< Zaburi 90 >

1 Bwana, wewe umekuwa kimbilio letu vizazi vyote.
دعای موسی مرد خدا ای خداوند مسکن ما تو بوده‌ای، درجمیع نسل‌ها،۱
2 Kabla milima haijaumbwa, wala haujaumba nchi na dunia, tangu milele na milele, wewe ni Mungu.
قبل از آنکه کوهها به وجود آید و زمین ربع مسکون را بیافرینی. از ازل تا به ابد تو خدا هستی.۲
3 Humrudisha mtu mavumbini, na kusema, “Rudi, ewe uzao wa mwanadmu.
انسان را به غباربرمی گردانی، و می‌گویی‌ای بنی آدم رجوع نمایید.۳
4 Kwa maana miaka elfu machoni pako ni kama jana ipitapo, na kama saa wakati wa usiku.
زیرا که هزار سال در نظر تو مثل دیروزاست که گذشته باشد و مثل پاسی از شب.۴
5 Huwafagia kama vile kwa mafuliko nao hulala; na wakati wa asubuhi wako kama majani yameayo.
مثل سیلاب ایشان را رفته‌ای و مثل خواب شده‌اند. بامدادان مثل گیاهی که می‌روید.۵
6 Asubuhi yachipuka na kumea; jioni yakatika na kukauka.
بامدادان می‌شکفد و می‌روید. شامگاهان بریده و پژمرده می‌شود.۶
7 Hakika, tumeangamizwa kwa hasira yako, na gadhabu yako inatuogopesha sana.
زیرا که در غضب تو کاهیده می‌شویم ودر خشم تو پریشان می‌گردیم.۷
8 Umeudhihirisha uovu wetu mbele zako, na dhambi zetu zilizofichika katika nuru ya uwepo wako.
چونکه گناهان مارا در نظر خود گذارده‌ای و خفایای ما را در نورروی خویش.۸
9 Uhai wetu unatoweka chini ya gadhabu yako; Miaka yetu inapita haraka kama pumzi.
زیرا که تمام روزهای ما در خشم تو سپری شد و سالهای خود را مثل خیالی بسر برده‌ایم.۹
10 Miaka yetu ni sabini, au themanini tukiwa na afya; lakini hata hivyo miaka yetu mizuri imetiwa alama ya taabu na huzuni. Ndiyo, inapita haraka, kisha tunatoweka.
ایام عمر ما هفتاد سال است و اگر ازبنیه، هشتاد سال باشد. لیکن فخر آنها محنت وبطالت است زیرا به زودی تمام شده، پروازمی کنیم.۱۰
11 Ni nani ajuaye kiwango cha hasira yako, na ghadhabu yako ambayo iko sawa na hofu yako?
کیست که شدت خشم تو را می‌داند وغضب تو را چنانکه از تو می‌باید ترسید.۱۱
12 Hivyo utufundishe sisi kuyafikiria maisha yetu ili kwamba tuweze kuishi kwa hekima.
ما را تعلیم ده تا ایام خود را بشماریم تا دل خردمندی را حاصل نماییم.۱۲
13 Ugeuke, Ee Yahwe! Mpaka lini itakuwa hivi? Uwahurumie watumishi wako.
رجوع کن‌ای خداوند تا به کی و بر بندگان خود شفقت فرما.۱۳
14 Ututosheleze sisi wakati wa asubuhi kwa uaminifu wa agano lako ili kwamba tuweze kufurahi na kushangilia siku zote za maisha yetu.
صبحگاهان ما را از رحمت خود سیر کن تاتمامی عمر خود ترنم و شادی نماییم.۱۴
15 Utufurahishe kwa uwiano sawa na zile siku ulizo tutesa na kwa ile miaka tuliyopitia taabu.
ما راشادمان گردان به عوض ایامی که ما را مبتلاساختی و سالهایی که بدی را دیده‌ایم.۱۵
16 Watumishi wako na waione kazi yako, na watoto wetu wauone ukuu enzi yako.
اعمال تو بر بندگانت ظاهر بشود و کبریایی تو بر فرزندان ایشان.۱۶
17 Na neema ya Bwana Mungu wetu iwe yetu; fanikisha kazi za mikono yetu; hakika, fanikisha kazi ya mikono yetu.
جمال خداوند خدای ما بر ما باد وعمل دستهای ما را بر ما استوار ساز. عمل دستهای ما را استوار گردان.۱۷

< Zaburi 90 >