< Zaburi 95 >
1 Oh njoni, tumwimbie Yahwe; na tumwimbie kwa shangwe mwamba wa wokovu wetu.
Misa! Nini da Hina Godema nodone sia: na: di. Ninia da nini Gaga: su Gode Ema nodone gesami hea: la: di.
2 Tuingie uweponi mwake kwa shukrani; tumwimbie yeye kwa zaburi ya sifa.
Ninia da Ea midadi misini, Ema nodone iasu ia: di, amola hahawane nodone gesami hea: la: di.
3 Kwa maana Yahwe ni Mungu mkuu na Mfalme mkuu juu ya miungu yote.
Bai Hina Gode da Gadodafa amola ‘gode’ huluane amo baligisa.
4 Mkononi mwake zimo bonde za dunia; navyo vilele vya milima ni vyake.
E da osobo bagade huluane amola osobo magufu gelabo gaga: i gududafa amogainini heda: le, agolo gagai gadodafa amoga doaga: le, amo huluane ouligisa.
5 Bahari ni yake, maana aliiumba, na mikono yake ilitengeneza nchi kavu.
E da hano wayabo Hi hahamoi amola soge Hi hahamoi amo huluane ouligisa.
6 Oh njoni, tumwabudu na tupige magoti; tupige magoti mbele za Yahwe, muumbaji wetu:
Misa! Ninia da Hina Gode nini hahamosu dunu, Ema muguni fili guduli amola dialuma beguduli, Ema nodone sia: ne gadola: di!
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi tu watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake. Ni heri leo mngesikia sauti yake!
E da ninia Gode! Amola E da nini gilisi dialebe dunu amo noga: le ouligili, ninima ninia hanai liligi amo iana.
8 Msiifanye migumu mioyo yenu, kama vile huko Meriba, au kama ile siku ya Masa jangwani,
Wali, Ea sia: be amo nabima! Dilia aowalali da Meliba sogega amogai esala, ilia da amo haga Masa hafoga: i sogega esalebe agoane asigi dawa: su gawamaga: i, amo agoane mae hamoma.
9 ambako baba zenu walinijaribu na kunipima, japo walikuwa wameyaona matendo yangu.
Amogai ilia Na ilima hamobe ba: i. Be amomane, ilia da Nama adoba: i.
10 Kwa miaka arobaini nilikasirishwa na kizazi hicho na kusema, 'Hawa ni watu ambao mioyo yao imepotoka; hawazijui njia zangu.'
Ode 40 agoane Na da amo dunu ilia hamobe amoga hihini ba: lusu. Na da amane sia: i, “Ilia da Nama hagasa! Ilia da Na hamoma: ne sia: be amo nabimu higasa.
11 Hivyo katika hasira yangu niliapa kwamba wasingeingia kamwe mahali pa pumziko.”
Na da ougiba: le, dafawane hamomusa: sia: amane ilegei, “Dilia da soge Na diligili helefima: ne imunusa: ilegele sia: i, amoga da hamedafa doaga: mu.”