< Zaburi 96 >

1 Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
Yeni bir ezgi söyleyin RAB'be! Ey bütün dünya, RAB'be ezgiler söyleyin!
2 Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
Ezgi söyleyin, RAB'bin adını övün, Her gün duyurun kurtarışını!
3 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
Görkemini uluslara, Harikalarını bütün halklara anlatın!
4 Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
Çünkü RAB uludur, yalnız O övgüye değer, İlahlardan çok O'ndan korkulur.
5 Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
Halkların bütün ilahları bir hiçtir, Oysa gökleri yaratan RAB'dir.
6 Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
Yücelik, ululuk O'nun huzurundadır, Güç ve güzellik O'nun tapınağındadır.
7 Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Ey bütün halklar, RAB'bi övün, RAB'bin gücünü, yüceliğini övün,
8 Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
RAB'bin görkemini adına yaraşır biçimde övün, Sunular getirip avlularına girin!
9 Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
Kutsal giysiler içinde RAB'be tapının! Titreyin O'nun önünde, ey bütün yeryüzündekiler!
10 Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
Uluslara, “RAB egemenlik sürüyor” deyin. Dünya sağlam kurulmuş, sarsılmaz. O halkları adaletle yargılar.
11 Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
Sevinsin gökler, coşsun yeryüzü! Gürlesin deniz içindekilerle birlikte!
12 Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
Bayram etsin kırlar ve üzerindekiler! O zaman RAB'bin önünde bütün orman ağaçları Sevinçle haykıracak. Çünkü O geliyor! Yeryüzünü yargılamaya geliyor. Dünyayı adaletle, Halkları kendi gerçeğiyle yönetecek.
13 mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.

< Zaburi 96 >