< Zaburi 92 >

1 Ni jambo jema kumshukuru Yahwe na kuliimbia sifa jina lako, Uliye Juu,
Псалом. Песнь на день субботний. Благо есть славить Господа и петь имени Твоему, Всевышний,
2 kutangaza uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi na uaminifu wako kila usiku,
возвещать утром милость Твою и истину Твою в ночи,
3 kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
на десятиструнном и псалтири, с песнью на гуслях.
4 Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
Ибо Ты возвеселил меня, Господи, творением Твоим: я восхищаюсь делами рук Твоих.
5 Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
Как велики дела Твои, Господи! дивно глубоки помышления Твои!
6 Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya:
Человек несмысленный не знает, и невежда не разумеет того.
7 Wasio haki watakapochipuka kama nyasi, na hata watendao uovu watakapo stawi, bado wataangamizwa kwenye uharibifu wa milele.
Тогда как нечестивые возникают, как трава, и делающие беззаконие цветут, чтобы исчезнуть на веки,
8 Lakini wewe, Yahwe, utatawala milele.
Ты, Господи, высок во веки!
9 Hakika, watazame adui zako, Yahwe! Hakika, watazame adui zako. Wataangamia! Wale wote watendao maovu watatawanywa.
Ибо вот, враги Твои, Господи, - вот, враги Твои гибнут, и рассыпаются все делающие беззаконие;
10 Wewe umeyainua mapembe yangu kama mapembe ya Nyati wa porini; nimepakwa mafuta safi.
а мой рог Ты возносишь, как рог единорога, и я умащен свежим елеем;
11 Macho yangu yameona kuanguka kwa adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya maadui zangu waovu.
и око мое смотрит на врагов моих, и уши мои слышат о восстающих на меня злодеях.
12 Wenye haki watastawi kama mtende; watakua kama mwerezi wa Lebanoni.
Праведник цветет, как пальма, возвышается подобно кедру на Ливане.
13 Wamepandwa katika nyumba ya Yahwe; wakistawi katika nyua za Mungu wetu.
Насажденные в доме Господнем, они цветут во дворах Бога нашего;
14 Wao huzaa matunda hata uzeeni; hukaa safi na wenye afya,
они и в старости плодовиты, сочны и свежи,
15 kutangaza kuwa Yahwe ni wa haki. Yeye ni mwamba wangu, na hakuna udhalimu ndani yake.
чтобы возвещать, что праведен Господь, твердыня моя, и нет неправды в Нем.

< Zaburi 92 >