< Zaburi 97 >

1 Yahwe anatawala; nchi ishangilie; visiwa vingi na vifurahi.
Kasakkung: panuekhoeh BAWIPA ni a uk, talai lunghawi seh. Tuilumnaw hai lunghawi awh naseh.
2 Mawingu na giza vyamzunguka. Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Tâmai hoi hmonae ni a ramuk teh, lannae hoi kângingnae teh a bawitungkhung a kamtuenae doeh.
3 Moto huenda mbele zake nao huwateketeza adui zake pande zote.
A hmalah hmai a cei teh, ka kalup e tarannaw teh a kak awh.
4 Taa yake huangaza ulimwengu; nchi huona na kutetemeka.
Sumpapalik ni talai a ang sak teh, talai ni a hmu toteh a pâyaw.
5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Yahwe, Bwana wa dunia yote.
Monnaw pueng teh BAWIPA hmalah, talai van pueng teh Bawipa hmalah khoilai patetlah koung a kamyawt.
6 Mbingu hutangaza haki yake, na mataifa yote huuona utukufu wake.
Kalvan ni a lannae hah a pâpho teh, tami pueng ni a bawilennae hah a hmu awh.
7 Wale wote waabuduo sanamu za kuchonga wataaibishwa, wale wanao jivuna katika sanamu zisizo na maana mpigieni yeye magoti, enyi miungu wote!
Meikaphawk thaw ka tawk e pueng, ayawmyin dawk kakâoupnaw pueng teh, kaya laihoi awm awh naseh, cathutnaw pueng ama teh bawk awh haw.
8 Sayuni ilisikia na kufurahi, na miji ya Yuda ilishangilia kwa sababu ya amri zako za haki, Yahwe.
Bangkongtetpawiteh, Oe BAWIPA nange lawkcengnae dawkvah, Zion a lunghawi teh Judah canunaw hai a konawm awh.
9 Kwa kuwa wewe, Yahwe, ndiye uliye juu sana, juu ya nchi yote. Umetukuka sana juu ya miungu yote.
Oe BAWIPA, nang teh talai van pueng hlak a lathueng poung lah na o. Cathut pueng lathueng vah tawm lah na o.
10 Ninyi ambao mnampenda Yahwe, chukieni uovu! Yeye hulinda uhai wa watakatifu wake, naye huwatoa mikononi mwa waovu.
Nangmouh Cathut lungpataw naw, kathoute hah panuet awh nateh, ama ni a tamikathoungnaw e hringnae hah a khetyawt teh, tamikathoutnaw e kut dawk hoi a rungngang.
11 Nuru imepandwa kwa ajili ya wenye haki na furaha kwa ajili ya wanyoofu wa moyo.
Tamikalannaw koe a ang teh lungthin kalannaw koe konawmnae teh ouk a pha.
12 Furahini katika Yahwe, enyi wenye haki; na mpeni shukurani mkumbukapo utakatifu wake.
Nangmouh tami kalannaw, BAWIPA koe konawm awh haw. A min kathoung hah pholen awh.

< Zaburi 97 >