< Zaburi 92 >

1 Ni jambo jema kumshukuru Yahwe na kuliimbia sifa jina lako, Uliye Juu,
Псалом песни, в день субботный. Благо есть исповедатися Господеви и пети имени Твоему, Вышний:
2 kutangaza uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi na uaminifu wako kila usiku,
возвещати заутра милость Твою и истину Твою на всяку нощь,
3 kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
в десятоструннем псалтири с песнию в гуслех.
4 Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
Яко возвеселил мя еси, Господи, в творении Твоем, и в делех руку Твоею возрадуюся.
5 Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
Яко возвеличишася дела Твоя, Господи: зело углубишася помышления Твоя.
6 Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya:
Муж безумен не познает, и неразумив не разумеет сих.
7 Wasio haki watakapochipuka kama nyasi, na hata watendao uovu watakapo stawi, bado wataangamizwa kwenye uharibifu wa milele.
Внегда прозябоша грешницы яко трава, и проникоша вси делающии беззаконие, яко да потребятся в век века:
8 Lakini wewe, Yahwe, utatawala milele.
Ты же вышний во век, Господи.
9 Hakika, watazame adui zako, Yahwe! Hakika, watazame adui zako. Wataangamia! Wale wote watendao maovu watatawanywa.
Яко се, врази Твои, Господи, яко се, врази Твои погибнут, и разыдутся вси делающии беззаконие.
10 Wewe umeyainua mapembe yangu kama mapembe ya Nyati wa porini; nimepakwa mafuta safi.
И вознесется яко единорога рог мой, и старость моя в елеи мастите:
11 Macho yangu yameona kuanguka kwa adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya maadui zangu waovu.
и воззре око мое на враги моя, и востающыя на мя лукавнующыя услышит ухо мое.
12 Wenye haki watastawi kama mtende; watakua kama mwerezi wa Lebanoni.
Праведник яко финикс процветет: яко кедр, иже в Ливане, умножится.
13 Wamepandwa katika nyumba ya Yahwe; wakistawi katika nyua za Mungu wetu.
Насаждени в дому Господни во дворех Бога нашего процветут:
14 Wao huzaa matunda hata uzeeni; hukaa safi na wenye afya,
еще умножатся в старости мастите, и благоприемлюще будут.
15 kutangaza kuwa Yahwe ni wa haki. Yeye ni mwamba wangu, na hakuna udhalimu ndani yake.
Да возвестят, яко прав Господь Бог наш, и несть неправды в Нем.

< Zaburi 92 >