< Zaburi 96 >

1 Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
Lorsqu’on bâtissait la maison, après la captivité.
2 Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
Chantez au Seigneur, et bénissez son nom: annoncez de jour en jour son salut.
3 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
Annoncez parmi les nations sa gloire, au milieu de tous les peuples ses merveilles.
4 Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
Parce que le Seigneur est grand, et infiniment louable; il est terrible au-dessus de tous les dieux.
5 Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
Parce que tous les dieux des nations sont des démons: mais le Seigneur a fait les cieux.
6 Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
La louange et la beauté sont en sa présence: la sainteté et la magnificence dans le lieu de sa sanctification.
7 Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Apportez au Seigneur, ô familles des nations, apportez au Seigneur gloire et honneur;
8 Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
Apportez au Seigneur la gloire due à son nom. Prenez des hosties, et entrez dans ses parvis;
9 Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
Adorez le Seigneur dans son saint parvis. Que toute la terre soit ébranlée devant sa face;
10 Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
Dites parmi les nations que le Seigneur a établi son règne. Car il a affermi le globe de la terre, qui ne sera pas ébranlé: il jugera les peuples avec équité.
11 Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
Que les cieux se livrent à la joie, que la terre exulte, que la mer soit agitée, et sa plénitude;
12 Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
Les champs se réjouiront, et tout ce qui est en eux. Alors exulteront tous les arbres des forêts,
13 mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.
À la face du Seigneur, parce qu’il vient; parce qu’il vient juger la terre. Il jugera le globe de la terre avec équité, et les peuples selon sa vérité.

< Zaburi 96 >