< Zaburi 1 >
1 Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
Heureux l’homme qui n’est pas allé au conseil des impies, qui ne s’est pas arrêté dans la voie des pécheurs, qui ne s’est pas assis dans la chaire de pestilence;
2 Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
Mais dont la volonté est dans la loi du Seigneur, et qui médite cette loi le jour et la nuit.
3 Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
Il sera comme l’arbre planté près des courants des eaux, qui donnera son fruit en son temps; Et sa feuille ne tombera point; et tout ce qu’il fera prospérera.
4 Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Il n’en est pas ainsi des impies; non, il n’en est pas ainsi, mais ils sont comme la poussière que le vent emporte de la face de la terre.
5 Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
C’est pourquoi les impies ne ressusciteront pas au jugement, ni les pécheurs dans l’assemblée des justes.
6 Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.
Parce que le Seigneur connaît la voie des justes, et la voie des impies périra.