< Zaburi 91 >
1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Den som sitter i den Høiestes skjul, som bor i den Allmektiges skygge,
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
han sier til Herren: Min tilflukt og min borg, min Gud som jeg setter min lit til!
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
For han frir dig av fuglefangerens snare, fra ødeleggende pest.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Med sine vingefjærer dekker han dig, og under hans vinger finner du ly; hans trofasthet er skjold og vern.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Du skal ikke frykte for nattens redsler, for pil som flyver om dagen,
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
for pest som farer frem i mørket, for sott som ødelegger om middagen.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Faller tusen ved din side og ti tusen ved din høire hånd, til dig skal det ikke nå.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Du skal bare skue det med dine øine, og se hvorledes de ugudelige får sin lønn.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
For du, Herre, er min tilflukt. Den Høieste har du gjort til din bolig;
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
intet ondt skal vederfares dig, og ingen plage skal komme nær til ditt telt.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
For han skal gi sine engler befaling om dig at de skal bevare dig på alle dine veier.
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
De skal bære dig på hendene, forat du ikke skal støte din fot på nogen sten.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
På løve og huggorm skal du trå; du skal trå ned unge løver og slanger.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
For han henger fast ved mig, og jeg vil utfri ham; jeg vil føre ham i sikkerhet, for han kjenner mitt navn.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Han skal påkalle mig, og jeg vil svare ham; jeg er med ham i nøden, jeg vil utfri ham og føre ham til ære.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Med et langt liv vil jeg mette ham og la ham skue min frelse.