< Zaburi 91 >
1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Koji živi u zaklonu višnjega, u sjenu svemoguæega poèiva.
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
Govori Gospodu: ti si utoèište moje i braniè moj, Bog moj, u kojega se uzdam.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
On æe te izbaviti iz zamke ptièareve, i od ljutoga pomora;
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Perjem svojim osjeniæe te, i pod krilima njegovijem zakloniæeš se; istina je njegova štit i ograda.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Neæeš se bojati strahote noæne, strijele, koja leti danju,
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Pomora, koji ide po mraku, bolesti, koja u podne mori.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Pašæe pored tebe tisuæa i deset tisuæa s desne strane tebi, a tebe se neæe dotaæi.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Samo æeš gledati oèima svojima, i vidjeæeš platu bezbožnicima.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Jer si ti, Gospode, pouzdanje moje. Višnjega si izabrao sebi za utoèište.
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Neæe te zlo zadesiti, i udarac neæe dosegnuti do kolibe tvoje.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Jer anðelima svojim zapovijeda za tebe da te èuvaju po svijem putovima tvojim.
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
Na ruke æe te uzeti da gdje ne zapneš za kamen nogom svojom.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Na lava i na aspidu nastupaæeš i gaziæeš laviæa i zmaja.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
“Kad me ljubi, izbaviæu ga; zakloniæu ga, kad je poznao ime moje.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Zazvaæe me, i uslišiæu ga; s njim æu biti u nevolji, izbaviæu ga i proslaviæu ga.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Duga života nasitiæu ga, i pokazaæu mu spasenje svoje.”