< Zaburi 91 >
1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Kto mieszka pod osłoną Najwyższego, w cieniu Wszechmocnego przebywać będzie.
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
Będę mówił o PANU: Moja ucieczka i twierdza, mój Bóg, jemu będę ufał.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Zaprawdę, on wybawi cię z sideł łowcy [i] od zgubnej zarazy.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Okryje cię swymi piórami i pod jego skrzydłami będziesz bezpieczny; jego prawda [będzie ci] tarczą i puklerzem.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Nie ulękniesz się strachu nocnego ani strzały lecącej za dnia;
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Ani zarazy, [która] przychodzi w ciemności, ani dżumy, [która] pustoszy w południe.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Tysiąc padnie u twego boku, a dziesięć tysięcy po twojej prawicy, [lecz] ciebie to nie dosięgnie.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Tylko zobaczysz na własne oczy i ujrzysz zapłatę daną niegodziwym.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Ponieważ PANA, moją ucieczkę [i] Najwyższego, uczyniłeś swoim mieszkaniem;
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Nie spotka cię nic złego ani [żadna] plaga nie zbliży się do twego namiotu.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Rozkaże bowiem o tobie swoim aniołom, aby cię strzegli na wszystkich twoich drogach.
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
Na rękach będą cię nosić, byś przypadkiem nie uderzył swojej nogi o kamień.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Będziesz stąpał po lwie i po żmii, lwiątko i smoka podepczesz.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
Wybawię go, bo mnie umiłował; wywyższę go, bo poznał moje imię.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Będzie mnie wzywał, a ja go wysłucham; będę z nim w utrapieniu, wyrwę go i otoczę chwałą.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Długimi dniami go nasycę i ukażę mu moje zbawienie.