< Zaburi 94 >

1 Yahwe, Ee Mungu ulipaye kisasi, Mungu ulipaye kisasi, utuangazie sisi.
O Yahweh Pakai, phulaji Elohim Pathen, O phula ji Elohim Pathen nathutanna dihtah chu loupitah chu hung kilang doh hen.
2 Inuka, muhukumu wa nchi, uwape wenye majivuno kile wanachosahili.
Hungthou doh in, vainoi thutan pa. Mi kiletsah hochu achanding dol u chansah in!
3 Mpaka lini waovu, Yahwe, mpaka lini waovu watafurahia?
Miphalou hohi itih chanpi kipah diuham, ichan gei in em Yahweh Pakai?
4 Wanamwaga maneno yao ya kiburi; wote watendao uovu wanajivuna.
Itih chan kiletsah tah a thu asei diu ham? Hiche migilou hohi itih chanpi kihatsah diu ham?
5 Wanawaangamiza watu wako, Yahwe; wanalitesa taifa ambao ni milki yako.
Yahweh Pakai amahon namite asuchip gamtauve. Nangma mite hohi amahon asugenthei'un ahi.
6 Wanamuua mjane na mgeni aishiye nchini mwao, na wanamuua yatima.
Amahon meithai hole gamdang mi chule chaga ho athat gam un ahi.
7 Nao husema, “Yahwe hawezi kuona, Mungu wa Yakobo hayagundui haya.”
Amahon asei un, “Yahweh Pakai in eive pouve chule, Israel Elohim Pathen in anasah poi.”
8 Tambueni, ninyi watu wajinga! Enyi wapumbavu, mtajifunza lini?
Kigel pha kit un, mingol ho! Itihleh tahle nahin hethei diuvem?
9 Yeye aliye liumba sikio, hasikii? Yeye aliye litengeneza jicho, haoni?
Na nakol sempa chu a nangong ham? Namit sempau chu amitcho a ham?
10 Yeye awaadhibuye mataifa, hayuko sahihi? Yeye ndiye ampaye maarifa mwanadamu.
Aman chitin namtinte ana engbol in ahi, nangjong na engbol louding ham? Aman imajouse ahesoh kei in ahi, nangin ipi naboljong ahetsohkei louding ham?
11 Yahwe anayajua mawazo ya wanadamu, kuwa ni mvuke.
Yahweh Pakai in mitin lunggel ahesoh kei e, imacha phatchomna neilou ahi ahesoh kei e.
12 Amebarikiwa yule ambaye umuongozaye, Yahwe, yule ambaye wewe humfundisha kutoka katika sheria yako.
Yahweh Pakai, nadanthu a nahil hole nasuhdih ho chu iti kipah u hitam?
13 Wewe humpa pumziko wakati wa shida mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa kwa ajili ya waovu.
Migilou te kimat nading leiko tong akilai kah sen nangman amaho chu boina akon in lung ol na nape e.
14 Maana Yahwe hatawaacha watu wake wala kutelekeza warithi wake.
Yahweh Pakai in amite nungsun ponte; Aman ami deitumte donlou in koi ponte.
15 Kwa kuwa tena hukumu itakuwa ya haki; na wote walio wanyoofu wa moyo wataifuata.
Thutan na mun a thudih kimu ding chuleh michonpha ho jousen apanhu diu ahi.
16 Ni nani atainuka kunitetea dhidi ya watendao uovu? Ni nani atasimama dhidi ya waovu kwa ajili yangu?
Gitlou na akon a koiham eidal ding? Miphalou ho masang a ei din peh ding koi ham?
17 Kama Yahwe asingelikuwa msaada wangu, haraka ningekuwa nimelala mahali pa ukimya.
Yahweh Pakai in eina kithopi lou hile, keima thina lhankhuh mun a thipchet a ana kicholdo tading kahi.
18 Niliposema, mguu wangu unateleza,” Uaminifu wa agano lako, Yahwe, uliniinua.
“Keima kalhutai” tin kakap jah in, O Yahweh Pakai nami ngailutna longlou chun eiphong dingin ahi.
19 Wasiwasi uwapo mwingi ndani yangu, faraja yako hunifurahisha.
Keima lungdon na a kadim teng, nami lungmon nachun kinep nale kipa na eipe ji e.
20 Kiti cha uharibifu chaweza kushirikiana nawe, kitungacho madhara kwa njia ya sheria?
Dandih lou a natong lamkai ho chun Yahweh Pakai kalang a pangding hi ati ngam nadiu vem?
21 Wao kwa pamoja hupanga njama kuwaua wenye haki na kuwahukumu adhabu ya kifo wenye haki.
Themmo nabei ho dou din amaho akipun khom un mona neilou chungah thina chan in athepmo sah uve.
22 Lakini Yahwe amekuwa mnara wangu mrefu, na Mungu wangu amekuwa mwamba wa kimbilio langu.
Ahin Yahweh Pakai, ka Pathen Elohim hi kakisel na songpi kakulpi chu ahi.
23 Yeye atawarudishia uovu wao wenyewe na atawaangamiza katika uovu wao wenyewe. Yahwe Mungu wetu atawaangamiza.
Elohim Pathen in migiloute achonset nau chu ale thuh ding ahi. Achonset nau jeh a asuh gam ding ahi. Yahweh Pakai, iPathen uvin asuh gam ding u ahi.

< Zaburi 94 >