< Zaburi 91 >

1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Ten, kdož v skrýši Nejvyššího přebývá, v stínu Všemohoucího odpočívati bude.
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
Dím Hospodinu: Útočiště mé a hrad můj, Bůh můj, v němž naději skládati budu.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Onť zajisté vysvobodí tě z osídla lovce, a od nejjedovatějšího nakažení morního.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Brky svými přikryje tě, a pod křídly jeho bezpečen budeš; místo štítu a pavézy budeš míti pravdu jeho.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Nebudeš se báti přístrachu nočního, ani střely létající ve dne.
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Ani nakažení morního, vlekoucího se v mrákotě, ani povětří morního, v polední čas hubícího.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Padne jich po boku tvém tisíc, a deset tisíců po pravici tvé, ale k tobě se to nepřiblíží.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Očima toliko svýma to spatříš, a odplatě bezbožných se podíváš.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Poněvadž jsi Hospodina, kterýž útočiště mé jest, a Nejvyššího za svůj příbytek položil,
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Nepřihodí se tobě nic zlého, aniž se přiblíží jaká rána k stánku tvému.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Nebo andělům svým přikázal o tobě, aby tě ostříhali na všech cestách tvých.
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
Na rukou ponesou tě, abys neurazil o kámen nohy své.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Po lvu a bazališku choditi budeš, a pošlapáš lvíče i draka.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
Poněvadž mne, dí Bůh, zamiloval, vysvobodím jej, a vyvýším; nebo poznal jméno mé.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Vzývati mne bude, a vyslyším jej; já s ním budu v ssoužení, vytrhnu a oslavím jej.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Dlouhostí dnů jej nasytím, a ukáži jemu spasení své.

< Zaburi 91 >