ushuhuda wa kila kitu alichoona kuhusiana na neno la Mungu na kwa ushuhuda uliotolewa kuhusu Yesu Kristo.
Mwene Yohani alolili kuvala ujumbi wa Chapanga na ndava ya Lilovi la Chapanga, na uchakaka wewajoviwi na Yesu Kilisitu.
3 Amebarikiwa yeye asomaye kwa sauti na wale wote wanaoyasikia maneno ya unabii huu na kutii kilichoandikwa humo, kwa sababu muda umekaribia.
Amotisiwi yula mweisoma malovi ga ulota wa Chapanga na kuyuwana na kugalanda gala gegayandikwi muchitabu ichi, muni lukumbi lwa kuhumila mambu ago luvi papipi.
4 Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: neema iwe kwenu na amani kutoka kwake aliyepo, aliyekuwepo, na atakayekuja, na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
Nene Yohani nikuvayandikila misambi saba ya vandu vevakumsadika Kilisitu va mulima wa Asia. Nikuvaganila ubwina na uteke kuhuma kwa Chapanga mweavili na mweavi na mweibwela, na kuhuma kwa mipungu saba palongolo ya chigoda chaki cha magono goha gangali mwishu,
5 na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mtawala wa wafalme wa dunia hii. Kwake yeye atupendaye na ametuweka huru kutoka katika dhambi zetu kwa damu yake,
na kuhuma kwa Yesu Kilisitu. Mwene ndi mwetijova ndava yaki msadikika na ndi wa kutumbula mweayukiswi kuhuma kwa vevafwili, mewawa mwene ndi Nkosi wa vankosi va pamulima. Mwene akutigana na kwa ngasi yaki atilekekisi hulu mabudilu gitu.
6 ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
Atihengili tete tavankosi na vamteta va Chapanga muni tihengela Chapanga, muni vavalongosa vandu va milima yoha, Dadi waki. Kwaki Yesu Kilisitu uvya ukulu na makakala, magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn g165)
7 Tazama, anakuja na mawingu; kila jicho litamwona, pamoja na wote waliomchoma. Na kabila zote za dunia wataomboleza kwake. Ndiyo, Amina.
Lola! Mwene ibwela mumahundi! Kila mundu yati akumlola, hati vala vevambowili kwa mgoha. Na ndava yaki vandu voha pamulima yati vivembeneka ndava yaki! Ena.
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “Yeye aliyepo, na aliyekuwepo, na ambaye anakuja, Mwenye nguvu.”
Ijova Bambu Chapanga, mweavi na uhotola woha, mweavili na mweavi na mweibwela, “Nene ndi Mtumbula na wamwishu wa vindu vyoha.”
9 Mimi, Yohana - ndugu yenu na mmoja anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu; nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patimo kwa sababu ya neno la Mungu na ushuhuda kuhusu Yesu.
Nene Yohani mlongo winu nihanganila na nyenye mumaing'aiso na muunkosi wa Chapanga na mukusindimala ndava ya kumsadika Yesu Kilisitu. Nene napelikwi kuchifungu pachisiwa cha Patimo ndava navakokosili vandu Lilovi la Chapanga na kudandaula mambu ga Yesu.
10 Nilikuwa katika Roho siku ya Bwana. Nilisikia nyuma yangu sauti ya juu kama ya tarumbeta,
Muligono la Bambu mukulongoswa na Mpungu Msopi, nayuwini lwami luvaha mumbele yangu, lwami ngati lipenenga.
11 ikisema, “andika katika kitabu unayo yaona, na uyatume kwa makanisa saba, kwenda Efeso, kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia.”
Yajovili, “Yandikayi muchitabu gala geukugalola, kangi uchipeleka kwa misambi saba ya vandu vevakumsadika Kilisitu pamiji ya ku Efeso na Simulina na Peliganoni na Tuatila na Salide na Fidalefia pamonga na Laodikea.”
12 Nikageuka kuona ni sauti ya nani aliyekuwa akiongea nami, na nilipogeuka niliona kinara cha dhahabu cha taa saba.
Hinu, nanga'anamwiki muni nilola mweijova na nene. Ndi penang'anamwiki, nawene vibokoselu saba vya kuvikila hahi za zahabu,
13 Katikati ya kinara cha taa alikuwemo mmoja kama Mwana wa Adamu, amevaa kanzu ndefu iliyofika chini ya miguu yake, na mkanda wa dhababu kuzunguka kifua chake.
na pagati yaki namuwene mmonga mweavi ngati mundu, awalili ligwanda litali na mkungi wa zahabu panganga yaki.
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe kama theluji, na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
Mayunju gaki gavi gamsopi pehe, mihu gaki gang'asimi ngati motu wewiyaka,
15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kama shaba ambayo imekwisha pitishwa katika moto, na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi yanayotiririka kwa kasi.
magendelu gaki ngati shaba yeying'asima na yeyinyambiswi bwina mumotu, na lwami lwaki lwavi ngati mbulumo lwa manji gegihelela.
16 Alikuwa ameshikilia nyota saba katika mkono wake wa kuume, na kutoka kinywani mwake kulikuwa na upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa uking'aa kama mwanga mkali wa jua.
Muchiwoko chaki cha kulyela avi na ndondo saba, na mumlomo waki mwahumili upanga weutema pandi zoha. Pamihu paki gang'asimi ngati lilanga leliyaka neju.
17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu na kusema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho,
Lukumbi, panakamuwene ndu, nagwili palongolo ya magendelu gaki ngati mundu mweafwili. Nambu mwene akapamisa chiwoko chaki cha kulyela panani yangu, akajova, ukotoka kuyogopa! Nene ndi wa kutumbula na mwishu wa vindu vyoha.
18 na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
Nene ndi mwenivi mumi! Nafwili, nambu, lola hinu ndi namumi magono goha gangali mwishu. Nivii na uhotola wa lifwa na mulima wa vandu vevafwili. (aiōn g165, Hadēs g86)
19 Kwa hiyo, yaandike uliyoyaona, yaliyopo sasa, na yale yatakayotokea baada ya haya.
Hinu yandika mambu aga geukugawona, mambu gegihumila hinu na gala gegihumila mwanakandahi.
20 Kwa maana iliyojificha kuhusu nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na kile kinara cha dhahabu cha taa saba: nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na kinara cha taa saba ni yale makanisa saba.”
Wenuwu ndi mfiyu wa ndondo zila saba zeuziwene muchiwoko changu cha kulyela na vila vindu saba vya zahabu: Zila ndondo saba ndi vamitumu pa misambi saba ya vandu vevakumsadika Kilisitu, na vibokoselu vila saba, ndi misambi yene saba ya vandu vevakumsadika Kilisitu.

< Ufunuo 1 >