< Zaburi 91 >

1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Zaupajoč v zavetji Najvišjega, v senci Vsemogočnega neprestano prenočujoč
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
Pravim: V Gospodu je pribežališče moje in grad moj; Bog moj je, kateremu zaupam.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Ker on te bode rešil iz zanke tičarjeve, iz kuge pogubne.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
S perotjo svojo te bode branil, ko bodeš pribežal pod peroti njegove; ščit in bran je zvestoba njegova.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Ne boj se nočnega strahú, pušice, ki leta podnevi;
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Pogube, ki lazi v temi, ne kuge, ki razsaja o poludné.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Pade jih na eni strani tvoji tisoč, in desetkrat tisoč na desni tvoji, k tebi ne pride.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Samo z očmi Svojimi bodeš pogledal in videl bodeš grešnikov povračilo.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Ko bodeš ti Gospoda, Boga pribežališča mojega, Najvišjega postavil za prebivališče svoje,
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Ne bode priložnosti, da te zadene húdo, in šiba se ne približa tvojemu šatoru.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Ker angelom svojim bode zapovedal zate, da te hranijo po vseh potih tvojih;
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
Držé te z obema rokama, da ne zadeneš z nogo svojo ob kamen.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Po divjem levu bodeš hodil in po kači, teptal bodeš leva mladiča in zmaja.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
"Ker je proti meni nagnen v ljubezni (pravi Bog), zato ga bodem otél; na višavo ga bodem postavil, ker pozna, ime moje.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Kakor hitro me zakliče, uslišim ga; na strani mu bodem v stiski; otel ga bodem in počastil.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Nasitil ga bodem z dolgostjo lét, storil bodem, da uživa blaginjo mojo."

< Zaburi 91 >