< Zaburi 93 >

1 Yahwe anatawala; amevikwa adhama; Yahwe amejivika na kujifunga nguvu. Ulimwengu umeimalishwa; hauwezi kusogezwa.
LEUM GOD El tokosra, El nuknukyang ke wal a ku. Faclu oakwuki ku, Ac fah tiana mukuikui.
2 Kiti chako cha enzi kimeimarishwa nyakati za kale; umekuwepo siku zote.
Tron lom, LEUM GOD, nuna oakwuki ku oe ke mutawauk me, A kom nuna muta meet liki mutaweyen pacl u.
3 Bahari zimeinuka, Yahwe; zimemepaza sauti zao; mawimbi ya bahari yapiga ghasia na ngurumo.
Yen loal meoa srukak pusralos, O LEUM GOD, Elos srukak pusralos a ngirngir.
4 Zaidi ya ghasia ya mawimbi mengi, mawimbi ya bahari yenye nguvu, Yahwe aliye juu ni mwenye nguvu.
LEUM GOD El leum fulat inkusrao, El fulat liki ngirngir lun meoa, A ku liki noa in meoa u.
5 Amri zako makini ni za kuaminika sana; utakatifu huipamba nyumba yako, Yahwe, milele.
Ma sap lom oan nwe tok, LEUM GOD, A Tempul lom arulana mutal, Ma pahtpat a ma pahtpat.

< Zaburi 93 >