< Zaburi 91 >

1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Хвалебная песнь Давида. Живущий под кровом Всевышнего под сенью Всемогущего покоится,
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
говорит Господу: “прибежище мое и защита моя, Бог мой, на Которого я уповаю!”
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Он избавит тебя от сети ловца, от гибельной язвы,
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
перьями Своими осенит тебя, и под крыльями Его будешь безопасен; щит и ограждение - истина Его.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Не убоишься ужасов в ночи, стрелы, летящей днем,
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
язвы, ходящей во мраке, заразы, опустошающей в полдень.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Падут подле тебя тысяча и десять тысяч одесную тебя; но к тебе не приблизится:
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
только смотреть будешь очами твоими и видеть возмездие нечестивым.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Ибо ты сказал: “Господь - упование мое”; Всевышнего избрал ты прибежищем твоим;
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
не приключится тебе зло, и язва не приблизится к жилищу твоему;
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
ибо Ангелам Своим заповедает о тебе - охранять тебя на всех путях твоих:
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
на руках понесут тебя, да не преткнешься о камень ногою твоею;
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
на аспида и василиска наступишь; попирать будешь льва и дракона.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
“За то, что он возлюбил Меня, избавлю его; защищу его, потому что он познал имя Мое.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Воззовет ко Мне, и услышу его; с ним Я в скорби; избавлю его и прославлю его,
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
долготою дней насыщу его, и явлю ему спасение Мое”.

< Zaburi 91 >