< Zaburi 96 >

1 Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
Kasakkung: Devit Oe BAWIPA koe la katha sak awh. Talai taminaw pueng, BAWIPA koe la sak awh.
2 Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
BAWIPA koe la sak awh nateh, a min teh pholen awh. Rungngangnae kamthang kahawi teh hnintangkuem pathang awh.
3 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
Miphun pueng koe a bawilennae teh pâpho awh haw. Tami pueng koe kângairu lah a onae hah pâpho awh.
4 Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
BAWIPA teh a len, puenghoi pholen hanelah ao, Cathut pueng hlak taki hanelah ao,
5 Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
Miphunlouknaw e cathut pueng teh ayawmyin doeh. BAWIPA ni teh kalvan hah a sak.
6 Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
A hmalah barinae hoi taluenae teh ao. A hmuen kathoung koe thaonae hoi meihawinae teh ao.
7 Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Oe, tami pueng hoi imthung pueng, BAWIPA teh bawilennae hoi thaonae hah poe awh.
8 Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
BAWIPA e min teh, bawilennae poe awh. Pasoung hno sin laihoi a thongma koe tho awh.
9 Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
Oe, thoungnae kamthoup laihoi BAWIPA bawk awh. Talai taminaw pueng a hmalah pâyaw awh.
10 Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
Miphun pueng koe BAWIPA ni a uk tet awh. Talaivan hai kacaklah kangdue sak teh, kâhuen mahoeh. Ama ni kalan lah lawk a ceng han.
11 Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
Kalvan teh lunghawi naseh, talai hai konawm naseh. Talîpui hoi a thung e kaawm e pueng ni hai cairing naseh.
12 Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
Law hoi a thung e kaawm e pueng lunghawi naseh. kahrawng e kaawm e pueng nihai BAWIPA koe konawm laihoi la sak naseh.
13 mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.
Bangkongtetpawiteh, ama teh a tho. Talai taminaw lawkceng hanelah a tho. Talaivan hah lannae hoi lawkceng vaiteh, a lawkkatang hoi tami lawk a ceng han.

< Zaburi 96 >