< Zaburi 97 >
1 Yahwe anatawala; nchi ishangilie; visiwa vingi na vifurahi.
Osobo bagade, hahawane nodoma! Hina Gode da Hina Bagadedafa! Hano wayabo bagade ganodini oga dialebe gala! Dilia da nodoma!
2 Mawingu na giza vyamzunguka. Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Mu mobi amola gasi da E sisiga: sa. E da moloidafa amola moloidafa fofada: su amoga ouligisa.
3 Moto huenda mbele zake nao huwateketeza adui zake pande zote.
Lalu da Ea midadi bisili ahoana, Ema ha lai dunu E sisiga: le aliligi amo nene ahoa.
4 Taa yake huangaza ulimwengu; nchi huona na kutetemeka.
Ea da: gini gala: be amoga osobo bagade huluane da digaga: la: sa! Amola osobo bagade da amo ba: sea yagugusa.
5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Yahwe, Bwana wa dunia yote.
Agolo huluane da osobo bagade Hina Gode Ea midadi gamali ulagisia daeane dabe agoai ba: mu.
6 Mbingu hutangaza haki yake, na mataifa yote huuona utukufu wake.
Hebene da Ea moloidafa hou amo olelesa, amola fifi asi gala huluane da Ea hadigi amo ba: sa.
7 Wale wote waabuduo sanamu za kuchonga wataaibishwa, wale wanao jivuna katika sanamu zisizo na maana mpigieni yeye magoti, enyi miungu wote!
Ogogole ‘gode’ huluane da Hina Gode Ea midadi begudusa, amaiba: le dunu huluane ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadobe da gogosiasu fawane ba: mu.
8 Sayuni ilisikia na kufurahi, na miji ya Yuda ilishangilia kwa sababu ya amri zako za haki, Yahwe.
Hina Gode! Saione fi dunu amola Yuda moilale gagale fi dunu da hahawaneba: le nodosa. Bai Dia fofada: su hou da moloidafa.
9 Kwa kuwa wewe, Yahwe, ndiye uliye juu sana, juu ya nchi yote. Umetukuka sana juu ya miungu yote.
Hina Gode Bagadedafa! Di da osobo bagade fifi asi gala huluane Ouligisudafa. Di da ogogole ‘gode’ amo huluane baligi dagoi.
10 Ninyi ambao mnampenda Yahwe, chukieni uovu! Yeye hulinda uhai wa watakatifu wake, naye huwatoa mikononi mwa waovu.
Hina Gode da nowa da wadela: i hamosu amo higabe, ilima nodosa. E da Ea dunu ilia esalusu amo gaga: sa. Wadela: i hou hamosu dunu ilia gasa amoga Ea fi dunu wadela: lesisa: besa: le, E da ili gaga: sa.
11 Nuru imepandwa kwa ajili ya wenye haki na furaha kwa ajili ya wanyoofu wa moyo.
Hadigi da moloidafa dunu amodili diga: sa. Amola hahawane hou da noga: i dunu amodili diga: sa.
12 Furahini katika Yahwe, enyi wenye haki; na mpeni shukurani mkumbukapo utakatifu wake.
Molole hamobe dunu dilia huluane da Hina Gode Ea hahamobe hou amo dawa: le, hahawane ba: ma! Hadigi Gode Ea hamobe bu dawa: ma amola Ema nodone sia: ma!